Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

bunge letu limepoteza muelekeo lakini hatujafika huku. hii ni dhihaka kubwa na hapa imeonesha jinsi gani wenzetu wanavyo tuchukulia. watanzani tumekuwa watu wa kujipndekeza sana na kuwapamba wakenya lakini wao wana tukejeli kiasi hiki. naamini wakenya mametudhalilisha na wamedhalilisha bunge letu na wabunge wetu.
japo naamini kosa la mwandishi lisichukuliwe kama kosa la wakenya lakini hii ni fedheha sana kwa bunge letu.

Mwapemba mtanzania bana, anakosowa watanzania wenzake. They say a picture is worth a thousand words, Gado does not mince his ' thousand words' he says it as it is.
 
attachment.php

Mwangalie Serukamba hiyo ndiyo maana na neno lake Bungeni



Halafu DHAIFU anasema eti hajui kwanini hii nchi ni masikini, kwa Bunge hili la wavuta bangi tutaendelea saa ngapi?
 
Akili zako umeshikiwa na Wakenya?
Mkuu unajitambua lakini au unasema tu kwa kuwa umebakia na tulichokuwa nacho zamani? Sasa hivi wenzetu wako mbali mno.
Leo wanawahoji Mawaziri wateule (Bunge na wananchi wana haki ya kufanya hivyo kabla hawajapitishwa na kuapishwa rasmi). Tanzania bado tunateua Mawaziri kwa kutoa karama, siyo kuzingatia uwezo wa mtu. Na hawa jamaa siyo kwamba walichaguliwa tu bali wali-apply kwa Raisi na Makamu wake japo baadhi walipendekezwa nao lakini wachache, kama sikosei wawili tu.

Jaji Mkuu amepata kazi kwa kupeleka maombi na "public vetting" kufanyika hadharani mbele ya kamera. Ndivyo alivyopatikana pamoja na msaidizi wake na majaji wa Mahakama kuu.

Mkuu wa Polisi hali kadhalika pamoja na makamu wao walipatikana hivyo hivyo.

Na hiyo ni kutokana na matakwa ya Katiba yao.

Sasa wewe Mtanzania kwa sasa unacho kitu gani cha kujivunia mbele ya jirani zetu Wakenya?? Hadi hapo tutakaposimama imara na kukubali kuleta mabadiliko yanayostahili hatutakuwa karibu nao tena. Na CCM kuendelea kuwa madarakani ndivyo tutakavyozidi kudidimia na tutaburuzwa na jirani zetu kiuchumi, na Ki-Elimu ndiyo kabisa hatuna nafasi.
CCM NI JANGA LA TAIFA LETU!
 
Kuna watu wanadai tumetukanwa ila mimi naona tumeoneshwa ukweli mtupu!
 
kenya ni jirani zetu ila mara nying wamekuwa wakituzarau..jukunu la kusema na kukosoa bunge letu na viongoz wetu ni letu si lao, wao wanaacha kuangalia yao unafuata ya kwetu wamesahau kuwa viongoz wao wananuka rushwa kama wetu bas uyu jamaa achore katuni za kupinga ukabila kwao na kupinga rushwa kwao na AFRIKA kwa ujumla.
 
Akitia break tu tz anang'olewa kucha bila ganzi

...Why? Hivi unajua kuna kitu kitu kinaitwa uhuru wa kujieleza? Huyo mwandishi GADO (Robert Mwampemba) katimiza wajibu wake. Afu kumbuka ni mtanzania.
 
Mbona Serukamba Sijamuona ? Au alienda jikoni kuagiza mishikaki ?
 
Amini amini nakuambia kuwa Shonza na Mwampamba SIYO Wanyakyusa kwa kabila na kwa matendo. Hawana yamini ya Kinyakyusa. Tafiti upya safari.

Sorry.....siwazungumzii hao watoto namzungumzia GADO....I meant Godfrey Mwampembwa and not Mwampamba.....E&OE

gado.png
 
Couple mkuu, huyo Nkamia mzee. Hayo ndo matunda ya kuendelea kutetea uovu wa CCM Tz. Magamba wajitokeze hapa.
DUh!
sasa nimeelewa iyo picha.
Esp Serukamba peeing on ?Ndugai
And I can also see some couple in love with glasses of wine.... ndo kina nani tena?
 
Back
Top Bottom