Kauli za kisiasa zilizowahi kuwaudhi sana Watanzania

Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi.....nafikiri hiyo statement inafanana na ile iliyotolewa na Mh Pius Msekwa..........uko sahihi ilitamkwa na Pius Msekwa alipoteuliwa kuwa m/kiti wa Bodi Vodacom na siye Ben William Mkapa

7. "You can Go to Hell"........JS Malecela alipokuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi.........
Hii ya Cigweiyimis sina hakika nayo maana nilikuwa std iii na niko kijijini radio mpaka dingi arudi toka kwenye palizi za pamba!!! Hahahaaaaaaaaaaaaa!! Sina coment hapo ila ilitumika ktk kuhalalisha kumnyima urais 1995 na kum descredit alipoteuliwa kuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu. Tanzania na vimbwaanga vyake, kazi kweririikweri
 
Mkuu Kichuguu amesema ataenda kuvuta facts ili aweze kusubstantiate data zake kwahiyo si vibaya kama tutasubiri atuletee badala ya kumpachika majina mengi ya mara muongo na mengine kama hayo. Ustaarabu ni kusubiri mtu alete facts zake na siyo kumtukana kama alivyofanya mkulu FMES!
 
''Mimi sijawahi kuwashambulia mafisadi lakini inashangaza nimekuta jimboni mwangu wamesambaza mamilioni" - Victor Mwambalaswa (Mb-Lupa CCM), December, 2009.
 
Lets check hii so called Great Thinking..............

Mzee FMES, usibishe kuwa Malecela hakuwahi kutamka kuwa".... I will tell them, you can go to hell." Ukweli ni kuwa John ambaye bado alikuwa angali kijana wakati huo (almost 30 years ago) alimwaga lazi hiyo kwenye hafla fulani ya TRC pale Gerezani . .

- .....
- Hii habari inadaiwa na walioitengenza kwamba aliisema kwenye hafla iliyofanyika kwenye Club ya Railways, iliyokuwepo pale karibu na kituo cha Treni za TRC pale karibu na Central Police, kwa hiyo kama kweli ulisoma mijadala iliyofuata basi ungejua kwamba huu unaousema wa Gerezani ni uongo wa mchana! Kwamba alikua na miaka 30 ni pure nonsense!

-......................Respect.


FMEs!

brb
 
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi.....nafikiri hiyo statement inafanana na ile iliyotolewa na Mh Pius Msekwa..........

7. "You can Go to Hell"........JS Malecela alipokuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi.........
Kungekuwa na taasisi ya kweli ya maadili ya viongozi kauli kama hizi zilipaswa kudhibitiwa na taasisi hiyo, kwani kila kauli imebeba matusi mazito kwa waajiri (wananchi).
Nakumbuka msekwa alisema kauli hiyo ilipo hojiwa kwamba inakuwaje yeye ni mwenyekiti wa bodi ya vodacom wakati yeye ni spika wa bunge.
 
Mkuu Kichuguu amesema ataenda kuvuta facts ili aweze kusubstantiate data zake kwahiyo si vibaya kama tutasubiri atuletee badala ya kumpachika majina mengi ya mara muongo na mengine kama hayo. Ustaarabu ni kusubiri mtu alete facts zake na siyo kumtukana kama alivyofanya mkulu FMES!

- Ni wale wale haters tu, hakuna cha ajabu, aliyosema Kichuguu ni simply uongo tena usio na aibu, na the worst anashauri tuende tukatafiti ukweli na facts kwenye magazeti ya CCM that is the biggest joke I ever heard! Gisley Mapunda kabla hajafariki ali-confess mbele ya Malecela all that evil he did, so was Mazengo naye kabla hajafariki kwa hiyo hakuna siri ni a matter of time kabla vitabu havijaandikwa. Waliokuwepo kwenye ile tafrija karibu na Malecela ile siku ni Mzee Kitenge, Tom Mmari, Mzee Kibwana na Marehemu Mama Kirunda, wote sasa Marehemu lakini wameacha kumbu kumbu in writting kuhusu hiyo hafla na yote yalifanyika na ksuemwa na ambayo hayakusemwa.

