mbasha mazengo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 630
- 588
Wew kilaza.
Njoo Songagwegwe
Njoo Songagwegwe
Kikwete, Dau na genge lao lote walitakiwa wawe UKONGA gerezani kwa kosa la kufuja fedha za NSSF kwa kuwekeza kwenye miradi mfu na kukopesha serikali ili hali walijua pesa hiyo isingerudi kuwawezesha kuwalipa wenye pesa !!
Kwa hiyo mipango ya kugombea huko kwenu ni hujuma? Umesoma hata hiyo katiba yenu inasemaje juu ya utaratibu wa kupata kiongozi na muda wa kukaa madarakani? #kazinabata # tena bata mzingaMembe ni.mwanachama wa CCM, njama zozote, ziwe kwa ajili kugombea CCM au nje bado ni hujuma. Lazima awajibishwe ikiwezekana kwa kutimuliwa mapema sana
Huyo unayemwita mhamiaji haramu ametoa mchango mkubwa kwa wasomi wengi wa nchi hii. Na huo ubaguzi wako hautaishia kwa huyo tu hata rais iko siku utamwita mhamiaji haramu.Benard Camilius Membe hana tatizo lolote Na Mh.Rais, CCM wala Nchi ila kuna kikundi kikiongozwa Na Mhamiaji haramu toka Rwanda ambae Kwa Bahati mbaya Sana katumia kodi Za wanyonge Kwa Miaka kadhaa pale Udsm anataka kujipendekeza Kwa Rais bila ya kujua Mchango wa Gwiji huyo wa Mtama Kwa Chama Na Nchi 2015
Enzi hizo huyo Mhamiaji haramu alikuwa bize kukinanga Chama Na Serikal
Roho inauma Sana kuona watu tumetoka eneo hatarishi 2015 lakin Kwa kudra zake Manani tukavuka salama Halafu anaibuka Jini Makata kutaka kuturudisha Kule Kule
Mola wa Viumbe nusura Nchi yetu Na shari ya Shaitwaan Rajeem
Duhwewe ndio mwenye upeo/uelewa finyu kwani nimesema ccm mnamuogopa (wingi) halafu wewe ukaniuliza wapi umemuogopa
Sasa mkuu kama 2015 wakamdandia lowasa fisadi walomnadi wnyw for yearsChadrama mcharuko mizee ya matukio huwa hayaoni future
Huwa yanadandia tu kila basi
Mbowe wako wengi tupe majina yake yote. Kama ndio Yule wa kugawa viti maalum watakaopona ni hao wa viti maalumKiukweli kama watu wanataka kula Bata bila kujali tija ya rasilimali zetu basi ni vema tukachagua chama cha mabepari cha Chadema. Na kwa uzoefu basi twende na Mbowe 2025 watu wale Bata hadi kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro.
Hakuna mwingine anayeweza kutupeleka katika Kazi na Bata na hata huyo @zittokabwe hawezi.
Usiku mwema!
Kaka mbona watupeleka mbali sisi mawazo yetu yapo hapo karibu tu 2020Kiukweli kama watu wanataka kula Bata bila kujali tija ya rasilimali zetu basi ni vema tukachagua chama cha mabepari cha Chadema. Na kwa uzoefu basi twende na Mbowe 2025 watu wale Bata hadi kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro.
Hakuna mwingine anayeweza kutupeleka katika Kazi na Bata na hata huyo @zittokabwe hawezi.
Usiku mwema!
Naona mmejipanga kuja kujitekenya na kucheka wenyewe kwa wenyeweBata zipi za gerezani na kuvunja sheria bata watakula mahawala zake
Ukweli ni kuwa CCM wameshajiharibia na wanatakiwa wajipange tena kikweli kweli!!! Lowasa anaweza rudi CCM lakini pia bado CCM 2020.Bado kazi ipo!!Kumweka Segerea Mbowe,Ester na Wengineo Bado Awasaidii CCM 2020!!Bwana Asipo Ulinda Mji! Waulindao wanakesha Bure!!! Some Trust their Securities and BodyGuardies! We will always Trust Our GodKiukweli kama watu wanataka kula Bata bila kujali tija ya rasilimali zetu basi ni vema tukachagua chama cha mabepari cha Chadema. Na kwa uzoefu basi twende na Mbowe 2025 watu wale Bata hadi kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro.
Hakuna mwingine anayeweza kutupeleka katika Kazi na Bata na hata huyo @zittokabwe hawezi.
Usiku mwema!
Membe si ameitwa akajieleze? Aende akayaseme hayo au nenda wewe umsemee kama amekutuma.Benard Camilius Membe hana tatizo lolote Na Mh.Rais, CCM wala Nchi ila kuna kikundi kikiongozwa Na Mhamiaji haramu toka Rwanda ambae Kwa Bahati mbaya Sana katumia kodi Za wanyonge Kwa Miaka kadhaa pale Udsm anataka kujipendekeza Kwa Rais bila ya kujua Mchango wa Gwiji huyo wa Mtama Kwa Chama Na Nchi 2015
Enzi hizo huyo Mhamiaji haramu alikuwa bize kukinanga Chama Na Serikal
Roho inauma Sana kuona watu tumetoka eneo hatarishi 2015 lakin Kwa kudra zake Manani tukavuka salama Halafu anaibuka Jini Makata kutaka kuturudisha Kule Kule
Mola wa Viumbe nusura Nchi yetu Na shari ya Shaitwaan Rajeem
Jibu hoja acha kujikanyaga.Duh
Hiv hivi vyama vyenu vinafunza nn.
Kwa stail hii bado tuna safar ndefu kuwaelewa kweri kweri.
hawa wapinzani lini watatengezeza mgombea urais wao? Kila siku wanategemea kutoka CCM, tena wana CCM waliokwisha kisiasa, watu wa Hovyo Kabisa.Sasa mkuu kama 2015 wakamdandia lowasa fisadi walomnadi wnyw for years
Sasa hv wanamnad mtu alyekuwa rfk kipenz wa "rais dhaif" ambaye huko nyuma hakuwa mwema kwao.
Inatia mashaka kuwa na upinzan wa kudandia dandia kila mtu tu