Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 692
Kuna radio moja sitaitaja huwa ninafanya kazi ya kuunganisha watu ambao hawajaoa au kuolewa na kupata wenzi wao.Unachofanya ni kutuma wasifu wako,kazi au unajishughulisha na nin! Unaemtaka aweje na awe mkoa gani.Lengo langu si uzinzi hapana,kwani kupitia huduma yangu ndoa tatu zimefungwa mwaka jana.Ukintumia wasifu wako na unaemtaka mimi ntakuunganisha na anaekufaa kwa walionitumia.NIMEONA MSIPITWE NA HILI KAMA UPO TAYARI NI PM,HUDUMA NI BURE ILA ASANTE PIA INARUHUSIWA.
By Sam Love A.K.A CONNECTOR
By Sam Love A.K.A CONNECTOR