- Ukileta uongo hapa JF huwa hatuna jina lingine zaidi ya kukuita exactly what you are yaani Muongo, kama ni matusi so be it na pole sana mkuu sikutegemea mtu kama wewe useme tofauti au kutokuwa na makengeza kwenye this kind of ishu, na wewe si una runins zako na mzee na mkewe, Bwa! ha! ha!! halafu the funny thing about life ni kwamba bado ni lazima nishirikiane na this kind of design ha! ha! ha!

- By the way sasa hivi yupo London na next week atakua NYC.

Respect.

FMEs!
 
Lets check hii so called Great Thinking..............





brb

- Ngoja niwahi St. Patric parade leo wanaishia Soho Village, Bwa! ha! ha! ha! kama alijua anasema ukweli kwa nini kwenda kubadili baada ya kukamatwa na uongo, Bwa! ha! ndio maana ninasema ngoja niwahi Soho village! Bwa1 ha! ha!

Es!
 
Hii ya Cigweiyimis sina hakika nayo maana nilikuwa std iii na niko kijijini radio mpaka dingi arudi toka kwenye palizi za pamba!!! Hahahaaaaaaaaaaaaa!! Sina coment hapo ila ilitumika ktk kuhalalisha kumnyima urais 1995 na kum descredit alipoteuliwa kuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu. Tanzania na vimbwaanga vyake, kazi kweririikweri

- Ndio uzuri wa JF sio wote hapa ni 70%, kuna tunaotumia vichwa vyetu kufikiri, na kuchambua facts na pumba, thanks Great Thinker!

Respect.


FMEs!
 
-
TRC Club haiko Gerezani, ambako ndiko inakosemekana alisema hayo maneno,

FMEs!

Mkuu FMEs, nimejaribu kujizuia kuingia kwenye huu mjadala kwa sababu kubwa kuwa huko nyuma tuliwahi kukubaliana kuwa tusikubaliane kwa issue hii. Hata hivyo nakubaliana na Mkuu Kichuguu kuwa Dr. Cigwiyemisi John Samwel Malecela ni kweli alitamka maneno hayo alipokuwa Waziri katika serikali ya awamu ya kwanza. Pili iliyojulikana wakati huo kama TRC Club ni kweli likuwa Gerezani, period. Binafsi nakuomba uachane na hii topic - ni ushauri tu.
 
Mkuu FMEs, nimejaribu kujizuia kuingia kwenye huu mjadala kwa sababu kubwa kuwa huko nyuma tuliwahi kukubaliana kuwa tusikubaliane kwa issue hii. Hata hivyo nakubaliana na Mkuu Kichuguu kuwa Dr. Cigwiyemisi John Samwel Malecela ni kweli alitamka maneno hayo alipokuwa Waziri katika serikali ya awamu ya kwanza. Pili iliyojulikana wakati huo kama TRC Club ni kweli likuwa Gerezani, period. Binafsi nakuomba uachane na hii topic - ni ushauri tu.

- Mkuu heshima yako sana, wewe unakubaliana na Kichuguu na mimi ninasimamia hoja yangu kwamba hii kauli originally ilidaiwa kwamba aliisema kwenye TRC Club iliyoko karibu na Central Police, ambako ni kweli siku hiyo Malecela alikuwepo ilikuwa Jumamosi kwenye tafrija ya Relwe, na bado ninakataa kwamba hakuisema hiyo kauli, isipokuwa ilitengenezwa na maadui zake kisiasa waliomtumia msaidizi wake wa karibu sana Marehemu Gisley Mapunda.

- Huu mchezo wa kumkosesha raha kisiasa Malecela haukuishia hapo, infact after that kuna "watu" walitumwa kwenda kupitia kila kona kijijini alikozaliwa kuona kama kuna anything negative inayoweza kutumiwa kumkandamiza zaidi wananchi wengi pale kijijini walimfahamisha mwenyewe juu ya watu hawa wageni pale kijijini, na baadaye walihamia mjini Dodoma, kwa vile hakukuwepo anything serious ndio zakiaanza kazi za njama za kumng'oa ubunge kwa kumtumia Marehemu Mazengo.

