Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,342
- 34,732
Chai.KUchamba kwingi huku unachanganya mada, Tanganyika na kina St Francis ni mitaaala miwili tofauti kabsa
Chai.KUchamba kwingi huku unachanganya mada, Tanganyika na kina St Francis ni mitaaala miwili tofauti kabsa
Inabidi wamix na zero kama St. Kayukba ili ionekane hawakariri. Chuki ya kijinga hiiElimu ya kukariri mnawaita vipanga ,this is bullsh*t.
Fafanua.Umewahi kutana na kichwa kinaitwa Gwamaka mkuu???? kile mpaka kinaacha kwenda shule kilikua hakiwezi kuimba A-z.
We all know that ,mimi kinachonikwaza ni kuwa tunawaita vipanga kisa elimu ya kukariri bila hata ya madogo kuwa na ujuzi mdogo tuu kichwani.Msichojua, pale kuna Shule mbili kwa maana ya Kemebos na Kaizirege, sasa wakati wa mitihani wanafunzi wale wenye kuleta matokeo mazuri huwekwa Kemebos, na wale wengine hupelekwa Kaizirege. Fuatilia matokeo ya Kaizirege utaelewa nachosema.
Ngoja hili janja langu nilipeleke huko nione itakuwaje, maana bichwa lake limelala kama zege la kokoto.
We all know that ,mimi kinachonikwaza ni kuwa tunawaita vipanga kisa elimu ya kukariri bila hata ya madogo kuwa na ujuzi mdogo tuu kichwani.
NB:NINASEMA IVO KWASABABU MIMI PIA NI MUHANGA NA NILISOMA PRIVATE PRIMARY MPAKA O LEVEL NIKAJA KUJUA TU NI UPUUZI TU HAMNA JIPYA HUKO U PRIVETINI
Private ni kufarijiana tuu,sisi tulipofika chuo wanangu wengi wa kayumba ndo walikuwa vipanga balaa kuliko hata wale wakujitapa.Private hakuna Jipya, ila atleast una Auheni ya Kufauru na kuendelea mbele.
Sisi tulio soma Kayumba, mtiti wake tunaujua, Ni Msoto tuu
Hivi watoto wanaotoka hizi shule huwa wanafanyia kazi wapi wakimaliza shule,nawaza tu,unakutana na mtoto aliyetoka shule kama hizi kwenye interview,huyu lazima yeye atapita tu,na anayetoa ajira huyu hawezi kumuacha,kwahiyo siye wengine wa st.kayumba inabidi tuendelee tu kutafuta vizimba vya kufanyia biashara...
Mbona hata hayo matokeo bado yapo super?Msichojua, pale kuna Shule mbili kwa maana ya Kemebos na Kaizirege, sasa wakati wa mitihani wanafunzi wale wenye kuleta matokeo mazuri huwekwa Kemebos, na wale wengine hupelekwa Kaizirege. Fuatilia matokeo ya Kaizirege utaelewa nachosema.
View attachment 3531735
AiseeMsichojua, pale kuna Shule mbili kwa maana ya Kemebos na Kaizirege, sasa wakati wa mitihani wanafunzi wale wenye kuleta matokeo mazuri huwekwa Kemebos, na wale wengine hupelekwa Kaizirege. Fuatilia matokeo ya Kaizirege utaelewa nachosema.
View attachment 3531735
Na promo anapigia darasani.Mwalimu wa serikali nyumbani kweke kapangisha bonanza la mchina wanafunzi kutwa kucha wapo pale wanacheza unategemea nini?
Division II ya form 2?Hawa vijana wa single digits nao huwa wanakesha tiktok wakijirekodi clips zisizo na staha?. Kuna dogo hapa wa shule ya kata amepata two chafu ila anajiona amepasua sana. Mwenyewe kutwa ni kuji-post aki-dance kwenye tiktok.
Sahihi, na bado wengine waliosoma ushuani wanapotezwa na wa Kayumba kwenye interviews za kaziSio kweli Mkuu, shuke ulio somea msingi, secondary, advance haimati chochote.
Jinsi utakavyo changamka chuoni, ndo utapata skills & Connection.
Hao wanafunzi wa private kipanga, tuko nao makazini huku it does not count.
Faida yake, ni kwqmba lazima afaulu, wakati Kayumba Ufaulu uko kwenye Miguu yako kama mbwa.
Yes, ni haya matokeo ya form 2. Na hili darasa la kihuni waliloingia mwaka huu sijui atakuwaje kimaadili.Division II ya form 2?
Daah! Janja kwenda form 3 kwake shangwe hivyo, bado ana safari ndefuYes, ni haya matokeo ya form 2. Na hili darasa la kihuni waliloingia mwaka huu sijui atakuwaje kimaadili.
Private ni kufarijiana tuu,sisi tulipofika chuo wanangu wengi wa kayumba ndo walikuwa vipanga balaa kuliko hata wale wakujitapa.