Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

Katuni: Bunge letu na dhihaka toka Kenya

kenya ni jirani zetu ila mara nying wamekuwa wakituzarau..jukunu la kusema na kukosoa bunge letu na viongoz wetu ni letu si laoat, wao wanaacha kuangalia yao unafuata ya kwetu wamesahau kuwa viongoz wao wananuka rushwa kama wetu bas uyu jamaa achore katuni za kupinga ukabila kwao na kupinga rushwa kwao na AFRIKA kwa ujumla.

Mzee vipi tena. Si unajua asifunza na ... hufunzwa na malimwengu. Watu wakisema ukweli wa CCM, mnachukia wala hamtakikujirekebisha, sasa wengine watasaidia kubadiri upepo pengine.
 
Mkuu unajitambua lakini au unasema tu kwa kuwa umebakia na tulichokuwa nacho zamani? Sasa hivi wenzetu wako mbali mno.
Leo wanawahoji Mawaziri wateule (Bunge na wananchi wana haki ya kufanya hivyo kabla hawajapitishwa na kuapishwa rasmi). Tanzania bado tunateua Mawaziri kwa kutoa karama, siyo kuzingatia uwezo wa mtu. Na hawa jamaa siyo kwamba walichaguliwa tu bali wali-apply kwa Raisi na Makamu wake japo baadhi walipendekezwa nao lakini wachache, kama sikosei wawili tu. CCM NI JANGA LA TAIFA LETU!

Umenena mkuu.

"Huyu nimemteua kuwa Mbunge leo asubuhi na nikamteua kuwa Naibu Waziri wa Fedha", JK.

Makinda, "Rais ana mamlaka ya kuteua na kumteua mtu yoyote hata kama hajaapishwa bungeni"


Hii, ni hujuma ya wazi kwa taifa letu na hatutaendelea katika msingi huu wa utawala wa kujiamlia kama wote sisi ni watoto wake.
 
Hoja imepitaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Ujumbe umefikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. aliyekasirika akajiserukambeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Hoja imepitaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Ujumbe umefikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. aliyekasirika akajiserukambeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Mkuu taratibu,punguza hasira,message delivered
 
Nikweli Bunge letu si Bunge tena bali na Bangi, hakuna anayekubali kukosorewa aliyemadarakani, anataka akosorewe asiye madarakani. Jamani hebu tuelewane hapa unawezaje kumkosoa asiyefanya wakati mfanyaji yupo na hataki kukosorewa? Je si sahihi mtu mmoja kujita mhanga kwa ajili ya wengi?
 
Watanzania tusifiche ukweli huyo jamaa wa kenya yupo sahihi kabisa coz anajua upumbavu unaofanyika bungeni akilinganisha na bunge la kenya.namuona mwigulu n.c.hemba amelala fofofo ameshika konyagi,
Nikweli Bunge letu si Bunge tena bali na Bangi, hakuna anayekubali kukosorewa aliyemadarakani, anataka akosorewe asiye madarakani. Jamani hebu tuelewane hapa unawezaje kumkosoa asiyefanya wakati mfanyaji yupo na hataki kukosorewa? Je si sahihi mtu mmoja kujita mhanga kwa ajili ya wengi?
 
Why mambo kama haya??ni kushuka kwa maadili ya nchi na viongozi tuliowachagua kulinda na kutetea nchi hawapo,upuuzi gani wa mhimili wa serikali??serikali haiwezi kupuuzwa kiasi hicho na viongozi mpo na tena mmejazana kwenye maofisi.
 
Huyo siyo Steven Wassira kweli huyo?
wasira si wa pili yake anaelala hata hajui kinachoendelea?
Au watatu analala hadi miguu juu ya meza.....litakuwa Pinda nadhani
 
Ila kitendo cha Selukamba kutotolewa nje hata kwa dakika 1 pamoja na kutukana tusi lile. Hii katuni imejitahidi sana kusend msg. Tumsubirie bi kiroboto atasemaje kwenye hii katuni.
 
wadau heb angalia jinsi wakenya wanavyodhihaki bunge letu tukufu,
View attachment 92823

Falsafa zangu zinaniambia kwamba 'Ufanyapo upumbavu, akatokea mtu wa kukuita mpumbavu basi aliyetukana sio aliyesema, bali wewe uliyefanya huo upumbavu'

Katuni hii ingechorwa enzi zile Spika ni yule babu ningekubaliana na wewe kuwa tumedhihakiwa. Kwa sasa tumeambiwa ukweli
 
Jamani wametuonea sana. Mbona na wao wana mambo yao yasiyokubalika katika jamii?

Mambo mabaya ya jirani yako hayahalalishi mabaya yako. Kama wao wameyasema mabaya yako, haimaanishi wao hawana yao, na wewe sema yao kama unayajua. Lakini jambo la kwanza na la maana ni kurekebisha yako na sio kulipiza kusema ya kwao.
 
Halafu benchi la kwanza kulia kwa madam spika huwa ni mawaziri sio?! Cheki huyo wa kwanza kaonesha dole la kati?!

Ngoja utasikia wanalalamika! Sote tunakumbuka ile katuni ya mbwa ilivyonogeshwa kutafuta hisia za Watu.
 
attachment.php

Mwangalie Serukamba hiyo ndiyo maana na neno lake Bungeni


attachment.php


i have liked this..is this GADO?

tasfiri yake ni kuwa limekuwa genge ambalo kila mtu ana interest yake...

aliyekaa chini na sigara namfananisha na kibajaji... yaani teja wa upande ule..

waziri akliyepanik na kumropokea mwenzie aliyekaa kiti ya nyuma
anawakilisha mtazamo wa serekali ya ccm kwa wabunge wao wanaoihoji.............

kulala lala kwenye upande huo wa watawala kuna ishara ya u laize affair wa wabunge na serekali ya ccm....lugha ishara kuwa hoja zinapita na wao kuziunga mkono bila kupembua madhara yao kwao na kwa waliowatuma....

mkojo wa serukamba kwa kiti cha spika ni ujumbe kuwa tusi lile limedharaulisha kiti cha spika ambaye hata habari hana.........

kati kati kuna kijiwe (kaka na dada) kinachoonyesha kuwa kuna watu wako pale hawajui ni kitu gani kimewaingiza mjengoni kwao ni kula bata kwa kwenda mbele....

makatibu wa bunge..wao ni watumishi tu hawajalala..kwa mbaali mmoja anajribu kupunguza spidi ya upande wa pili

MASHATI YA KIJANI niishara ya chama kinachohisi kina kopiraiti ya kutawala.....kilichoshindwa kutafautisha utawala na uongozi

UPANDE wa pili - KWA WAPINZANI

kuna mikono miwili...mmoja unanyoosha kidole .... yaani unalaumu

KUNA MKONO mwingine.... unakaataa na kusema hapana......

kwa ujumla hii ndio hali halisi ya bunge letu..hongera mchoraji.....
 
Back
Top Bottom