Random
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 791
- 743
Hii ni misemo miwili kutoka pande mbili znazopinzana, hapa kazi tuh! ni motto ya CCM kutoka kwa Rais JPM since 2015,
Kazi na bata ni kutoka kwa wapinzani wa CCM na imeanzishwa na Zitto Kabwe kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ikiwa na hashtag, imeshika kasi tarehe za mwanzo za Dec 2018
Baaadhi ya wanachama wa CHADEMA wameipokea kwa mikono miwili na wao kuhashtag kwenye kurasa zao, pia wako wasiokuwa wanachama wa CHADEMA au chama chochote pia wameonekana kuibali
Maana ya motto '' Kazi na bata"
Hii inapooza makali ya hapa kazi tuu, baada ya kazi mtu astarehe si unajua labour always prefer leissure? Stress za kazini, vibaruan zckufanye ufikirie kaz mda wote, jipe mda wa bata/starehe kidogo, hii inaeza kuwa ni modified version ya hapa kazi tuu
Kazi na bata ni kutoka kwa wapinzani wa CCM na imeanzishwa na Zitto Kabwe kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ikiwa na hashtag, imeshika kasi tarehe za mwanzo za Dec 2018
Baaadhi ya wanachama wa CHADEMA wameipokea kwa mikono miwili na wao kuhashtag kwenye kurasa zao, pia wako wasiokuwa wanachama wa CHADEMA au chama chochote pia wameonekana kuibali
Maana ya motto '' Kazi na bata"
Hii inapooza makali ya hapa kazi tuu, baada ya kazi mtu astarehe si unajua labour always prefer leissure? Stress za kazini, vibaruan zckufanye ufikirie kaz mda wote, jipe mda wa bata/starehe kidogo, hii inaeza kuwa ni modified version ya hapa kazi tuu