Kauli ya Chongolo ni ufedhuli kwa wasomi wa vyuo vikuu. Ipingwe!

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,407
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni dhaifu ukilinganisha na ile ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
 
Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.
Takataka tupu vyuo vikuuu nani aandamane? kwanza kuna University students wangapi wamejiunga humu au wanasikiliza TV/Radio kujua what is going around thw clock? ? Huu ni ukumbi ambapo mtu unaweza kutoa sauti yako ikasikika! Muulize aliye karibu nawe kama ni member wa JF?

Pili wahadhiri sasa wana wa treat university students kama watoto wa sekondari. Ile heshima ya University haiko tena. WAULIZE VIJANA WA MAZIMBU SUA wanavyokuwa treated, kama watoto wa sekondari. Wanawanyanyasa watoto na mitihani kwa kuwaambia kuwa nahakikisha hutoki hapa kama hujanipa ngono. Nina mifano ya wazi! Nani awakemee

Tatu hata hao wahadhiri wenyewe ni wa mchongo! Ni chekechea hivyo hivyo! Hakuna mwenye sifa/hadhi ya kuwa Lecturer wa chuo kikuu. Kama wako ni very few. Si tunawaona products wanazozitoa....

Mwisho Chongole tunaomba CV yake. naye ni wa mchongo hivyo hivyo. Yuko pale kwa undungunisation wa samia!
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni ya ni dhaifu ukilinganisha na ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Weka ushabiki wa kivyama pembeni, utaona mantiki halisi ya aliyoysema Katibu Mkuu huyo.

Kuwa na digrii si hoja, hoja ni kuwa na uwezo wa kujiajiri.

Mtu mwenye ujuzi wake toka Veta wa kuunganisha mabomba ya maji taka, na mtu aliye na digrii ya political sayansi ni yupi aliye na urahisi wa kujiajiri mwenyewe?

Na itanoga zaidi, kama huyu msomi wa political sayansi akawa na ujuzi wa kutengeneza vitu na kuitumia kwa upana zaidi hiyo digrii yake, badala ya kukaa nayo tu akiilea huku akiwa tegemezi kwa wengine.

Digrii kwa siku hizi siyo nyenzo tena ya kupatia kazi.
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni ya ni dhaifu ukilinganisha na ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.

Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!

Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!

Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!

Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:

Masonry & Bricklaying (MB)

Carpentry & Joinery (CJ)

Road Construction & Maintenance (RCM)

Civil Draughting (CD)

Painting & Sign writing (PS)

Welding & Fabrication (WF)

Fitter Mechanics (FM)

Meat Processing Technology (MPT)

Electronics (ELEC)

Motor Vehicle Mechanics (MVM)

Electrical Installation (EL)

Food Production (FP)

Food & Beverage Services & Sales (FBSS)

Front Office Operations (FO)

Plumbing & Pipe fitting (PPF).

Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!

Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!

Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!

Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!

Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni ya ni dhaifu ukilinganisha na ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Acheni utoto..
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni ya ni dhaifu ukilinganisha na ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
Huo ndio ukweli ndugu, mtu aliehitimu VETA ni bora kwa kila kitu ukilinganisha na wa chuo kikuu, ndivyo ilivyo, The way the cookie crumbles..
 
Weka ushabiki wa kivyama pembeni, utaona mantiki halisi ya aliyoysema Katibu Mkuu huyo.

Kuwa na digrii si hoja, hoja ni kuwa na uwezo wa kujiajiri.

Mtu mwenye ujuzi wake toka Veta wa kuunganisha mabomba ya maji taka, na mtu aliye na digrii ya political sayansi ni yupi aliye na urahisi wa kujiajiri mwenyewe?

Na itanoga zaidi, kama huyu msomi wa political sayansi akawa na ujuzi wa kutengeneza vitu na kuitumia kwa upana zaidi hiyo digrii yake, badala ya kukaa nayo tu akiilea huku akiwa tegemezi kwa wengine.

Digrii kwa siku hizi siyo nyenzo tena ya kupatia kazi.
Chongolo nae fala tu. Hajui anachokisema huwezi kumwambia mtu mwenye degree ya uhasibu au manunuzi ajiajiri. Serikali iweke mpango madhubuti kusaidia watakaokosa ajira mana mfumo unaotumika kuajir watu utatoa watakaokosa kila mwaka mpaka dunia iishe. Aache ufala wake na yeye kama hajui cha kuongea asiongee
 
Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.

Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!

Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!

Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!

Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:

Masonry & Bricklaying (MB)

Carpentry & Joinery (CJ)

Road Construction & Maintenance (RCM)

Civil Draughting (CD)

Painting & Sign writing (PS)

Welding & Fabrication (WF)

Fitter Mechanics (FM)

Meat Processing Technology (MPT)

Electronics (ELEC)

Motor Vehicle Mechanics (MVM)

Electrical Installation (EL)

Food Production (FP)

Food & Beverage Services & Sales (FBSS)

Front Office Operations (FO)

Plumbing & Pipe fitting (PPF).

Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!

Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!

Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!

Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!

Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Kujiajiri sio Suluhu la tatizo la ajira. Ajira ni fursa. Mm naamini kwenye vitu viwili tu... Mfumo wa piramid kwenye ajira upate Suluhu mana huo ndo unasababisha watu wenye digrii mtaani wasio na kazi wapelekewa moto wa mateso na kufedheheshwa.
Tatizo la ajira ni uhaba wa fursa..

Fursa haziwez kuwa chache kama watu wachache. Watu wakiwa wengi fursa lazima zitokee Kwa uchache. Kampeni za kukontro idadi ya watu zikifanikiwa tatizo hili litapatiwa utatuzi
 
Weka ushabiki wa kivyama pembeni, utaona mantiki halisi ya aliyoysema Katibu Mkuu huyo.

Kuwa na digrii si hoja, hoja ni kuwa na uwezo wa kujiajiri.

Mtu mwenye ujuzi wake toka Veta wa kuunganisha mabomba ya maji taka, na mtu aliye na digrii ya political sayansi ni yupi aliye na urahisi wa kujiajiri mwenyewe?

Na itanoga zaidi, kama huyu msomi wa political sayansi akawa na ujuzi wa kutengeneza vitu na kuitumia kwa upana zaidi hiyo digrii yake, badala ya kukaa nayo tu akiilea huku akiwa tegemezi kwa wengine.

Digrii kwa siku hizi siyo nyenzo tena ya kupatia kazi.
Yaani watanzania tuna Shida, watu wanadhani Chongolo amekosea lakini mimi sioni jipya huko vyuo vikuu haswa Kwa baadhi ya kozi maana ziko ki nadharia tu Wala hazina mchango wa maana . Mtu aliyeenda Veta ni Bora zaidi kuliko KWENDA ELIMU ya juu haswa Tanzania
 
Chongolo amewataka wasomi wa vyuo vikuu kwenda veta ili wakapate uwezo wa kujiajiri.

Kauli hii inatoa tafsiri hasi nyingi sana dhidi ya wasomi wa vyuo vikuu na vyuo vikuu vyenyewe.

Mosi, inatoa tafsiri kwamba elimu ya vyuo vikuu ni ya ni dhaifu ukilinganisha na ya veta. Kama hivi ndivyo. Je, malengo ya utoaji wa elimu ya vyuo vikuu yamefikiwa? Ikiwa bado hayajafikiwa ni nani wa kulaumiwa, kama siyo CCM na wanaccm?

Pili, inatoa tafsiri kwamba waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuul. Binafsi naona kuwa haya ni madhara ya kusema kabla ya kufanya utafiti. Huku mitaani tunaona watu wengi waliojiri ni wale ambao hawajaenda veta wala vyuo vikuu.

Sasa Chongolo atuambie hawa waliupata wapi uwezo huu? Je, ni shule ya msingi? Kama ndivyo atoe kauli nyingine.

Natoa wito kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vyote nchini kuandaa maandamano kupinga kauli hii inayotweza na kuidhalilisha elimu ya daraja la juu kabisa duniani. Mkikaa kimya CCM haikawii kuwafanya muonekane kama wahitimu wa darasa la saba.

Yaani Chongolo anawafanya ninyi wasomi wenye madigrii kuwa ni mbumbumbu kuliko kijana wa darasa la nne aliyehitimu ufundi uashi?

MSIKUBALI!
"waliohitimu veta wana uwezo wa kujiajiri kuliko waliohitimu vyuo vikuu", kwa hili yuko sahihi, huku kwetu ukihitimu chuo kikuu unategemea uwe mtawala na si mshika spana na nyundo! Tangu tuanze kuwa na vyuo vikuu mpaka sasa hatuna hata kitu kimoja cha kumbukumbu kilchoundwa na wahitimu wa vyuo vikuu!
 
