Kazi na bata vs hapa kazi tu

Kazi na bata vs hapa kazi tu

Pension ya wafanyakazi imechezewa sana kipindi kilichopita. Njoo nikuonyeshe haya majengo yaliyojaa nchi nzima halafu hayana wateja.

Kikwete, Dau na genge lao lote walitakiwa wawe UKONGA gerezani kwa kosa la kufuja fedha za NSSF kwa kuwekeza kwenye miradi mfu na kukopesha serikali ili hali walijua pesa hiyo isingerudi kuwawezesha kuwalipa wenye pesa !!
 
Kama twende na Membe 2020 ni kwa upande wa Upinzani "MUSIBA" anahangaika nini?
Membe ni.mwanachama wa CCM, njama zozote, ziwe kwa ajili kugombea CCM au nje bado ni hujuma. Lazima awajibishwe ikiwezekana kwa kutimuliwa mapema sana
 
Mim
Benard Camilius Membe hana tatizo lolote Na Mh.Rais, CCM wala Nchi ila kuna kikundi kikiongozwa Na Mhamiaji haramu toka Rwanda ambae Kwa Bahati mbaya Sana katumia kodi Za wanyonge Kwa Miaka kadhaa pale Udsm anataka kujipendekeza Kwa Rais bila ya kujua Mchango wa Gwiji huyo wa Mtama Kwa Chama Na Nchi 2015

Enzi hizo huyo Mhamiaji haramu alikuwa bize kukinanga Chama Na Serikal

Roho inauma Sana kuona watu tumetoka eneo hatarishi 2015 lakin Kwa kudra zake Manani tukavuka salama Halafu anaibuka Jini Makata kutaka kuturudisha Kule Kule

Mola wa Viumbe nusura Nchi yetu Na shari ya Shaitwaan Rajeem
Mimi naipenda TANZANIA kuliko vyama vya siasa
 
kwani wewe ndio ccm?
Dah
Unanifanya niwe na mashaka na upeo wako
Ww umeniquote andiko langu na kuuliza "kwann ccm mnamuogopa membe.... "
So imebid nptie andiko langu lkn cjaona sehem nlosema mm n ccm.

Je umenielewa hapo "great thinker wa jf"
 
Kikwete, Dau na genge lao lote walitakiwa wawe UKONGA gerezani kwa kosa la kufuja fedha za NSSF kwa kuwekeza Mwenyewe miradi mfu na kukopesha serikali ili hali walijua pesa hiyo isingerudi kuwawesha wenye pesa kulipwa!!

Kabisa. Sheria inaweza inapigwa ila hela ya wastaafu ingeendelea kutumika vile mifuko ingefilisika
 
Iko hivi jiwe atawafuta uanachama wote tishio kwake wakiwemo wastaafu wanaowashwa washwa, baada ya kufutwa kwa kigezo cha usaliti,wataona njia pekee ni kukimbilia ukawa hivo itakuwa ccm b vs act,cuf,chadema,chauma, dhidi ya ccm makinikia ya jiwe,mpira ukiwekwa kati ccm makinikia chali Sababu makinikia inamiliki dola itaforce kuingia kingi kwa kutumia dola, dola ni sehemu ya wahanga wa mafao 25%,ndo itakuwa ajenda kuu watalitosa jiwe,ukawa vs ccm b chini ya Membe kwa msaada wa western country plus USA watamuangusha jiwe ataforce akiforce hana chake ndipo atapigwa dafrao hata waliomzunguka si wake wako naye akigeuza mngongo wanamg'ong'a kwani nao ni sehemu ya jamii, atajikuta yuko pekee yake.Akicheza ataingia 18 za wazungu watamtupa the Hague sehemu Salama kwa watu aina yake.Kumbe ni ndoto tu nawaza.
 
Mtumeee
Kama neno lisemavyo nitawasambaratisha adui zako na nitawapiga kwa pepo la kuchanganyikiwa na laana ya umasikini wao pamoja na vizazi vyao milele yote walahi
Imependeza sana hii
Hahahaha
mwenye chama Lowasa si jitu la mchezo mchezo atawarusha kichura chura bavicha mpaka mwongee kimasai uwiii
 
Iko hivi jiwe atawafuta uanachama wote tishio kwake wakiwemo wastaafu wanaowashwa washwa, baada ya kufutwa kwa kigezo cha usaliti,wataona njia pekee ni kukimbilia ukawa hivo itakuwa ccm b vs act,cuf,chadema,chauma, dhidi ya ccm makinikia ya jiwe,mpira ukiwekwa kati ccm makinikia chali Sababu makinikia inamiliki dola itaforce kuingia kingi kwa kutumia dola, dola ni sehemu ya wahanga wa mafao 25%,ndo itakuwa ajenda kuu watalitosa jiwe,ukawa vs ccm b chini ya Membe kwa msaada wa western country plus USA watamuangusha jiwe ataforce akiforce hana chake ndipo atapigwa dafrao hata waliomzunguka si wake wako naye akigeuza mngongo wanamg'ong'a kwani nao ni sehemu ya jamii, atajikuta yuko pekee yake.Akicheza ataingia 18 za wazungu watamtupa the Hague sehemu Salama kwa watu aina yake.Kumbe ni ndoto tu nawaza.
Hahahaha
Hadithi hadithi njoo utamu kolea
Upinzani uliojaa wahuni watupu
Wewe kijana mdogo veeepe
 
Na kwa akil ya upinzan wa nchi hii watamchukua kwel huyu jasus kama lowasa vile
Chadrama mcharuko mizee ya matukio huwa hayaoni future
Huwa yanadandia tu kila basi
 
kwanini ccm mnamuogopa membewakati kila siku mnatuaminisha kuwa jiwe kafanya maajabu
Babu huyo asiye na mbele wala nyuma ni wa kufyekeleeeeea mbali
Heshima haimfai mpumbavu
 
Mtumeee
Kama neno lisemavyo nitawasambaratisha adui zako na nitawapiga kwa pepo la kuchanganyikiwa na laana ya umasikini wao pamoja na vizazi vyao milele yote walahi
Imependeza sana hii
Hahahaha
mwenye chama Lowasa si jitu la mchezo mchezo atawarusha kichura chura bavicha mpaka mwongee kimasai uwiii
Neno linasemaje kuhusu kuporwa mafao ya wastaafu mkuu
 
Dah
Unanifanya niwe na mashaka na upeo wako
Ww umeniquote andiko langu na kuuliza "kwann ccm mnamuogopa membe.... "
So imebid nptie andiko langu lkn cjaona sehem nlosema mm n ccm.

Je umenielewa hapo "great thinker wa jf"
wewe ndio mwenye upeo/uelewa finyu kwani nimesema ccm mnamuogopa (wingi) halafu wewe ukaniuliza wapi umemuogopa
 
Back
Top Bottom