Uchaguzi 2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

Huyo ana njaa tayari katoka kuchukua vicent kwa polepole kaamua kujitoa fahamu
 
Shura ya Maulamaa inawataka Watanzania wawapuuze Mashekhe Ubwabwa wa CCM
Wamesema kwa Tundu Lissu ndipo HAKI ilipo
 
Majigambo, matusi, mbwembwe zote mwisho tarehe 28

Kuanzia tarehe 29 tukutane hapa kupeana pole na pongezi😁😁😁😁😁

Maendeleo hayana vyama
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi ni weupe sana
 
Dah hata huyu Sheikh Kipozeo, sheikh wetu wa mtaa akipita kijiweni kwetu tunamuona ni mtu-huru wa kusema akionacho ni swafi leo hii anaondoa uhuru wake kisa CCM Mpya !
Njaa zake zimempelekea kununuliwa na polepole kisha kuongea ujinga
 
Shekh ponda yuko makini, màshekh ubwabwa mnatesekà bure?
Watanzania wameamka wanajua mashehe njaa huipenda CCM kwani shehe njaa ni mtu hupenda uonevu unyanyasaji kuwabambikia kesi unaofanywa na CCM,ukiona shehe anashabikia vitendo haramu vya CCM basi ujue huyo ni shehe njaa shehe majini wale mashehe wachawi wenye roho mbaya lakini wanajificha kwenye misikiti
 
Mashehe njaa sasa watawanufaisha madalali wa siasa huko CCM kwani huvuta pesa ndefu kule juu kisha kupiga panga kubwa na kujipatia pesa kwa mgongo wa waislam kupingana pingana hata kwenye kupigania haki, Shehe wa Bakwata wengi ni wapenda unyanyasaji uonevu uovu wa CCM ili kuendelea kupata vicent toka kwa akina polepole na wenzao
 
Pembeni pale namuona Sheikh Alhad Mussa Salum Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mwisho namuona pia Sharifu Majini(Mtia Nia Jimbo la Handeni Kwa tiketi ya CCM)
Mbona kila mmoja anazungumza kivyake, wanawakilisha kundi gani? Maana tunajua Ponda ni katibu wa kamati ya kupigania haki za waislam tanzania, pia ni katibu wa shura ya maimamu, pia nakumbuka ni kiongozi wa jumuia na taasisi za kiislam Tanzania.
 
Sijawahi kuona hao wahadhiri wakiita press conference kuzungumzia hali za Masheikh wanaoozea magerezani.

Kama hilo la kutetea maslahi ya waislamu limewashinda basi hawana moral authority ya kumsema Ponda

Lissu ndo mgombea aliyeonyesha kukerwa na uonevu dhidi ya masheikh, huyo ndiye anayefaa kuungwa mkono na waislamu wote nchini.

Kitendo cha hawa Masheikh kumshirikisha Alhadi kwenye hiyo press conference, mtu anayempigia kampeni Magufuli waziwazi tena kuomba dua zinazokiuka misingi ya uislamu inaonyesha wao wenyewe hawako serious na wanachokisema maana wana double standard!
 
Back
Top Bottom