Kauli ya Waziri Mkuu kutilia shaka barakoa za kisasa na kutaka watu wajishonee matambara na kuyavaa usoni haiwezi kuachwa bila kujadiliwa

1613860997062.png
 
Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo .

Hii ni kwa sababu wenye mamlaka ya kuhakiki ubora wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi ni serikali yenyewe , leo Waziri Mkuu anapoanza kutilia shaka bidhaa ambazo zinapitishwa na mamlaka anazozisimamia na kulipiwa kodi , tena zilizotengenezwa kwa viwango vya WHO na wakati huo huo akaanza ku promote barakoa za "Dengrizi" zisizo na viwango vyovyote , zilizoshonwa na fundi cherehani wa Buza kwa Mpalange ambaye hata VETA hakupita , inahitajika Maombi mazito sana kwa ajili ya nchi hii .

Nawaomba wasomi na wataalam ( hasa wa afya ) mtuthibitishie bila uoga kama kweli barakoa za " Climplin au chilimeni ama dengrizi " zinaweza kuwa na ubora kuliko barakoa zinazotengenezwa kwa viwango vinavyoelekezwa na WHO .

Naomba kuwasilisha .
Before ilikuwa marufuku kusema Tz pana corona. ( tuliamini lakini wamekubali corona ipo,, pengine wametugeuka)
Now ni marufuku kusema chanjo ya ulaya inafaa.( tutaamini ,wenyewe watachanja na kutuacha tunashasumbuliwa na coeona.
 
Kuna utata kidogo kwenye maneno yanayi semwa na baadhi ya viongozi, eti wananchi vaeni barakoa lakini lazima mjiridhishe zimetoka wapi na usalama wake..

Na haya maneno ya wasiwasi wa viwango vya barakoa yametolewa na kiongozi senior kabisa (top 3 ).

Najiuliza , ina maana huyu kiongozi

1. Hajui kazi za TBS.. kwanini badala ya kuwaambia wananchi akaagiza TBS wafanye kazi yao.

2. Je hawajui kwamba wananchi tunajua kwamba bidhaa zote zinalindwa na sheria inayosimamia TBS?

Hakuna sababu ya viongozi wa siasa kuanza kututisha wananchi kwamba baadhi ya bidhaa hazina ubora wakati tumewaamini kuunda vyombo vya kusimamia ubora..

Tunahitaji kusikia TBS wamechoma makontena mangapi ya barakoa?

Wananchi tunaamini barakoa kama bidhaa nyingine ni salaam kwa sababu wale tulio wapa kazi ya kusimamia ubora wanafanya kazi yao.
 
Wanataka kupotosha kuwa barakoa toka nje ndio zimeleta corona hii second wave. Nadhani hawakukumbuka kuwa kwenye huo upotoshaji wao wanaotaka kuufanya, TBS wana wajibu huo. Haya ndio mambo yanayozidi kuchochea upatikanaji wa katiba mpya, kwani inaonekana kabisa mtu mmoja anapokuwa na maamuzi yote ya nchi nini kinaweza kutokea.
 
Upo sahihi, na huyo mtu mmoja kwanini asiache kuwalipa mishahara kama TBS wameshindwa kutambua barakoa fake ?
Wanataka kupotosha kuwa barakoa toka nje ndio zimeleta corona hii second wave. Nadhani hawakukumbuka kuwa kwenye huo upotoshaji wao wanaotaka kuufanya, TBS wana wajibu huo. Haya ndio mambo yanayozidi kuchochea upatikanaji wa katiba mpya, kwani inaonekana kabisa mtu mmoja anapokuwa na maamuzi yote ya nchi nini kinaweza kutokea.
 
Ni propaganda za kipuuzi tu za viongozi wa hovyohovyo wa awamu ya tano.

Ukienda pale TBS ubungo au pale TMDA river side, utakuta wafanyakazi wamevaa barakoa hizo za kutoka nje.

Hata hao viongozi wa hovyohovyo kwenye maofisi yao wafanyakazi wanavaa hizo za kutoka nje.

Lakini wakiwa majukwaani ni kama kuna pepo la mauaji limewaingia.
 
Kuna utata kidogo kwenye maneno yanayi semwa na baadhi ya viongozi, eti wananchi vaeni barakoa lakini lazima mjiridhishe zimetoka wapi na usalama wake..

Na haya maneno ya wasiwasi wa viwango vya barakoa yametolewa na kiongozi senior kabisa (top 3 ).


Najiuliza , ina maana huyu kiongozi

1. Hajui kazi za TBS.. kwanini badala ya kuwaambia wananchi akaagiza TBS wafanye kazi yao.

2. Je hawajui kwamba wananchi tunajua kwamba bidhaa zote zinalindwa na sheria inayo simamia TBS?

Hakuna sababu ya viongozi wa siasa kuanza kututisha wananchi kwamba baadhi ya bidhaa hazina ubora wakati tumewaamini kuunda vyombo vya kusimamia ubora..


Tunahitaji kusikia TBS wamechoma makontena mangapi ya barakoa?


Wananchi tunaamini barakoa kama bidhaa nyingine ni salaam kwa sababu wale tulio wapa kazi ya kusimamia ubora wanafanya kazi yao.

View attachment 1707829
Nadhani Barakoa ni ''medical device'' kwahiyo wanaohusika nayo ni TMDA.
Eneo la TBS weka TMDA, and you are very right in your entire argument.
Siasa inapovuka mipaka ndio tunafikia hatua hizi...
 
Kuna utata kidogo kwenye maneno yanayi semwa na baadhi ya viongozi, eti wananchi vaeni barakoa lakini lazima mjiridhishe zimetoka wapi na usalama wake..

Na haya maneno ya wasiwasi wa viwango vya barakoa yametolewa na kiongozi senior kabisa (top 3 ).


Najiuliza , ina maana huyu kiongozi

1. Hajui kazi za TBS.. kwanini badala ya kuwaambia wananchi akaagiza TBS wafanye kazi yao.

2. Je hawajui kwamba wananchi tunajua kwamba bidhaa zote zinalindwa na sheria inayo simamia TBS?

Hakuna sababu ya viongozi wa siasa kuanza kututisha wananchi kwamba baadhi ya bidhaa hazina ubora wakati tumewaamini kuunda vyombo vya kusimamia ubora..


Tunahitaji kusikia TBS wamechoma makontena mangapi ya barakoa?


Wananchi tunaamini barakoa kama bidhaa nyingine ni salaam kwa sababu wale tulio wapa kazi ya kusimamia ubora wanafanya kazi yao.

View attachment 1707829
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana!!
 
Huyo anarudia tu maneno ya boss wake hebu tujiulize hizi dawa za mahospitali asilimia kubwa znatoka wap????
Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo .

Hii ni kwa sababu wenye mamlaka ya kuhakiki ubora wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi ni serikali yenyewe , leo Waziri Mkuu anapoanza kutilia shaka bidhaa ambazo zinapitishwa na mamlaka anazozisimamia na kulipiwa kodi , tena zilizotengenezwa kwa viwango vya WHO na wakati huo huo akaanza ku promote barakoa za "Dengrizi" zisizo na viwango vyovyote , zilizoshonwa na fundi cherehani wa Buza kwa Mpalange ambaye hata VETA hakupita , inahitajika Maombi mazito sana kwa ajili ya nchi hii .

Nawaomba wasomi na wataalam ( hasa wa afya ) mtuthibitishie bila uoga kama kweli barakoa za " Climplin au chilimeni ama dengrizi " zinaweza kuwa na ubora kuliko barakoa zinazotengenezwa kwa viwango vinavyoelekezwa na WHO .

Naomba kuwasilisha .
 
Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo .

Hii ni kwa sababu wenye mamlaka ya kuhakiki ubora wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi ni serikali yenyewe , leo Waziri Mkuu anapoanza kutilia shaka bidhaa ambazo zinapitishwa na mamlaka anazozisimamia na kulipiwa kodi , tena zilizotengenezwa kwa viwango vya WHO na wakati huo huo akaanza ku promote barakoa za "Dengrizi" zisizo na viwango vyovyote , zilizoshonwa na fundi cherehani wa Buza kwa Mpalange ambaye hata VETA hakupita , inahitajika Maombi mazito sana kwa ajili ya nchi hii .

Nawaomba wasomi na wataalam ( hasa wa afya ) mtuthibitishie bila uoga kama kweli barakoa za " Climplin au chilimeni ama dengrizi " zinaweza kuwa na ubora kuliko barakoa zinazotengenezwa kwa viwango vinavyoelekezwa na WHO .

Naomba kuwasilisha .
Baada ya kushindwa kwa hoja msala tunahamishia kwenye barakoa. Wanataka kusema tulizovaa mwaka jana ndo zimeibua hili Corona la sasa?
 
waziri Yuko sahihi,kipindi Cha mapambano lazma kujihami katika mazingira yote yenye kutiliwa shaka.lakini pia inshu sio upendeze unapozivaa balakoa,muhimu ni kujikinga.hakuna sababu ya kuongeza pato la taifa kwa nchi za nje kwa kuagiza balakoa,wakati tunauwezo wa kuzitengeneza hapahapa kwa vitenge vyetu,na vitambaa vyetu.tuache ujinga wa kubeza vya kwetu.
 
Unaona kabisa mtu anaongea asichokiamini na wakati huo huo ana ukweli anaoshindwa kuutoa. Hiyo ndio inaitwa uwajibikaji wa pamoja. Asante JK, akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Back
Top Bottom