- Sasa ninaomba nikufahamishe hivi kwamba ninachosimamia hapa ni a principle na sio Malecela as a human, kwa sababu najua kwamba ana mapungufu mengi sana kama mimi na wewe, lakini siku zote nina mkataba na ukweli regardless unamhusu nani ninasimamia ukweli ninaoujua, na mkuu haya maswali niliwahi kumuuuliza mwenyewe Malecela, licha ya wasaidizi wake hasa Mzee Misano, aliyekuwa Manager wake wa uchaguzi na wengineo kama ndugu yake Mzee Lusinde, haiwezekani kwmba Malecela ana nguvu za ajabu kiasi cha kuwafanya hawa watu wote wazima waseme uongo on his behalf.

- Katika maisha yake ya siasa Malecela siku zote alikuwa na haters tena wa ajabu sana, ambao wako willing kusema anything ku-support the big conspiracy ambayo hawakuijua kuwa ilikuwa inaongozwa na mtu mmoja tu kwa makusudi yake binafsi, sasa ndio maana siwezi kushangazwa na ushuhuuda wako kwamba Malecela alisema, siku inayodaiwa kwamba alisema, wakati wote wa chakula alikuwa karibu sana na Marehemu Mama Kirunda, aliyekuwa Manager wa Cattering wa TRC, Tom Mmari aliyekuwa big Administrator wa TRC, Marehemu Mzee Kitenge another TRC big then, na Marehemu Mzee Kibwana another TRC big then, pia alikuwepo karibu naye alikuwa Marehemu Gisley Mapunda aliyekua personal Assistsant wake, na Waandishi wengi wa habari akiwemo Bwana Balinagwe. Na ninaomba nikuhakikishie kwamba it is a matter of time kabla vitabu vya majibu kuhusu all accusations against Malecela havijaanza kuchapishwa na ndipo wananchi wa taifa hili watakapoamua ukweli na uongo ulipo. na hivi vitabu vitawaelezea kwa urefu wale waandishi wote wa habari waliotumika na hizo conspiracy kwa kuweka wazi record zao za uandishi ili kuonyesha with evidence kwamba kwa nini kwenye Malecela walikua wanaandika bila kujali taratibu za uandishi.

- Kwenye hizi conspiracy against Malecela mkuu ninaongea na utafiiti wala sio majungu kwa hiyo, rest assured kwamba ninaheshimu sana Demokrasia na hasa Dual Process, ambapo kila upande unapewa nafasi ku-represent it case na wananchi kuamua conclusion.

Respect.

FMEs!
 
... haya maswali niliwahi kumuuuliza mwenyewe Malecela, licha ya wasaidizi wake hasa Mzee Misano, aliyekuwa Manager wake wa uchaguzi na wengineo kama ndugu yake Mzee Lusinde, haiwezekani kwmba Malecela ana nguvu za ajabu kiasi cha kuwafanya hawa watu wote wazima waseme uongo on his behalf.

Hao wote ni kaka au wapambe wa kulipwa wa Malecela, si ushasema "wasaidizi" wake? Ungesema "Fulani bin Juliasi, hasimu mkuu wa Malecela, alikiri hakusema," ingesaidia. Unaleta ngedere kutoa ushahidi kesi ya sokwe?

... rest assured kwamba ninaheshimu sana Demokrasia na hasa Dual Process, ambapo kila upande unapewa nafasi ku-represent it case na wananchi kuamua conclusion.

FMEs!

Kwenye hiyo "due process" Wananchi walishaongea mbona, kwenye uchaguzi ulofuata, 1985, wakaona kuliko Malecela bora tulipe zimwi tusilolijua, Mzee Mazengo (P.K.A) akawa Mbunge.
 
Hao wote ni kaka au wapambe wa kulipwa wa Malecela, si ushasema "wasaidizi" wake? Ungesema "Fulani bin Juliasi, hasimu mkuu wa Malecela, alikiri hakusema," ingesaidia. Unaleta ngedere kutoa ushahidi kesi ya sokwe?

