Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

Kuna huyu mgeni 2014 alilalamika mno kuhusu ukosefu wa huduma ya kupokea pesa kupitia Paypal Tanzania miaka sita Toka lalamilo lake bado kufanyiwa kazi miaka sita sasa hakuna huduma ya kupokea pesa ya paypal Wizara aomeni haya malalamiko

In 2014 I planned to visit Mikumi National Park; an absolutely beautiful wildlife conservation. To achieve that I prepared for fundraising, by offering (Swahili - English) translation services on Elance, and also selling handmade traditional ornaments on eBay. I knew that a PayPal account was necessary, good thing I already had an account which I entirely used for purchases. But it didn’t take long to realize that a Tanzanian PayPal account can only send but cannot receive money!


So, I decided to contact PayPal desperately hoping to get some help, even if it meant paying extra fees, I was willing to. It has been almost 3 years ever since I started requesting but PayPal has not yet granted the solution. They won’t disclose why Tanzanian PayPal accounts won’t receive money but kept on suggesting that I should ask buyers to use alternative payment methods like money orders, checks, bank wires transfers, etc. Honestly, that's easier said than done because popular sites like eBay prefer PayPal EXCLUSIVELY and impose restrictions from using the alternative payment methods. The moment seller suggests alternative payment methods; s/he is automatically infringing site’s rules despite the fact that such a suggestion is itself a deal breaker for most buyers and employers on freelancing sites.


I bet PayPal realizes that Tanzanian dwellers cannot sell any goods on popular shopping site like Amazon or eBay; thousands of unemployed graduates and experts cannot freelance on popular freelancing sites like Upwork, Elance, etc; domestic charity organizations cannot launch international campaigns to let millions of Diasporas and foreigners donate to a passionate course or aid. This is a lot of day-to-day missed opportunity that any person living in Tanzania is locked out of access. When will residents of Tanzania be allowed to earn online?


It is well known that Swahili is Tanzania’s native language. The majority of Tanzanians can translate English to Swahili and the vice versa in a heartbeat. These are the people who are qualified to do online translations. Tanzania has a lot of rare precious resources (like Tanzanite) that you won’t find anywhere else in the world, and Tanzanians have traditional industries that are ready to sell to the whole world. Many entrepreneurs lack seed capital for piloting their ideas. If entrepreneurs are given a chance to earn online they will surely work, save and bootstrap their startups. Sadly we have little to no access to the above opportunities because the world’s gigantic online payment processor i.e. PayPal won’t let us get paid.


If such economic barriers aren’t upheld then it must be difficult for organizations or campaigns that are trying to convince youth not to leave their countries for abroad, because nobody will want to stay in his/her country if jobs are hard to find. I believe PayPal has a role to play here by unlocking all its features hence creating job opportunities for residents of Tanzania.


Tanzania has 50+ banks, 4 major mobile money services (M-Pesa included) which can act as PayPal funds withdrawal agents if Tanzanian PayPal accounts are authorized to receive money.

Source:https://www.change.org/p/daniel-sch...ed_by_id=39ce57e0-e89a-11e5-bfd0-f132613e7389
Mleta uzi, Hongera kwa mada nzuri.
Kwa kweli inasikitisha kwamba watanzania tunaweza kununua tu huduma nje ya nchi lakini hatuwezi kulipya au kupokea malipo kutoka nchi za nje. Hili jambo liangaliwe kwa haraka na wizara husika. Nina hakika kama PayPal na Stripe zitaruhusiwa nchini, naamini itapanua wigo wa ajira kwa vijana, ubunifu na hatimaye maendeleo kwa ujumla. Serikali ijikite tu katika kusimamia mfumo/ transaction za fedha.
 
