TOHATO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,460
- 5,255
Ukitoa shule za Kanisa hakuna shule inayotoa 2M+ kwa mwalimu( tena hao ulowataja pale Kuwa mwalimu ni zaidi ya kuwa mtumwa)(namanisha shule za Mtaala wa serikali ya Tz)Mwalimu anakula take home 2M+ extra analipwa+ Malupulupu
Kwanini asijitoe kwa wanafunzi.
Kinachobeba hiyo hali ya matokeo mazuri , mdau mmoja kasema vema kabisa hapo juu kuwa, ukiachana na mchujo wa usajili, ila bado kuna mchujo wa ndani, Wenye kufanya vizuri kuwasajili kama Kemeboys(na wanaweka idadi ndogo sana)(mfano O lever wanaweka 40 advancevwanakuwa 32) alafu marks zako zikiwa za kawaida utabaki kama kaizirege.(huki utawakuta wanafunzi hadi 300)
Sasa ukiskia Kaizirege&kemeboys wewe utavutiwa na matokeo ya hao wanapasua sana Kumbe bado mtoto wako akifika kule inategemeana mtihan atafanyia kwa jina lipi la kituo ila wote wanasoma pamoja.