Kauli ya Waziri Mkuu kutilia shaka barakoa za kisasa na kutaka watu wajishonee matambara na kuyavaa usoni haiwezi kuachwa bila kujadiliwa

waziri Yuko sahihi,kipindi Cha mapambano lazma kujihami katika mazingira yote yenye kutiliwa shaka.lakini pia inshu sio upendeze unapozivaa balakoa,muhimu ni kujikinga.hakuna sababu ya kuongeza pato la taifa kwa nchi za nje kwa kuagiza balakoa,wakati tunauwezo wa kuzitengeneza hapahapa kwa vitenge vyetu,na vitambaa vyetu.tuache ujinga wa kubeza vya kwetu.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hivi Tanzania inapambana na Wazungu au na Corona? Mbona mnatuchanganya?
 
waziri Yuko sahihi,kipindi Cha mapambano lazma kujihami katika mazingira yote yenye kutiliwa shaka.lakini pia inshu sio upendeze unapozivaa balakoa,muhimu ni kujikinga.hakuna sababu ya kuongeza pato la taifa kwa nchi za nje kwa kuagiza balakoa,wakati tunauwezo wa kuzitengeneza hapahapa kwa vitenge vyetu,na vitambaa vyetu.tuache ujinga wa kubeza vya kwetu.

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hapa ndio napata taabu sana kuona tangu lini maskini hakawa na adui
 
Kwa kutapatapa boss alionyesha mashaka, ni kawaida yao kusisitiza, asionekane yuko tofuti nae,
Dawa zote aidha vifaa vya kutengeneza vinatoka nje, iwe leo barakoa hatari.
Ni tatizo kutoa kauli ukimchungulia boss ili kumjenga mbele ya umma! Huko hata mwenyewe kauli za boss uziamini ila unazisisitiza!
 
Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo .

Hii ni kwa sababu wenye mamlaka ya kuhakiki ubora wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi ni serikali yenyewe , leo Waziri Mkuu anapoanza kutilia shaka bidhaa ambazo zinapitishwa na mamlaka anazozisimamia na kulipiwa kodi , tena zilizotengenezwa kwa viwango vya WHO na wakati huo huo akaanza ku promote barakoa za "Dengrizi" zisizo na viwango vyovyote , zilizoshonwa na fundi cherehani wa Buza kwa Mpalange ambaye hata VETA hakupita , inahitajika Maombi mazito sana kwa ajili ya nchi hii .

Nawaomba wasomi na wataalam ( hasa wa afya ) mtuthibitishie bila uoga kama kweli barakoa za " Climplin au chilimeni ama dengrizi " zinaweza kuwa na ubora kuliko barakoa zinazotengenezwa kwa viwango vinavyoelekezwa na WHO .

Naomba kuwasilisha .
Hii ngumu kumeza lakini ndiyo ukweli wenyewe
JamiiForums-1654925436.jpg
 
Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo .

Hii ni kwa sababu wenye mamlaka ya kuhakiki ubora wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi ni serikali yenyewe , leo Waziri Mkuu anapoanza kutilia shaka bidhaa ambazo zinapitishwa na mamlaka anazozisimamia na kulipiwa kodi , tena zilizotengenezwa kwa viwango vya WHO na wakati huo huo akaanza ku promote barakoa za "Dengrizi" zisizo na viwango vyovyote , zilizoshonwa na fundi cherehani wa Buza kwa Mpalange ambaye hata VETA hakupita , inahitajika Maombi mazito sana kwa ajili ya nchi hii .

Nawaomba wasomi na wataalam ( hasa wa afya ) mtuthibitishie bila uoga kama kweli barakoa za " Climplin au chilimeni ama dengrizi " zinaweza kuwa na ubora kuliko barakoa zinazotengenezwa kwa viwango vinavyoelekezwa na WHO .

Naomba kuwasilisha .
Acha ujinga wewe!
Kutumia barakoa kutoka nje ya nchi kuna hasara nyingi. Moja ni kwamba barakoa zaweza kutumika kuleta corona. Pili hasara ya capital flight. Tutengeneze barakoa zetu.
 