Pamoja na mambo mengine mfumo wa address ni muhimu sana katika eBay na hii ni kwa muuzaji na mnunuaji.
Upo ulazima wa kuwa na physical address kwa wakazi wote nchini .
Yes, Ni kweli. Haya mambo yako chini ya uwezo wa serikali na yanawezekana. Kuna haja kubwa kwa wananchi kuruhusiwa kuendana na technologia ya dunia. Si vizuri kubaki nyuma.
 
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambayo ni mpya tunatarrajia ifanye mambo makubwa ya kuongeza ajira kwa vijana mitandaoni.

Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hela inaingia hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani au popote duniani.

Waandishi wa vitabu waweza andika vitabu na kuviuza online na watunmzi wa nyimbo bk waweza kulipwa online kwa njia ya paypal chap chap mtu aki click tu na kudownload kitabu au wimbo nk malipo muda huo huo yanaingia.

Pia, mtu waweza chora hata katuni, ramani za nyumba n.k ukauza online. Au, ukajitungia wimbo wako wa kienyeji binafsi nyumbani kwako bila hata kwenda studio, ukauweka kwa mfumo wa video au audio ukauuza online kwenye maduka kibao ya online.

Tatizo kwa Tanzania haijaruhusu matumizi ya kupokea pesa kwa njia ya PayPal ambapo mtu aki-click tu kununua bidhaa yako, pesa yako inaingia chapchap kwenye PayPal account yako.

Kenya walisharuhusu; vijana wengi hushinda mitandaoni wakitengeneza pesa wakiuza bidhaa zao, viwe vichekesho, michezo ya kuigiza n.k ambavyo huviuza online. Wanaweka clip zao kwenye maduka ya online mtu ananunua anamlipa online kupitia Paypal.

Kuna shughuli nyingi za ujasiliamali online. Kikwazo kwa nchi yetu ni upataji wa pesa wa kazi yako au mauzo yako online. Bado tuko enzi za mawe tukiamini minjia ya kizamani ya kupokea hela. Na hivyo kuifanya nchi yetu kuwa ni ya kulipa zaidi pesa za kigeni na si ya kupokea pesa za kigeni.

Serikali ikiruhusu upokeaji pesa kupitia PayPal itafanya vijana wengi waingie mitandaoni kutafuta pesa.

Biashara za online zaweza kufungua Watanzania wengi kupata pesa toka nje, sababu ni juhudi ya mtu binafs na ubunifu wake i tu auze nini. Waweza kujirekodi unarukaruka kama ngedere ukiimba hovyohovyo tu bila hata vyombo halafu ukaita wimbo Crazy Monkey Song ukauweka online na ukauza. Wapo watu wana pesa wanapenda vituko wananunua.

Taasisi za elimu nazo ziweke kwenye mitaala ujasiliamali wa online wasibakie tu kufundisha ujasiriamali wa kuzurura tu juani wa kimachinga.
Kutokana na sayansi kuwa ni suala mtambuka, nafikiri wizara hii ingepaswa kuwa Wizara ya Sayansi Elimu ya Juu na Teknolojia, kwa kuwa mambo ya "Information & Communication Technology - ICT) yangaliweza kupunguza "mismatch" iliyopo hivi sasa.

Labda pengine hii imetokana na umahiri wa wataalamu wetu kufanikiwa kuzima mitandao ya kijamii nyakati zile za kutangaza matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu, na kuweza kukibeba chama tawala kwa ushindi wa kishindo, hali iliyopelekea dhuluma kubwa dhidi ya matakwa halisi ya wapigakura kura.

Hiii inawezakuleta kuleta hisia kuwa "Wezi wetu wa kura hatimaye wamepewa wizara yao rasmi"

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambayo ni mpya tunatarrajia ifanye mambo makubwa ya kuongeza ajira kwa vijana mitandaoni.

Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hela inaingia hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani au popote duniani.

Waandishi wa vitabu waweza andika vitabu na kuviuza online na watunmzi wa nyimbo bk waweza kulipwa online kwa njia ya paypal chap chap mtu aki click tu na kudownload kitabu au wimbo nk malipo muda huo huo yanaingia.