- Mkuu hawa wote hapa chini upo ushahidi wa maandishi wa kukataa kwao, labda nimekusaidia ndugu yangu!


siku inayodaiwa kwamba alisema, wakati wote wa chakula alikuwa karibu sana na Marehemu Mama Kirunda, aliyekuwa Manager wa Cattering wa TRC, Tom Mmari aliyekuwa big Administrator wa TRC, Marehemu Mzee Kitenge another TRC big then, na Marehemu Mzee Kibwana another TRC big then, pia alikuwepo karibu naye alikuwa Marehemu Gisley Mapunda aliyekua personal Assistsant wake, na Waandishi wengi wa habari akiwemo Bwana Balinagwe.

Kwenye hiyo "due process" Wananchi walishaongea mbona, kwenye uchaguzi ulofuata, 1985, wakaona kuliko Malecela bora tulipe zimwi tusilolijua, Mzee Mazengo (P.K.A) akawa Mbunge.


- Mkuu again hizi ndizo kazi alizofanya Malecela, baada ya wananchi kuongea kama ulivyosema pale juu, yaani zimwi wanalolijua, au?

Positions held

  • Regional Commissioner of Iringa - 1986-1988
  • Member of the Group of Eminent Persons of the Commonwealth on South African situation - 1985
  • Tanzanian High Commissioner to the United Kingdom - 1989-90
  • Prime Minister and First Vice President 1990-1994
  • Vice Chairman of the ruling Party, Chama cha Mapinduzi (CCM) - 1995 to 2007
  • Member of Parliament for Mtera - 1990 to date
- Haya kaka pigana na facts, mimi nawahi St. Patric Parade maaana leo nasikia itaishia Soho Village.

Respect.


FMEs!
 
Kwenye hiyo "due process" Wananchi walishaongea mbona, kwenye uchaguzi ulofuata, 1985, wakaona kuliko Malecela bora tulipe zimwi tusilolijua, Mzee Mazengo (P.K.A) akawa Mbunge.

- Kwa taarifa yako mkuu, Wilson Kusila na Ndejembi, wakitumiwa na wengine walijaribu kumpandikiza tena kwenye uchaguzi wa ubunge wa 2000, this time sio tu hawakuweza bali masikini Mzee Mazengo, aliyekua hoi sana kimaisha, aliishia kutangulia kwenye haki ila kabla hajafariki alitafuta muda wake na ku-make a peace na Malecela, ambapo alimueleza kila kitu on all evils alizozifanya against na pia kwa maandishi na waliokuwa wakimtumia, exactly the same thing alichofanya Marehemu Mapunda.

- Infact Malecela alikuwa akijaribu kumtafutia kazi kwenye international community, kabla hajafariki.

- Again nawahi Soho village kwenye parade ya St. Patric, later mkuu!

Thanks Mkuu.

FMEs!
 
Mzee FMES, usibishe kuwa Malecela hakuwahi kutamka kuwa".... I will tell them, you can go to hell." Ukweli ni kuwa John ambaye bado alikuwa angali kijana wakati huo (almost 30 years ago) alimwaga lazi hiyo kwenye hafla fulani ya TRC pale Gerezani . Mimi nilikuwa Mgulani JKT wakati huo na ninakumbuka sana mjadala uliofuatia kuhusu kauli yake ile. Nina imani kuwa hakuwa anataka kutukana watu bali labda alikuwa anatia utani tu kwenye hotuba yake kwani alikuwa keshatuliza safari kadhaa. Lakini kubisha kuwa it never happened utakuwa huwatendei haki waliozaliwa baada ya hapo.

Nakumbuka kuisoma hii habari magazetini na makala nyingi za kudai Malecela aombe msamaha. Hii ilienda kama wiki moja na mwishoni ikaandikwa makala kuwa kaomba msamaha.

Kisuguu, ugomvi ulikuwa ni tatizo la usafiri Tanzania na Malecela alikuwa au PM au Waziri wa usafiri na uchukuzi. Walopomuuliza akasema kuwa "wanaosema Tanzania kuna shida ya usafiri, they can go to hell".

