Kauli ya Rais ni Sheria! Hii kauli ilitokea wapi?

Ilitokana na dhana ya kwamba Bunge ni Rais na wabunge so wabunge wanatunga sheria kwa vikao vyao na Rais akitamka kwa sababu ni nusu ya pili ya bunge ni kwamba inakuwa katunga sheria! Dhana hii iliundwa zaidi kipindi cha awamu ya kwanza wakati nchi ilikuwa inaendeshwa zaidi kwa decrees, matamko ya mwalimu hadi kukaibuka dhana ingine kwamba fikra za mwalimu ni sahihi muda wote na zidumu! Kwa ujumla ishapitwa na wakati na imekuwa ikitumiwa vibaya muda mwingi sana.

So kwenye katiba utaipata kwenye tafsiri ya Bunge kwamba ni wabunge na Rais.
... duh; kwamba Rais ni nusu Bunge; na ile nusu nyingine inakamilishwa na Spika na wabunge. Kwamba, ile nusu ya Spika na wenzie inatunga sheria na nusu ya pili ya Rais nayo inatunga sheria kwa matamko! Hatari sana.
 
Ilitokana na dhana ya kwamba Bunge ni Rais na wabunge so wabunge wanatunga sheria kwa vikao vyao na Rais akitamka kwa sababu ni nusu ya pili ya bunge ni kwamba inakuwa katunga sheria! Dhana hii iliundwa zaidi kipindi cha awamu ya kwanza wakati nchi ilikuwa inaendeshwa zaidi kwa decrees, matamko ya mwalimu hadi kukaibuka dhana ingine kwamba fikra za mwalimu ni sahihi muda wote na zidumu! Kwa ujumla ishapitwa na wakati na imekuwa ikitumiwa vibaya muda mwingi sana.

So kwenye katiba utaipata kwenye tafsiri ya Bunge kwamba ni wabunge na Rais.
Basi kama ni hivyo, kauli za rais ziwe ni pendekezo la marekebisho ya sheria, zipelekwe bungeni zikapitishwe kwa kufuta sheria na kanuni ya kudai malimbikizo ya kodi. Mtu akifanikiwa kutokulipa kodi katika muda uliotakiwa basi iwe imetoka hiyo tugange kodi zijazo, halafu tusikilizie utamu wake!!!
 
Basi kama ni hivyo, kauli za rais ziwe ni pendekezo la marekebisho ya sheria, zipelekwe bungeni zikapitishwe kwa kufuta sheria na kanuni ya kudai malimbikizo ya kodi. Mtu akifanikiwa kutokulipa kodi katika muda uliotakiwa basi iwe imetoka hiyo tugange kodi zijazo, halafu tusikilizie utamu wake!!!

Yes ndio maana mabadiliko yoyote ya sheria lazima yapate kibali cha Rais na muswada uundwe na wataalam wa wizara husika then waziri anapeleka bungeni, na ukipitishwa unarudi tena kwa Rais kusainiwa ili iwe sheria sasa! Bila Rais kuruhusu hamna muswada unaenda bungeni, tofauti kabisa na nchi zingine ambapo mbunge au kikundi cha wabunge kinaweza kuandika muswada na kuupeleka bungeni, ukipata kibali cha spika unasomwa, na unaweza kuwa sheria. Haya yaliasisiwa na awamu ya kwanza lakini bado yana mashiko kidogo kwa kutazama quality ya wabunge wenyewe.

Hivi nani kati ya wabunge wa magu anaweza kutengeneza muswada wa sheria? hata kama wangekua na uwezo huo, hawa macomedian kweli wanaweza kitu? Wanachuma tu na kuwekeza binafsi muda wao uishe wajaribu tena!
 
Nimekuwa nikisikia mara nyingi kuwa kauli ya Rais ni sheria! NImejaribu kupekua Katiba yetu ya Tanzania ya mwaka 1977 na marekebisho yake ya mwaka 2008 sijaona ibara yoyote ya katiba yetu kuwa atakacho zungumza Mh Rais ni sheria!

Leo Waziri Mkuu anaibuka anakazia maneno ya Mh Rais kuwa TRA waachane na madeni ya malimbikizo ya kodi ya miaka ya nyuma kama Mh Rais alivyokasema huko nyuma! TRA wao wanapoenda kwa Wafanyabiashara wanadai madeni ya miaka ya nyuma bado! mfanya biashara akiuliza anajibiwa hizo ni kauli za majukwaani tu mi nafuata sheria.
View attachment 2622900
Kwanini Serikali haioni haja ya kupeleka muswada Bungeni ili ipitishwe sheria ya kufuta malimbikizo ya madeni ya huko nyuma? Utawala Bora msingi wake si kufuata Katiba na Sheria?

Tamko la Rais linalindwa na sheria hipi au ibara hipi katika Katiba yetu?

Wanasheria kazi kwenu
Ipo kwenye biblia!
Inasema,'neno la mfalme ni sheria' .....
Ukisoma habari za Daniel utanikuta hii,kitabu Cha Daniel!
 
Back
Top Bottom