Elimu haina Mwisho.
Chongolo kaongea fact tupu.
Vijana wengi wanaotoka vyuoni wanajua white collar jobs, Wakati vijana wengi wanaotoka Veta ndiyo washika spana, ndiyo wanaojua kushika chepe, nyundo, grisi, kunyoosha ukuta, kurepair simu, computer etc.

Kiufupi vijana wengi wanaotoka vyuoni wana matheory mengi kichwani ambayo hata hayo nayo wanayasahau wakishagraduate, Ila vijana wa Veta wana skills za kufanya vitu vitokee
 
Kwani lengo la kuanzishwa kwa VETA ni nini na lengo la kuanzishwa kwa chuo kikuu ni nini? Kuna sehemu serikali haitimizi wajibu wake.
Chongolo ni sehemu ya hiyo serikali hivyo ingekuwa busara kama dongo au ushauri angelitoa upande wa serikali.

Wanafunzi wanakwenda chuo kikuu kujifunza kile ambacho kinatakiwa kifundishwe chuo kikuu na iwapo hajafundishwa kile alichostahili kukipata kosa la mwanafunzi ni nini?

Huko VETA nacho ndo balaa tupu au yawezekana mnawaona tu watoto wakitembelea mtaani ila kichwani watupu kwelikweli...VETA nyingi zimebaki tu madarasa na meza pamoja na mitambo za kuranda mbao za old modern hakuna jipya.
Elimu yetu inachezewa kabisa, chuo cha ufundi kinachoitwa VETA, mmeshajua ni nani anawafundisha huko? This is circle...wanafunzi waliotoka huko chuo kikuu empty kama wadau wengine wanavyosema ndo wanafundisha huko VETA kisichokua na vifaa vya kufundishia bali wanafunzi wanakuja na tester, mkasi, mwiko, kono bao.....

Hatari hatari hatari.....tulioko field tunajua
 
Mtoa mada nahisi uelewa wako ni mdogo na unapenda kukurupuka.Punguza mhemko na papara.Bandiko lako lote limekosa mantiki.

Kupata ajira kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa changamoto karibu dunia nzima!!!!!!!!!!Kwa utamaduni wa elimu yetu humuandaa mwanafunzi kuajiriwa, kwamba ukimaliza masomo yako utakutana na ajira!!!!!!!!!! Hizi zama zimepita na hazitarudi tena!!!!!!!!!!!

Ajira zimekuwa ngumu lakini shughuli za kufanya ziko nyingi!!!!!!!!!!!!!!! Huko vyuo vikuu asilimia kubwa ya mafunzo hasa wanaochukua masomo ya sanaa na hata sayansi hakuna ujuzi wa mikono unaofundishwa zaidi ya kukariri vitini!!!!!!!!!!!!!

Huyu mhitimu akitoka huko hatakuwa na uwezo mkubwa wa kujishughulisha na shughuli mbalimbali ambazo nyingi hutumia ujuzi wa mikono!!!!!!!!!!!

Veta kuna mafunzo mbalimbali ya muda mfupi sana na muda mrefu ambayo kwa kiasi kikubwa hutumia ujuzi wa mikono ambao haupatikani kwa wanafunzi wengi huko vyuoni. Mfano wa mafunzo hayo ni:

Masonry & Bricklaying (MB)

Carpentry & Joinery (CJ)

Road Construction & Maintenance (RCM)

Civil Draughting (CD)

Painting & Sign writing (PS)

Welding & Fabrication (WF)

Fitter Mechanics (FM)

Meat Processing Technology (MPT)

Electronics (ELEC)

Motor Vehicle Mechanics (MVM)

Electrical Installation (EL)

Food Production (FP)

Food & Beverage Services & Sales (FBSS)

Front Office Operations (FO)

Plumbing & Pipe fitting (PPF).

Ukipata haya mafunzo ambayo huchukua muda mfupi utakuwa na uwanda mpana wa kujishughulisha wakati unasubiria muujiza wa ajira!!!!!!!!!!!

Nb 1: Zama zimebadilika. Tujifunze kubadilika!!!!!!!!!

Nb 2: Maarifa ya darasani hutumika kidogo sana mtaani!!!!!!!!!!!!!!

Nb 3: Mtaa una kanuni, sheria na taratibu zake ambazo hutafundishwa chuoni!!!!!!!!!!


Ni mtazamo!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama ajira ni changamoto ccm mnasubiri nini kutoka madarakani? Uwezo wenu nifinyu wa ubunifu
 
Back
Top Bottom