Kuhusu muda nina uhakika ilikuwa kati ya July 1986 - May 1989 kwani kipindi hicho nilikuwa Arusha na nakumbuka kusoma hilo gazeti nikiwa nimesimama Namanga Road karibu na Mianzini. Kwahiyo ni kama miaka 22 hivi iliyopita na si 30.

Narudia tena kuwa niliisoma magetini, hilo nina uhakika nalo 100% ila alisema au hakusema na wapi alisema, hilo siwezi kujibu. Labda tumuulize Adam Lusekelo kwani Daily News waliandika sana nao. Au Michuzi apekue mafaili.
 
- bado ninakataa kwamba hakuisema hiyo kauli, isipokuwa ilitengenezwa na maadui zake kisiasa waliomtumia msaidizi wake wa karibu sana Marehemu Gisley Mapunda.

Cigwiyemisi John Samwel Malecela hakika alitoa kauli kama kama hiyo - huo ndio ukweli, mengine ni spin tu. Hao maadui zake wa kisiasa ndio walikuwa akina nani.

- Huu mchezo wa kumkosesha raha kisiasa Malecela haukuishia hapo, infact after that kuna "watu" walitumwa kwenda kupitia kila kona kijijini alikozaliwa kuona kama kuna anything negative inayoweza kutumiwa kumkandamiza zaidi wananchi wengi pale kijijini walimfahamisha mwenyewe juu ya watu hawa wageni pale kijijini, na baadaye walihamia mjini Dodoma, kwa vile hakukuwepo anything serious ndio zakiaanza kazi za njama za kumng'oa ubunge kwa kumtumia Marehemu Mazengo.

Cigwiyemisi John Samwel Malecela wakati huo alikuwa tishio kwa nani hadi taifa zima litumiwe kumkandamiza - tishio kwa Mwalimu ?

Na ninaomba nikuhakikishie kwamba it is a matter of time kabla vitabu vya majibu kuhusu all accusations against Malecela havijaanza kuchapishwa na ndipo wananchi wa taifa hili watakapoamua ukweli na uongo ulipo. na hivi vitabu vitawaelezea kwa urefu wale waandishi wote wa habari waliotumika na hizo conspiracy kwa kuweka wazi record zao za uandishi ili kuonyesha with evidence kwamba kwa nini kwenye Malecela walikua wanaandika bila kujali taratibu za uandishi.

Yale yale ya kuandika kwa nia ya kupotosha historia. Matamshi hayo ya Cigwiyemisi John Samwel Malecela yalizua tafrani kubwa hadi wananchi kutaka awajibishwe. Nakumbuka ilifikia hatua ya waandishi kutaka ufafanuzi zaidi kwa hilo tamko - tusisahau kuwa huyu alikuwa Waziri tena mwandamizi aliyetakiwa kusikiliza kilio cha wananchi kuhusu usafiri wa reli.
 
Nakumbuka kuisoma hii habari magazetini na makala nyingi za kudai Malecela aombe msamaha. Hii ilienda kama wiki moja na mwishoni ikaandikwa makala kuwa kaomba msamaha.

Kisuguu, ugomvi ulikuwa ni tatizo la usafiri Tanzania na Malecela alikuwa au PM au Waziri wa usafiri na uchukuzi. Walopomuuliza akasema kuwa "wanaosema Tanzania kuna shida ya usafiri, they can go to hell".

Kuhusu muda nina uhakika ilikuwa kati ya July 1986 - May 1989 kwani kipindi hicho nilikuwa Arusha na nakumbuka kusoma hilo gazeti nikiwa nimesimama Namanga Road karibu na Mianzini. Kwahiyo ni kama miaka 22 hivi iliyopita na si 30.

Narudia tena kuwa niliisoma magetini, hilo nina uhakika nalo 100% ila alisema au hakusema na wapi alisema, hilo siwezi kujibu. Labda tumuulize Adam Lusekelo kwani Daily News waliandika sana nao. Au Michuzi apekue mafaili.

- Ahsante sana mkuu Sikonge, umesikika sana ndugu yangu tena loud and clear!

Respect.


FMEs!
 
