wolverineGG
JF-Expert Member
- Feb 13, 2025
- 1,968
- 3,672
Bwana Njobelo alikua ni kilaza ambae kuzitaja alphabet zote 26 in chronological order alikua hawezFafanua.
Huyo Gwamaka Njobelo hawezi kuimba A-Z unamaanisha nini?
Bwana Njobelo alikua ni kilaza ambae kuzitaja alphabet zote 26 in chronological order alikua hawezFafanua.
Huyo Gwamaka Njobelo hawezi kuimba A-Z unamaanisha nini?
ChaiBwana Njobelo alikua ni kilaza ambae kuzitaja alphabet zote 26 in chronological order alikua hawez
Trust me. Hua siwezi kuongea uongo ambao sipati hela wala sifanyi utatuzi, ni aina ya uongo ambao hauna maana.Chai
CA hata wewe unaweza kula GPA ya 5.0Hata matokeo ya form 4 mtoto aliyefeli sana alipata Division One ya point 11
We pimbi uyo ni gwamaka njobelo..au unamuongelea gwamaka wa kijijini kwenu kinamampundembumbuseseni???Trust me. Hua siwezi kuongea uongo ambao sipati hela wala sifanyi utatuzi, ni aina ya uongo ambao hauna maana.
Gwamaka alikua ni kilaza kiasi kwamba waliacha kumpiga matatizo ya akili (ukichaa), akaonekana mzima kabisa ila tu ndo kilaza.
Dakika za mwisho mpaka walimu waliacha kumpiga bakora kwa makosa yanayo husika na elimi.
Alikua kuacha shuke kabla ya mtiani wa taifa wa form 2.
Chai.Trust me. Hua siwezi kuongea uongo ambao sipati hela wala sifanyi utatuzi, ni aina ya uongo ambao hauna maana.
Gwamaka alikua ni kilaza kiasi kwamba waliacha kumpiga matatizo ya akili (ukichaa), akaonekana mzima kabisa ila tu ndo kilaza.
Dakika za mwisho mpaka walimu waliacha kumpiga bakora kwa makosa yanayo husika na elimi.
Alikua kuacha shuke kabla ya mtiani wa taifa wa form 2.
Mapene yanaongea.Hawapokei Vilaza Mkuu
Ni kweli brother Al kuna muda ni liongo sana ndiyo maana mimi hatuwezi kuanza mjadala wowote na Al alafu nimalize sijamtukana haipo hiyo siku ni muongo na anapenda kuupamba uongo wake kwa vijimaneno vya kejeliAI ina data ila sio hadi ground level, na AI ni trained mara kadhaa huwa naingia na kuikosoa au kuirekebisha na tena narudi baadae nakuta ina makosa yale yale naisisitiza ijirekebishe.
AI yako haijakueleza kuwa Kemebos wanachuja wanafunzi. Sababu hiki kitu shule hizo huwa hazitaki kijulikane, na huwa hazisemi wala haziandiki popote.
AI inakuwa fed na taarifa zilizopo online, leo Mbagala wakiamua wauze fungu la nyanya kuanzia za 500 na hakuna chini ya hapo ila wasiandike mtandao wowote basi AI haitojua. Kwahiyo ukiiuliza ipange bajeti ya mlo wa 1500 pale Mbagala, itakutaka ununue nyanya za 200.
AI sio ya kutumia kwenye vitu local vinavyotaka very specific answers.
2m mbona ni pesa mbuzi tu. Naamini anastahili 5m + allowancesInvestment and commitment
Hiyo unayoongelea sio Tanzania na kama ni Tanzania basi Heshimu kipato cha watu hata kama wewe unapata kikubwa.2m mbona ni pesa mbuzi tu. Naamini anastahili 5m + allowances
Hii ni Dhana tuMmh... Wanunua mitihani hao 🤣. Wazazi na watoto wao wanajua
I wish it wasHii ni Dhana tu
Huyo kakaririshwa tu majibu, Hana lolote.Mtoto wangu kapata div 1.7 ...A zote na yupo shule ya vipaji serikali...ada mtelezo tu.
😂😂😂😂😂Yaan.. sio mambo ya kuotea D mbili zilete point 4 ndio usome bach 😂
😂😂😂😂😂 ukitaka kuwajua hawa vizuri wapeleke shule za serikali hasa Level ya Advance.Hapo huwezi kuta mtoto anashindwa kutamka subscribe au Wakorintho 😂😂
Lazima wote wawe wamotoo, hata ukimpa paper saa 7 usiku hakosi 70.
Chuo mbona mbalii, tumekutana nao Advance, yaani hawana kitu, wako empty hadi sio poa.Hao tumesoma nao vyuo hakuna kitu kichwani ila ukiangalia cheti unaweza kuogopa tena tumewasaudia UE nyingi tu
Mbona wanakuwaga advance level shule za serikali, hawana maajabu kabisaa.Sasa hao walio soma private unauhakika wangepelekwa kata wange faulu.
Shule gani hizo zinatoa 1 -9, II - 20, III - 35, IV - 60 nk.
Kufaulu ukiwa kayumba ni bahati na Juhudi zako, ukilegeza kichwa ata division III utaitafuta kwa torch.
😂😂😂😂😂😂We pimbi uyo ni gwamaka njobelo..au unamuongelea gwamaka wa kijijini kwenu kinamampundembumbuseseni???