Kauli ya Waziri Mkuu kutilia shaka barakoa za kisasa na kutaka watu wajishonee matambara na kuyavaa usoni haiwezi kuachwa bila kujadiliwa

Kuna utata kidogo kwenye maneno yanayi semwa na baadhi ya viongozi, eti wananchi vaeni barakoa lakini lazima mjiridhishe zimetoka wapi na usalama wake...

Hakuna amesema hizi zinazuia virusi hapana hivi vinazuia matemate kukaa hewani na kujigusagusa puani. Hizi sio zile zinazotumika na madaktari wakati wa operesheni. Kila mtu akivaa hata kama ni vitambaa tu tutapunguza maambukizi
 
Mambo yameanza
20210221_171437.jpeg
 
Sawa basi tungeanza na
1. Condomu
2. Miswaki...
Hata ndege tusiagize nje, tutengeneze za kwetu wenyewe. Magu ana roho ya ajabu sana, kuchota pesa za walipa kodi kununua ndege ili yeye apate sifa za kisiasa ni sawa lakini kutumia pesa za walipa kodi kununua PPE, anaona hasara sababu hazimpi political mileage!

Binafsi nimegundua vita dhidi ya barakoa sio sababu ya kwamba ati zimewekwa virusi ni kwasababu serikali inakwepa wajibu wake wa msingi wa kuagiza/kununua hizo barakoa na PPE zingine. Mnaomtetea either hamjui mnachotetea ama hili dili la uuaji ni lakwenu nyote.

Before hajatudanganya na hii hadithi ya alfu lela ulela alitakiwa afafanue kisayansi namna huyu kirusi anavyoenea na ni namna gani anaweza kuwekwa kwenye barakoa, shame on him!
 
Hata ndege tusiagize nje, tutengeneze za kwetu wenyewe. Magu ana roho ya ajabu sana, kuchota pesa za walipa kodi kununua ndege ili yeye apate sifa za kisiasa ni sawa lakini kutumia pesa za walipa kodi kununua PPE, anaona hasara sababu hazimpi political mileage!
Asante sana
 
Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo
Kinachosikitisha ni kuwa mwezi ujao TBS wataanza kukagua magari yanayoingizwa nchini, sasa kauli kama hizi zinatoa jibu tosha kwa uwezo wa TBS kwenye kazi yao, na kama TBS wako vizuri, basi kauli hizo zinaleta majibu ni kwa nini serikali imeamua kukagua magari hapa nchini, watu watalipishwa sana mara tatu tatu.
 
Kinachosikitisha ni kuwa mwezi ujao TBS wataanza kukagua magari yanayoingizwa nchini, sasa kauli kama hizi zinatoa jibu tosha kwa uwezo wa TBS kwenye kazi yao, na kama TBS wako vizuri, basi kauli hizo zinaleta majibu ni kwa nini serikali imeamua kukagua magari hapa nchini, watu watalipishwa sana mara tatu tatu.
Masikini Tanzania !
 
Yan nilitegemea kauli toka either kwa JPM MR au MW kuwa kwakuwa barakoa zinatengezwa hapa nchini watoe ruzuku kwa MSD ili ziwe nyingi angalau kila mwanachi kumudu gharama lakini ndo totally the opposite huyu anasema anashangaa wanaovaa mwingine za matambara yani nchi hii imepatwa na nn sijui.

Kauli zinatoka tujikinge njia mojawapo ni barakoa lakini kuna.kauli za kupinga hizo barakoa sasa unashangaa are really as a nation fighting for this deadly disease au unacheza maktaimu tu.
Inafikirisha sana
 
Hivi ni uchumi gani huo unaleta vita? Mnatuzengua sana. Deni la Taifa likaribia trl 60 kwahiyo wanataka tufe ili tisiwalipe
 
Nchi yenye wasomi wengi kama Tanzania haiwezi kunyamazia kauli ya Mh Majaliwa ya ku ignore barakoa zilizotumiwa na madaktari wetu miaka nenda rudi kuwalinda na maambukizi ya magonjwa wanapowahudumia watanzania kwenye hospitali za umma na nyinginezo

This is ridiculous! Economic freedom hatuna. Je, mental freedom nayo hatuna? Who bewitched us, people?

Ni nani amekuambia masks zote zinazotoka nje ya nchi zimetengenezwa kwa viwango vya WHO? Just because mask imekuwa imported unadhani ina WHO seal of approval?

As far as I know, katika kipindi hiki cha janga la coronavirus, hakuna nchi ambayo ina kundi teule la watengenezaji wa masks (zinazokidhi viwango vilivyowekwa na WHO au nchi husika). Kama kuna nchi kama hizo unazozijua, tupe mifano. American CDC wenyewe wametoa publication yenye step-by-step guidance ya jinsi ya kushona masks kwa wale wanaotaka kushona washable masks.

Tusiwe selfish kiasi hiki. Tunapofikiria juu yetu hatuna budi kufikiria juu ya watu wengine pia! Ni Watanzania wangapi wana uwezo wa kununua disposable masks tatu kwa siku? Wananchi wengi wa nchi tajiri duniani wanatumia washable masks, Tanzania ina utajiri gani wa kutaka watu wake watumie N95 au surgical masks?
 
Acha ujinga wewe!
Kutumia barakoa kutoka nje ya nchi kuna hasara nyingi. Moja ni kwamba barakoa zaweza kutumika kuleta corona. Pili hasara ya capital flight. Tutengeneze barakoa zetu.
wewe na hao unaowatetea wote WAJINGA
 
Nchi ni kama inaenda mrama, tuwaachie watalaam wa afya .we pm ni mwalimu ,unachojua ni maandalio, scheme of work, shajala .
 
matatizo la Tz ni haya;
1. Viongozi/ wanasiasa wamekuwa wao ndio wajuaji kuliko wataalamu wa afya hivyo kusababisha vifo vingi bila sababu yoyote.
2.Wanasiasa wamekuwa wao ndio wanamjua zaidi Mungu kuliko hata 'waliomsomea' huyu Mungu.
 
They are of the same stance as they were both unknown teachers who ran away from classrooms of some unknown schools to try their luck in politics so that they could enter weak Bunge via black bags. They are a failed lot in everything thanks to failed CCM!
Eee bhana eeee
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom