William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,364
Nyie watu wengine sijuwi mukoje mukoje, mna unazi wa ajabu ajabu, iwe huyo Malecela kawa malaika si mtu kuwa hawezi kutoka kauli ya kuwaudhi watu mpaka isemwe kuwa aliwahi kusema alipokuwa na pahala fulani, ushahidi gani tena unatakiwa hapa, nijuavyo hapa si mahakamani kama tuthibitishe jinai pasi na shaka, lakini kilichosemwa ni dai ambalo inawezekana kasema, tatizo lipo wapi, acheni unazi huo.
- Fact: Rais Kikwete alisema bungeni Dodoma, kwamba ukitaka kula lazima uliwe,
- Unazi: Malecela aliwaambia wananchi go to hell!,
sasa kama huu sio unazi sema alisemea wapi, du inasikitisha unakaataa unazi unaousema anyways, mkuu hupendi unazi sema Malecela alisemea wapi hayo maneno, kama huna facts basi achana na unazi,
- Ni kawaida yetu JF kudai facts inapobidi au kwa sababu mni Malecela hatuhitaji facts? ila unazi tu unatosha!, Bwa! ha! ha!
Es