Kazi na bata vs hapa kazi tu

Kazi na bata vs hapa kazi tu

Kwamba Lowassa si rais wa mioyo yenu tena bali Membe?

Hivi bavicha mnalaana gani jamen
Neno
Chadrama mcharuko mizee ya matukio yanacheza singeli mitaani huku wamebeba bendera ya CCM
Mijitu mizima ovyoooooo
Laana kuu iko juu yao
 
Well said
Hekima mpe mwenye hekima azidi kuwa na hekima
Hao wahuni waache waedeleze uhuni wao unao wapeleka makaburini faastaa
 
Kwa jinsi nchi inavyokwenda hata zembwela anaweza kua rais na watu tukala bata kama kawaida
 
Kwa hiyo hao kina kafulila unawafananisha na watanzani au wafanyakazi wanaodai haki zao kwa miaaka. Mitatu hawajalipwa au unawafanisha na wastaffu wataolipwa 25% na wao wanakomba zote !stupid kazi
 
Siasa za Zitto zenyewe za kishamba tu, tangu akiwa Chadema amekuwa na siasa za kujikombakomba, kujionesha onesha, kusalitisaliti tu, hizi ni siasa za kishamba sana.
Katika kujifanya mzalendo, Zitto amekuwa mshambamshamba tu, amekuwa mtu wa kuzitishiatishia Taasisi za Umma ili zimhonge asianike maovu, amediriki hata kutetea ukiukwaji wa maadili ya nchi yetu na kuwa kibaraka wa Wazungu wanaotaka kutupa misaada kwa masharti ya kukubali Ushoga. Huu ni ushamba wa Hali ya juu.

Bata huliwa na wastaabu. Zitto hata mahusiano yake yamekuwa ya kishamba tu, ndiye mwenye historia ya kuoa wake wawili (Binti Jaji na Mhe. Mbunge) ndani ya Wiki moja.
Ulimbukeni ni kitu kibaya sana. Limbukeni anaweza kufanya mambo ya ajabu bila ya kuona aibu ila wanaomzunguka wakaona aibu kwa niaba yake. Kitu kibaya sana.
Zitto washawishi Watanzania kwa kitu kingine wakuelewe washawishike kukuona unafaa kuwa Rais, hili la kula bata, sifa hiyo huna kwa sababu mpaka hapo ulipo na zaidi ya miaka 40 huna historia ya kila Bata, Unataka kula Bata ukiwa Rais? Uzeeni? Kwanza nani alikwambia Watanzania wanamtaka Rais mla Bata? Unakumbuka 2015 kuna Mgombea alipata tabu sana kwa sababu tu ya kawaida yake ya kunyoa Unga? Itakuwaje Wewe unaetaka kula Bata ambayo huna hitoria nayo bali kwa sababu tu wewe ni Rais .

Urais ni ngazi ya juu kabisa katika nchi yetu, msiwe mnaropoka ropoka tu kama mtu anayeutaka urais wa Wasaf au Team Kiba. Au unautaka urais wa Leka Dutigite ile Taasisi ulioianzisha kwa Fedha za Walipa kodi ulizohongwa na Mifuko ya Hifadhi ya Jami wakati ulipokuwa Mwenyekiti wa PAC?
Nilijuwa tu kwa mwandiko huu utakuwa wewe
 
Wacheni Ushamba Bata si maana ya starehe pekee!
Watanzania wana hitaji staha,kauli za matumaini.Kiburi na ubabe vina haribu mazuri mengi yanayoendelea.
 
Katika awamu hii ya Magufuli kazi na bata inaweza ikachafua hali ya hewa...yaani utajiny#$%yea
 
Mapovu ni ujumbe tosha kuwa dawa imeingia, mkipenda mezeni, hampendi temeni, wiki hii nita deal na huyu mshamba anayetaka kula Bata kwa pesa za walipa kodi. Mtu aliyejulia kuvaa Bungeni leo anawezaje kuwaambia Watanzania tule Bata? Huyu Zitto ametoka Bushi kuja chuo kikuu cha Dar es Salaam na. Baadaye moja kwa CHADEMA. Anajulia wapi kula Bata? Waha wenzake wanateseka kulima mawese na kuvua Migebuka yeye anawaza kula Bata Ikulu? Shenzi kabisa.
 
Umeonesha kiwango kidogo cha Akili kwa kumshambulia Mh.Zitto. Pole sana Ndugu, kauli mbiu ya Hapa Kazi itakubaliwa na wenye fikra za kitumwa bwana! Mwelevu lazima aikubali kauli mbiu ya KAZI NA BATA
Umemuona Mwita Waitara....... Kaachana na taputapu za Ufipa sasa anagonga whisky kwa kwenda mbele kalagabaho kama wewe huli bata wenzio twala!
 
Acha wivu!hayo ni mashambulizi binafsi,kwahiyo unataka kutuaminisha kua ile taarifa ya watu kuhongwa kuhujumu mradi wa mchuchuma jamaa anataka rushwa!?

Kwa akili hizi ni bora kabisa hata hiyo 25% ya mafuo ipunguzwe tu iwe 15%!
😀😀😀😀😀 muda sio mrefu hata hio 25% itafutwa na kuwa 0% ....wafanyakazi wa TZ ni wapole , hawaongezwi mishahara fresh tu , no kupanda madaraja fresh tu wala hata hawalalamiki
 
Mapovu ni ujumbe tosha kuwa dawa imeingia, mkipenda mezeni, hampendi temeni, wiki hii nita deal na huyu mshamba anayetaka kula Bata kwa pesa za walipa kodi. Mtu aliyejulia kuvaa Bungeni leo anawezaje kuwaambia Watanzania tule Bata? Huyu Zitto ametoka Bushi kuja chuo kikuu cha Dar es Salaam na. Baadaye moja kwa CHADEMA. Anajulia wapi kula Bata? Waha wenzake wanateseka kulima mawese na kuvua Migebuka yeye anawaza kula Bata Ikulu? Shenzi kabisa.
fanya kazi nyingine mzee baba....zitto polisi,kamati za bunge wanamwita wanamhoji na wanamuacha huru (wanaishia kupewa ushahidi na elimu ya bure)...ije kuwa wewe ID tu unatumia feki....mazero brain ni mengi sana siku hizi
 
Siasa za Zitto zenyewe za kishamba tu, tangu akiwa Chadema amekuwa na siasa za kujikombakomba, kujionesha onesha, kusalitisaliti tu, hizi ni siasa za kishamba sana.
Katika kujifanya mzalendo, Zitto amekuwa mshambamshamba tu, amekuwa mtu wa kuzitishiatishia Taasisi za Umma ili zimhonge asianike maovu, amediriki hata kutetea ukiukwaji wa maadili ya nchi yetu na kuwa kibaraka wa Wazungu wanaotaka kutupa misaada kwa masharti ya kukubali Ushoga. Huu ni ushamba wa Hali ya juu.

Bata huliwa na wastaabu. Zitto hata mahusiano yake yamekuwa ya kishamba tu, ndiye mwenye historia ya kuoa wake wawili (Binti Jaji na Mhe. Mbunge) ndani ya Wiki moja.
Ulimbukeni ni kitu kibaya sana. Limbukeni anaweza kufanya mambo ya ajabu bila ya kuona aibu ila wanaomzunguka wakaona aibu kwa niaba yake. Kitu kibaya sana.
Zitto washawishi Watanzania kwa kitu kingine wakuelewe washawishike kukuona unafaa kuwa Rais, hili la kula bata, sifa hiyo huna kwa sababu mpaka hapo ulipo na zaidi ya miaka 40 huna historia ya kila Bata, Unataka kula Bata ukiwa Rais? Uzeeni? Kwanza nani alikwambia Watanzania wanamtaka Rais mla Bata? Unakumbuka 2015 kuna Mgombea alipata tabu sana kwa sababu tu ya kawaida yake ya kunyoa Unga? Itakuwaje Wewe unaetaka kula Bata ambayo huna hitoria nayo bali kwa sababu tu wewe ni Rais .

Urais ni ngazi ya juu kabisa katika nchi yetu, msiwe mnaropoka ropoka tu kama mtu anayeutaka urais wa Wasaf au Team Kiba. Au unautaka urais wa Leka Dutigite ile Taasisi ulioianzisha kwa Fedha za Walipa kodi ulizohongwa na Mifuko ya Hifadhi ya Jami wakati ulipokuwa Mwenyekiti wa PAC?