Pia, mtu waweza chora hata katuni, ramani za nyumba n.k ukauza online. Au, ukajitungia wimbo wako wa kienyeji binafsi nyumbani kwako bila hata kwenda studio, ukauweka kwa mfumo wa video au audio ukauuza online kwenye maduka kibao ya online.

Tatizo kwa Tanzania haijaruhusu matumizi ya kupokea pesa kwa njia ya PayPal ambapo mtu aki-click tu kununua bidhaa yako, pesa yako inaingia chapchap kwenye PayPal account yako.

Kenya walisharuhusu; vijana wengi hushinda mitandaoni wakitengeneza pesa wakiuza bidhaa zao, viwe vichekesho, michezo ya kuigiza n.k ambavyo huviuza online. Wanaweka clip zao kwenye maduka ya online mtu ananunua anamlipa online kupitia Paypal.

Kuna shughuli nyingi za ujasiliamali online. Kikwazo kwa nchi yetu ni upataji wa pesa wa kazi yako au mauzo yako online. Bado tuko enzi za mawe tukiamini minjia ya kizamani ya kupokea hela. Na hivyo kuifanya nchi yetu kuwa ni ya kulipa zaidi pesa za kigeni na si ya kupokea pesa za kigeni.

Serikali ikiruhusu upokeaji pesa kupitia PayPal itafanya vijana wengi waingie mitandaoni kutafuta pesa.

Biashara za online zaweza kufungua Watanzania wengi kupata pesa toka nje, sababu ni juhudi ya mtu binafs na ubunifu wake i tu auze nini. Waweza kujirekodi unarukaruka kama ngedere ukiimba hovyohovyo tu bila hata vyombo halafu ukaita wimbo Crazy Monkey Song ukauweka online na ukauza. Wapo watu wana pesa wanapenda vituko wananunua.

Taasisi za elimu nazo ziweke kwenye mitaala ujasiliamali wa online wasibakie tu kufundisha ujasiriamali wa kuzurura tu juani wa kimachinga.

Hiyo wizara kazi yake kubwa itakuwa kutrack watu mitandaoni tu na kupiga fine vyombo vya habari.
 
Huo ni ushauri mzuri kwa mwaka 2026 kwa sasa tunawaza namna ya kuzima mitandao ya kijamii yote.
 
Sioni swala hili likipatiwa ufumbuzi hivi karibuni.

Watu wamelipigia sana kelele hili swala lakini serikali imeweka pamba masikioni. 👇👇

Tujuzane njia ya kupokea pesa kwa Paypal Tanzania

Umuhimu wa huduma ya Paypal Tamzania

Lini Tanzania itaruhusu matumizi ya Paypal?

Ni aibu kwamba mpaka sasa Tanzania hatuna mfumo wa kupokea pesa kwa Paypal

Nimefanya kazi ya mtu, anataka kunilipa kwa PAYPAL lakini imeshindikana

Malipo ya Paypal hivi kweli serikali yetu imeshindwa kuruhusu hili?

Ombi: Tunaiomba BoT iruhusu malipo kwa njia ya Paypal Tanzania isipokuwa iweke vigezo maalum

Kupunguza tatizo la ajira serikali iruhusu huduma ya kupokea pesa kupitia PayPal

Paypal: Upotevu wa mapato na ajira Tanzania

Tanzanians need to receive money via PayPal - sign the petition

Make Tanzanians Receive Money with Paypal

Tanzanians need to receive funds via PayPal

uzi maalumu wa kumshauri mheshimiwa maghufuli kuingilia suala la paypal tanzania

Inasikitisha 2017 haiwezekani kupokea fedha kupitia PayPal ukiwa Tanzania


PAYPAL Status in Tanzania

Malalamiko na Maulizo ni mengi ila hakuna action yoyote iliyochukuliwa.

IMBOMBO NGAFU.


Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambayo ni mpya tunatarrajia ifanye mambo makubwa ya kuongeza ajira kwa vijana mitandaoni.

Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hela inaingia hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani au popote duniani.

Waandishi wa vitabu waweza andika vitabu na kuviuza online na watunmzi wa nyimbo bk waweza kulipwa online kwa njia ya paypal chap chap mtu aki click tu na kudownload kitabu au wimbo nk malipo muda huo huo yanaingia.

Pia, mtu waweza chora hata katuni, ramani za nyumba n.k ukauza online. Au, ukajitungia wimbo wako wa kienyeji binafsi nyumbani kwako bila hata kwenda studio, ukauweka kwa mfumo wa video au audio ukauuza online kwenye maduka kibao ya online.

Tatizo kwa Tanzania haijaruhusu matumizi ya kupokea pesa kwa njia ya PayPal ambapo mtu aki-click tu kununua bidhaa yako, pesa yako inaingia chapchap kwenye PayPal account yako.

Kenya walisharuhusu; vijana wengi hushinda mitandaoni wakitengeneza pesa wakiuza bidhaa zao, viwe vichekesho, michezo ya kuigiza n.k ambavyo huviuza online. Wanaweka clip zao kwenye maduka ya online mtu ananunua anamlipa online kupitia Paypal.

Kuna shughuli nyingi za ujasiliamali online. Kikwazo kwa nchi yetu ni upataji wa pesa wa kazi yako au mauzo yako online. Bado tuko enzi za mawe tukiamini minjia ya kizamani ya kupokea hela. Na hivyo kuifanya nchi yetu kuwa ni ya kulipa zaidi pesa za kigeni na si ya kupokea pesa za kigeni.

Serikali ikiruhusu upokeaji pesa kupitia PayPal itafanya vijana wengi waingie mitandaoni kutafuta pesa.

Biashara za online zaweza kufungua Watanzania wengi kupata pesa toka nje, sababu ni juhudi ya mtu binafs na ubunifu wake i tu auze nini. Waweza kujirekodi unarukaruka kama ngedere ukiimba hovyohovyo tu bila hata vyombo halafu ukaita wimbo Crazy Monkey Song ukauweka online na ukauza. Wapo watu wana pesa wanapenda vituko wananunua.

Taasisi za elimu nazo ziweke kwenye mitaala ujasiliamali wa online wasibakie tu kufundisha ujasiriamali wa kuzurura tu juani wa kimachinga.
 
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambayo ni mpya tunatarrajia ifanye mambo makubwa ya kuongeza ajira kwa vijana mitandaoni.

Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hela inaingia hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani au popote duniani.

Waandishi wa vitabu waweza andika vitabu na kuviuza online na watunmzi wa nyimbo bk waweza kulipwa online kwa njia ya paypal chap chap mtu aki click tu na kudownload kitabu au wimbo nk malipo muda huo huo yanaingia.

Pia, mtu waweza chora hata katuni, ramani za nyumba n.k ukauza online. Au, ukajitungia wimbo wako wa kienyeji binafsi nyumbani kwako bila hata kwenda studio, ukauweka kwa mfumo wa video au audio ukauuza online kwenye maduka kibao ya online.

Tatizo kwa Tanzania haijaruhusu matumizi ya kupokea pesa kwa njia ya PayPal ambapo mtu aki-click tu kununua bidhaa yako, pesa yako inaingia chapchap kwenye PayPal account yako.

Kenya walisharuhusu; vijana wengi hushinda mitandaoni wakitengeneza pesa wakiuza bidhaa zao, viwe vichekesho, michezo ya kuigiza n.k ambavyo huviuza online. Wanaweka clip zao kwenye maduka ya online mtu ananunua anamlipa online kupitia Paypal.