Mkuu FMEs, nimejaribu kujizuia kuingia kwenye huu mjadala kwa sababu kubwa kuwa huko nyuma tuliwahi kukubaliana kuwa tusikubaliane kwa issue hii. Hata hivyo nakubaliana na Mkuu Kichuguu kuwa Dr. Cigwiyemisi John Samwel Malecela ni kweli alitamka maneno hayo alipokuwa Waziri katika serikali ya awamu ya kwanza. Pili iliyojulikana wakati huo kama TRC Club ni kweli likuwa Gerezani, period. Binafsi nakuomba uachane na hii topic - ni ushauri tu.


Cigwiyemisi John Samwel Malecela hakika alitoa kauli kama kama hiyo - huo ndio ukweli, mengine ni spin tu. Hao maadui zake wa kisiasa ndio walikuwa akina nani. Cigwiyemisi John Samwel Malecela wakati huo alikuwa tishio kwa nani hadi taifa zima litumiwe kumkandamiza - tishio kwa Mwalimu ?
Yale yale ya kuandika kwa nia ya kupotosha historia. Matamshi hayo ya Cigwiyemisi John Samwel Malecela yalizua tafrani kubwa hadi wananchi kutaka awajibishwe. Nakumbuka ilifikia hatua ya waandishi kutaka ufafanuzi zaidi kwa hilo tamko - tusisahau kuwa huyu alikuwa Waziri tena mwandamizi aliyetakiwa kusikiliza kilio cha wananchi kuhusu usafiri wa reli.

- Marafiki zako wote walikuwepo pale Daily News, Mzalendo na Sumday News, si uwaulize tu badala ya hasira bila facts na wewe ni mtu unayeheshimika sana mkuu na uandishi wako uliotukuka duniani, au?

Respect.


FMEs!
 
baada ya kuupitia mjadala huu, nashawishika malecela amekuwa malaika katika pitapita zake zoote za uongozi. Maana yaelekea yeye amewinda sana na wabaya wake. Sijui yeye hakuwahi kuwinda na vyeo vyoote hivyo alivyopewa? Siku moja fmes hebu jitume basi kidogo uzungumze na mapungufu yake. Maana haiwezekani siku zote mzee huyu hakuteleza. Naandika hili kutokana na hoja zako juu ya malecela ila kwahili la hii thread naendelea kuwa msomaji maana sina ushahidi zaidi ya hearsay.
 
baada ya kuupitia mjadala huu, nashawishika malecela amekuwa malaika katika pitapita zake zoote za uongozi. Maana yaelekea yeye amewinda sana na wabaya wake.

- Mkuu Aanfal, heshima yako sana Malecela sio malaika isipokuwa haters wake hawana facts za kutosha kuthibitisha mapungufu yake kiuongozi, sasa unashauri nini mkuu kwamba kwa vile hakuna facts na anaonekana kama Malaika, basi ahukumiwe tu kusulubiwa maana bila hivyo itaonekana kama yeye ni malaika, is that why we here at JF?
Sijui yeye hakuwahi kuwinda na vyeo vyoote hivyo alivyopewa? Siku moja fmes hebu jitume basi kidogo uzungumze na mapungufu yake. Maana haiwezekani siku zote mzee huyu hakuteleza. Naandika hili kutokana na hoja zako juu ya malecela


- Kwanini mkuu na wewe usijitume ukaleta facts za mapungufu yake, kwani ni wapi nimemlazimisha mtu hapa kuamini uongo wangu mimi ninaweka facts tu, Malecela aliposema kwamba ufisadi ni hoja ya CCM sio ya Dr. Slaa, nilisema wazi kwamba he is wrong yeye na Mama kilango wamekosea kwa sababu facts zilikuwa wazi, otherwise sikulazimishi wewe wala member yoyote hapa kuamini uongo wangu wa kumtetea anybody licha ya Malecela tu kama ninavyofanya siku zote.

ila kwahili la hii thread naendelea kuwa msomaji maana sina ushahidi zaidi ya hearsay.

- Ni vizuri sana tukawa wakweli maana hii forums inasomwa na wananchi wengi sana, sasa tukiwapotosha itakuwa sio vyema kuweka historia iliyopinda, otherwise heshima zangu kwako kwa kuwa very fair!

Respect.


FMEs!
 
Back
Top Bottom