Pumba
 
Screenshot_20181202-140604.png


Baada ya Katibu Mkuu wa CCM, bashiru Ally Kakurwa kumtaka Membe aende ofisni kwake kujibu tuhuma za njama zake za kuunda Makundi ndani ya Chama hicho tawala, Viongozi wa vyama vya upinzani vya CHADEMA na ACT-Wazalendo na Vijana wa Vyama hivyo Mitandaoni walianza kusambaza Ujumbe usemao "Twende na Membe 2020" na kauli mbiu ya #KaziNaBata ambapo mwanzoni wengi waliamini ujumbe huo ulilenga kutaka kuuaminisha Umma kuwa Membe anaweza kupeperusha bendera ya CCM 2020.
Kumbe ukweli ni kwamba baada ya Membe kupoteza matumaini ya kugombea urais kupitia CCM kutokana na mambo makubwa ya Maendeleo na huduma za Jamii anayoyafanya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Shushushu wa zamani ametumia taaluma yake hiyo vizuri na kufanikiwa kuwashawishi watu wenye ushawishi ndani ya upinzani majukwaani na Mitandaoni wamuandalie mazingira ya kuhamia upinzani na kugombea urais 2020.
Imekuwa kama ni bahati kwa issue ya Membe kuibuka kipindi ambacho Tundu Lissu bado yuko Hospitalini, Mbowe yuko Rumande. Godbless Lema, Yeriko Nyerere na vijana wengine ambao ni watiifu kwa Mbowe na Lissu kungana na Zitto Kabwe kusambaza ujumbe wa "Twende na Membe 2020" kwa uhuru zaidi.
Hali hii imemuacha njia panda Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na mgombea urais 2015 aliyewakilisha vyama vilivyounda Umoja wa UKAWA na kuviwezesha kupata viti vingi vya Madiwani na Wabunge.
Haijafahamika kama Mbowe naye anaujua mkakati huu wa Membe (amebadili gia angali) na kumtosa Lowassa. Tundu antipas Lissu ambaye licha ya kuwa hospitali amekuwa mahiri sana wa kufuatilia siasa za Tanzania na kutoa maoni yake hajasema chochote kuhusiana na akina Lema na kauli yao ya Twende na Membe 2020. ZIpo taarifa kuwa huenda ukaribu wa Lowassa na Rais Dkt. John Magufuli ndiyo unaomponza na kupelekea Chadema nao kuamua kumwaga Mboga.
 
View attachment 956046

Baada ya Katibu Mkuu wa CCM, bashiru Ally Kakurwa kumtaka Membe aende ofisni kwake kujibu tuhuma za njama zake za kuunda Makundi ndani ya Chama hicho tawala, Viongozi wa vyama vya upinzani vya CHADEMA na ACT-Wazalendo na Vijana wa Vyama hivyo Mitandaoni walianza kusambaza Ujumbe usemao "Twende na Membe 2020" na kauli mbiu ya #KaziNaBata ambapo mwanzoni wengi waliamini ujumbe huo ulilenga kutaka kuuaminisha Umma kuwa Membe anaweza kupeperusha bendera ya CCM 2020.
Kumbe ukweli ni kwamba baada ya Membe kupoteza matumaini ya kugombea urais kupitia CCM kutokana na mambo makubwa ya Maendeleo na huduma za Jamii anayoyafanya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Shushushu wa zamani ametumia taaluma yake hiyo vizuri na kufanikiwa kuwashawishi watu wenye ushawishi ndani ya upinzani majukwaani na Mitandaoni wamuandalie mazingira ya kuhamia upinzani na kugombea urais 2020.
Imekwa kama ni bahati kwa issue ya Membe kuibuka kipindi ambacho Tundu Lissu bado yuko Hospitalini, Mbowe yuko Rumande. Godbless Lema, Yeriko Nyerere na vijana wengine ambao ni watiifu kwa Mbowe na Lissu kungana na Zitto Kabwe kusambaza ujumbe wa "Twende na Membe 2020" kwa uhuru zaidi.
Hali hii imemuacha njia panda Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na mgombea urais 2015 aliyewakilisha vyama vilivyounda Umoja wa UKAWA na kuviwezesha kupata viti vingi vya Madiwani na Wabunge.
Haijafahamika kama Mbowe naye anaujua mkakati huu wa Membe (amebadili gia angali) na kumtosa Lowassa. Tundu antipas Lissu ambaye licha ya kuwa hospitali amekuwa mahiri sana wa kufuatilia siasa za Tanzania ya kutoa maoni yake hajasema chochote kuhusiana na akina Lema na kauli yao ya Twende na Membe 2020. ZIpo taarifa kuwa huenda ukaribu wa Lowassa na Rais Dkt. John Magufuli ndiyo unaomponza na kupelekea Chadema nao kuamua kumwaga Mboga.
Lowasa mbona kitambo sana hafai
 
Back
Top Bottom