Kuna shughuli nyingi za ujasiliamali online. Kikwazo kwa nchi yetu ni upataji wa pesa wa kazi yako au mauzo yako online. Bado tuko enzi za mawe tukiamini minjia ya kizamani ya kupokea hela. Na hivyo kuifanya nchi yetu kuwa ni ya kulipa zaidi pesa za kigeni na si ya kupokea pesa za kigeni.

Serikali ikiruhusu upokeaji pesa kupitia PayPal itafanya vijana wengi waingie mitandaoni kutafuta pesa.

Biashara za online zaweza kufungua Watanzania wengi kupata pesa toka nje, sababu ni juhudi ya mtu binafs na ubunifu wake i tu auze nini. Waweza kujirekodi unarukaruka kama ngedere ukiimba hovyohovyo tu bila hata vyombo halafu ukaita wimbo Crazy Monkey Song ukauweka online na ukauza. Wapo watu wana pesa wanapenda vituko wananunua.

Taasisi za elimu nazo ziweke kwenye mitaala ujasiliamali wa online wasibakie tu kufundisha ujasiriamali wa kuzurura tu juani wa kimachinga.
Tusubiri miujiza labda!! Hii nchi yetu ina uadui na teknolojia na wabunifu toka enzi...
 
Suala la PayPal ni la BoT na Wizara Mama yake but am telling you, ingekuwa rahisi sana wakati wa JK kuliko sasa ambapo kila mtu mnamuona Miwzi kasoro Magu mwenyewe!!!

Kwa serikali hii hata akitokea Mwendawazimu mmoja akasema PayPal ita-facilitate Money Laundering, watu watapiga makofi manake siku hizi kila kitu ni money laundering!!!
Mkuu Chige ,yaani nataka kutuma 150K US$ huko nyymbani,naambiwa hazitafika,nitachapwa na fimbo ya "money laundering".
Nimetuma 150K US$ kwa mafungu 30,ndio salama yangu.
 
Yes, Ni kweli. Haya mambo yako chini ya uwezo wa serikali na yanawezekana. Kuna haja kubwa kwa wananchi kuruhusiwa kuendana na technologia ya dunia. Si vizuri kubaki nyuma.
Si tu kubaki nyuma bali tunapoteza fursa muhimu kama taifa ya kutuingizia pesa
 
Mkuu Chige ,yaani nataka kutuma 150K US$ huko nyymbani,naambiwa hazitafika,nitachapwa na fimbo ya "money laundering".
Nimetuma 150K US$ kwa mafungu 30,ndio salama yangu.
Yaani hii serikali, we acha tu! Sasa si kutiana hasara huko!! Manake kwa kufanya transfer ya mafungu I bet umeingia gharama maradufu kuliko kama ingekuwa ni single transfer!!

Kazi tunayo safari hii!!
 
No dirty transactions in TZ kalipianeni Kenya PayPal in first world is not used to pay individuals ila watz mmepinda sana!!
Hivi hata Paypal yenyewe unaijua kweli wewe?! Ni First World ya wapi unayoizungumzia kwamba hawaruhusu individuals kulipwa kwa PayPal?!

Halafu ulivyo na mawazo ya ki-ujima, bila aibu unahusisha PayPal na dirty money!! Yaani mtu anafanya biashara online au anatoa service online, akilipwa kwa PayPal kwako hiyo ni dirty money?!

Hivi kuna mahali wanaku-fight dirty money kuliko US and other Western Countries?! Hivi kwa akili yako unadhani PayPal ingeruhusiwa ku-operate kwenye hizo nchi?
 
KI uhalisia paypal itaogeza mapato serekalini kwa kiwango cha kutisha kabisa watanzania watakuwa free kuuza chochote nje hata dawa zao za kienyeji kumbukeni tunayo madawa mengi sana hapa tanzania
 
PayPal ni nzuri ila inabidi itengenezewe regulations kwanza isiwe kienyeji tu tutakuja kulia, jambo la heri ila linaweza tumiwa vibaya na wahalifu .
Man,

PayPal wenyewe regulations mzuri ingawaje haimaanishi nasi hatuwezi kuwa na za kwetu!

