Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

sasa shule wanaenda fanya usaili wanafunzi zaidi ya mia5 kisha wanachagua clean tu watafelishaje sasa hapo ni wanafunzi wapo clean na hawaibi mitihan bali n matokeo yao halisi

hv unadhan tukiwachukua wanafunzi wa buza sekondari tukawapeleka kemobos na kaizielrege kisha uongoz na walimu na mazingira na masosi ubaki ule ulw iv unafikir 4 na zero zitakosekana??

zikikosekana jua sio wanafunzi wa buza naowajua mm😅🤣😂
 
sasa shule wanaenda fanya usaili wanafunzi zaidi ya mia5 kisha wanachagua clean tu watafelishaje sasa hapo ni wanafunzi wapo clean na hawaibi mitihan bali n matokeo yao halisi

hv unadhan tukiwachukua wanafunzi wa buza sekondari tukawapeleka kemobos na kaizielrege kisha uongoz na walimu na mazingira na masosi ubaki ule ulw iv unafikir 4 na zero zitakosekana??

zikikosekana jua sio wanafunzi wa buza naowajua mm😅🤣😂
Yes, chujio lipo la nguvu, lakini honestly sio main factor inayowafanya kuwa brilliant kitaaluma
 
Nimepata muda wa kuperuse matokeo ya form 2 NECTA latest results, nimeona watoto wote wa Kemebos wakiwa na Division 1 Point 7.

Daaah niwape hongera kubwa waalimu wa hii shule kama hakuna janja janja kwenye ufanyaji wa mitihani. Hata matokeo ya form 4 mtoto aliyefeli sana alipata Division One ya point 11
Hauko kwa hii ground, ni haki yako kupongeza! But ukweli Mchungu huwa hausemwi na sisi wazazi...

Ukweli ni kwamba hizi shule zinatusaidia tu wazazi ili MTOTO WAKO APATE CHETI BORA CHA KUOMBEA KAZI!

Tusifichane!

Nina Mshua wangu Baba mdogo(Tumbo moja na Baba) Ana Shule binafsi Kwa sasa ina hadi form 4

Baada ya wadogo zangu wawili (yatima ) anaowasomesha hapo kupata Division 1 ya 7 mwaka Jana, na nimeishi nao hao watoto NAWAJUA AKILI ZAO! KUWA SIO HIZO....

Niwe muwazi tu,

Kwenye sherehe moja ya kifamilia... tukiwa tunapiga mambo nilimuingizia hili swala la hao madogo, hizo one wamezipataje?! Maana wanafahamika akili zao sio hizo!

Aliniambia maneno machache sana

TAFUTA PESA KIJANA WANGU, VIJANA WAKO WASOME SHULE ZA KIMKAKATI,....BADO NAKUZA JINA LA SHULE...SIKU HIZI....SIO LAZIMA MTOTO WAKO AWE NA AKILI ZA DARASANI NDIO AFAULU! ILA PESA NA SHULE YA KIMKAKATI ITAMPA KIJANA WAKO UFAULU MZURI WA DARASANI!

NILIMWELEWA SANA dingi mdogo!
 
Shule za hivi ,ukitoa mazingira bora, walimu hodari na nk , pia wanachuja sana kupata vipanga watupu.
Bado kuna watanzania wa malimbukeni ya matokeo ya hizo shule za wafanya biashara, pale hamna genius ni mifumo kembos ni shule mbili kezerenge na kemembos wazuri wana chambuliws wanewekwa kenye kituo kimoja na wote wanapata hizo marks.......their coched to pass exams not to understant content.
 
Hauko kwa hii ground, ni haki yako kupongeza! But ukweli Mchungu huwa hausemwi na sisi wazazi...

Ukweli ni kwamba hizi shule zinatusaidia tu wazazi ili MTOTO WAKO APATE CHETI BORA CHA KUOMBEA KAZI!

Tusifichane!

Nina Mshua wangu Baba mdogo(Tumbo moja na Baba) Ana Shule binafsi Kwa sasa ina hadi form 4

Baada ya wadogo zangu wawili (yatima ) anaowasomesha hapo kupata Division 1 ya 7 mwaka Jana, na nimeishi nao hao watoto NAWAJUA AKILI ZAO! KUWA SIO HIZO....

Niwe muwazi tu,

Kwenye sherehe moja ya kifamilia... tukiwa tunapiga mambo nilimuingizia hili swala la hao madogo, hizo one wamezipataje?! Maana wanafahamika akili zao sio hizo!

Aliniambia maneno machache sana

TAFUTA PESA KIJANA WANGU, VIJANA WAKO WASOME SHULE ZA KIMKAKATI,....BADO NAKUZA JINA LA SHULE...SIKU HIZI....SIO LAZIMA MTOTO WAKO AWE NA AKILI ZA DARASANI NDIO AFAULU! ILA PESA NA SHULE YA KIMKAKATI ITAMPA KIJANA WAKO UFAULU MZURI WA DARASANI!

NILIMWELEWA SANA dingi mdogo!
Aisee
 
Kuna shule wana shule mbili , hata hao vipanga wanachujwa wapatikane vipanga wa vipanga , hivyo vipanga A wanasajiliwa kwa shule A na vipanga wa vipanga wanasajiliwa kwa shule B.

Matokeo yakitoka wale vipanga wa vipanga wanakua kama matangazo ya biashara 😃
Wanafanya hivyo Rocken Hill Kahama. Wana Rocken Hill P/S na Rocken Junior. Walipofuta ranking walitarget watu kama hao
 
Nimepata muda wa kuperuse matokeo ya form 2 NECTA latest results, nimeona watoto wote wa Kemebos wakiwa na Division 1 Point 7.

Daaah niwape hongera kubwa waalimu wa hii shule kama hakuna janja janja kwenye ufanyaji wa mitihani. Hata matokeo ya form 4 mtoto aliyefeli sana alipata Division One ya point 11
kemebos ni ya government au private?
 
Back
Top Bottom