Kauli ya Waziri Mkuu kutilia shaka barakoa za kisasa na kutaka watu wajishonee matambara na kuyavaa usoni haiwezi kuachwa bila kujadiliwa

I choose to believe viongozi wetu wana nia njema nasi.,

ila km tumeachwa njia panda jmn au?.
 
Kama umegubikwa Na fikra za kizungu karagabao Sisi huku Ni kupiga nyungu Na TibaLishe kwani tumegunduaa ukiwa Na cd4 Kali mdudu huyu anakukamqta alafu anaoondoka mwenyewe bila kukudhuru
Barakoa za matambara ni deadliest .... Unaonekana kama mganga wa kienyeji ....alaf hii nchi mbna ina viongozi wajuaji Sana wazee
 
Kama ulisema chanjo hazifai, barakoa si muhimu za kutoka nje shona mwenyewe, na kama ulikiwa unasabikia nyungu na juice za tangawizi, leo usije mbele ya umma na kiwaambia watu wachanje! Ni kujiuzulu tu! Wizara ya afya inamfaa Dr. Ndugulile yeye alisimamia anacho kiamini hadi alifukuzwa, tuna tabia ya viongozi kusema uongo wakijuwa ni uwongo na kwakuwa awawajibiki kwa kufanya hivyo wanayumbisha Nchi na kuleta madhara!
 
Kama ulisema chanjo hazifai, barakoa si muhimu za kutoka nje shona mwenyewe, na kama ulikiwa unasabikia nyungu na juice za tangawizi, leo usije mbele ya umma na kiwaambia watu wachanje! Ni kujiuzulu tu! Wizara ya afya inamfaa Dr. Ndugulile yeye alisimamia anacho kiamini hadi alifukuzwa, tuna tabia ya viongozi kusema uongo wakijuwa ni uwongo na kwakuwa awawajibiki kwa kufanya hivyo wanayumbisha Nchi na kuleta madhara!
Hakika
 
Back
Top Bottom