Don't forget, PayPal is an American Company, na sidhani kama dunia hii kuna nchi iliyo sensitive na dirt monies kuizidi US!! Sote tumeshuhudia hapa back 2014 FMBE Bank ikipigwa kufuli na rungu likitoka huko huko US!

Haya mambo ya Money Laundering waliotuletea kwenye sheria zetu na hao hao Marekani!!!

So, hata hao PayPal they operate under STRICT US Laws against Money Laundering!! Ndo vile tu Wabongo wengi wanaofanya Forex Trading wanatumia brokers wa vichochoroni lakini kama ingekuwa wanatumia well established brokers, wangegundua kwamba kuna very credible brokers Ulaya na Australia lakini hawaruihusiwi ku-operate in US kwa sababu tu, hawakidhi some US Laws!!!

To be honest, I doubt kama tunaweza kuwa na AML Regulation far better kuzidi waliyonayo PayPal.

Kibongo bongo watu tunaweza kuona hawapo strict kwa sababu transactions zetu ni ndogondogo tu ambazo hazileti suspciopus activity lakini hata hizo ndogo, PayPal huwa ina-monitor velocity yake!!
 
Mkuu Chige ,yaani nataka kutuma 150K US$ huko nyymbani,naambiwa hazitafika,nitachapwa na fimbo ya "money laundering".
Nimetuma 150K US$ kwa mafungu 30,ndio salama yangu.
Paypal kwa tanzania yetu tuiwekee limitations yaani transactions ziwe chini ya dollar $25000 above that pesa ni lzima iwe inapitia bank au vile serekali itaona jinsi ya kupanga kiwango let say pesa hii ikakatwa vat na service charges mbali mbali serelali haioni itapata sana mapesa ona jinsi makampuni ya simu yanavyotukamua ukitoa 10000 wanakata 1000 a bulshit theft
 
hivi kwa nini hawa mbwa wanashindwa hata kujifunzia Kenya nilimsikia rais wao akizungumzia kutengeneza cryptocurrency ila huku hawana habari kabisa
 
Paypal kwa tanzania yetu tuiwekee limitations yaani transactions ziwe chini ya dollar $25000 above that pesa ni lzima iwe inapitia bank au vile serekali itaona jinsi ya kupanga kiwango let say pesa hii ikakatwa vat na service charges mbali mbali
Nadhani ungeongelea labda limit ya kutoa lakini si kiasi gani mtu awe nacho kwenye akaunti ya paypal

Iko hivi mfano unauza katuni yako online kwa mnunuzi ku download hiyo katuni uliyojitengenezea .Kuuza ONLINE UNAUZIA WATEJA DUNIA NZIMA

Sasa chukulia unauza hiyo katuni dola 10 Wateja milioni moja duniani wakaipenda hiyo katuni na kukulipa kwa paypal ina maana hapo utakuwa na dollar milioni 10 Kwenye akaunti yako ya Paypal

Limit huwezi iweka kwa wateja kuwa wanunue wangapi ila kwenye kutoa pesa huko kwaweza kuwepo limit
 
Mkuu, naunga mkono hoja yako. Mimi nilishawahi kuwauliza hilo swali. Lakini jibu walilonipa kwa kifupi ni kwamba huduma yao haipo Tanzania na kwamba siku wakianza watanijulisha. Inawezekana sheria zetu ama sera zetu si rafiki kwa huduma yao kuwepo nchini.
Hofu yangu ni kwamba nchi yetu inapata tija ndogo zaidi kwa mapato kama wananchi hawawezi kulipwa kupitia huduma za online badala yake wanaweza kutuma fedha tu nje kufaidisha nchi za wenzetu
Yah! Yaani PayPal kwetu ni kama inatu-encourage kuwa buyers badala ya kuwa both... buyers na sellers!!
 
Back
Top Bottom