Acha ujinga wewe!
Kutumia barakoa kutoka nje ya nchi kuna hasara nyingi. Moja ni kwamba barakoa zaweza kutumika kuleta corona. Pili hasara ya capital flight. Tutengeneze barakoa zetu.
Sawa basi tungeanza na
1. Condomu
2. Miswaki
3. Tooth pick
4. Dawa za malaria
5. Dawa za Ukimwi
6. Dawa za magonjwa yote yanayosababishwa na kujamiana
7. Dawa za aina za cancer kama iliyoumuondoa Rais wetu Kambarage Nyerere
.






.

Ongezea mwenyewe

Bila kusahau kurudi kwenye tiba asilia.
Tuokoe hela sio kwenye barakoa tu.
Ipi muhimu condom au barakoa.
 
Kazi ya TBS Ni nini Sasa.

Pili, nijuavyo mimi kiongozi mkubwa Kama Waziri Mkuu kutoa kauli Kama hiyo Ni lazima kuna taarifa nyeti anazo kuhusu hiyo bidhaa. Sidhani km aliropoka

Tatu, inaweza kuwa ni kauli iliyojaa wasiwasi ya kutilia mashaka hizo barakoa kutokana na msimamo wa serikali yetu unaopingana na mabeberu. Hivyo PM akaona wanaweza kupitia barakoa wakasambaza hao virusi kuhakikisha maambukizi yanakuwa juu ili kuonyesha dunia jinsi Serikali ya Tanzania ilivyofeli ktk suala la korona.

Ikumbukwe kwamba walitengeneza tatizo na tatizo limekuwa kubwa, na tumerudi kwao kuomba suluhisho. Suluhisho Ni kukuuwa na pia kutengeneza chanjo na kuuzia na kutengeneza mapato makubwa.

Unalipa mabilioni kununua chanjo iliyobeba mauti yako mwenyewe .
 
Sawa basi tungeanza na
1. Condomu
2. Miswaki
3. Tooth pick
4. Dawa za malaria
5. Dawa za Ukimwi
6. Dawa za magonjwa yote yanayosababishwa na kujamiana
7. Dawa za aina za cancer kama iliyoumuondoa Rais wetu Kambarage Nyerere
.






.

Ongezea mwenyewe

Bila kusahau kurudi kwenye tiba asilia.
Tuokoe hela sio kwenye barakoa tu.
Ipi muhimu condom au barakoa.
Hii haitufanyi kuacha kuchukua tahadhari.
 
Jiwe amemfanya kila msaidizi wake kuwa juha
Kama Kuna ambazo huziamini si jenga kiwanda chako haraka haraka kwa kutumia Suma JKT kama ulivyofanya Mirerani au ofisi za Dodoma?
Pia unaweza kuziagiza na kupimwa TBS toka nchi unayona haina hicho anachokiita Vita uchumi na sisi?
Amefeli vibaya sana.
 
Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo .

Hii ni kwa sababu wenye mamlaka ya kuhakiki ubora wa bidhaa zinazotoka nje ya nchi ni serikali yenyewe , leo Waziri Mkuu anapoanza kutilia shaka bidhaa ambazo zinapitishwa na mamlaka anazozisimamia na kulipiwa kodi , tena zilizotengenezwa kwa viwango vya WHO na wakati huo huo akaanza ku promote barakoa za "Dengrizi" zisizo na viwango vyovyote , zilizoshonwa na fundi cherehani wa Buza kwa Mpalange ambaye hata VETA hakupita , inahitajika Maombi mazito sana kwa ajili ya nchi hii .

Nawaomba wasomi na wataalam ( hasa wa afya ) mtuthibitishie bila uoga kama kweli barakoa za " Climplin au chilimeni ama dengrizi " zinaweza kuwa na ubora kuliko barakoa zinazotengenezwa kwa viwango vinavyoelekezwa na WHO .

Naomba kuwasilisha .
Hii nchi ipo mikononi kwa wahuni
 
Back
Top Bottom