Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Saying what?Who is saying that?
Saying what?Who is saying that?
Unamaanisha yule haramia mstaafu aliyekwiba zawadi ya Yanga pia??
Hayo ni matunda ya Segerea. Chezea Segerea weweRage ni janga la kitaifa.
MWIZI WA FAT HANA MPANGO ,KWANZA MSOMALI HALAFU MWIzI,AKILI NDOGO[/QUOT
Nani akili ndogo ? msogwa ? sii yeye bila ya aibu na kutokana na ujinga wa kutoijua historia ya Muungano na Ujinga wa kutoijua utamaduni na mila za watu wa zanzibar aliwashambulia kwa nini wamewataka wageni na wenyeji wasiofunga kutokula wazi na kwa kujionesha na pia serikali hiyo iliwataka wana wake wasitembee uchi wakati huu wa mwezi wa ramadhani.
Lakini mchungaji kwa ujinga wake wa kutojua mambo ametaka serikali ya mungano kuzuia hali hio..
zaidi ya ujinga huu mnataka nini ?
Ana jeuri ya AL SHAABAB! Kwanini asiogopwe