Mwangalie Serukamba hiyo ndiyo maana na neno lake Bungeni
i have liked this..is this GADO?
tasfiri yake ni kuwa limekuwa genge ambalo kila mtu ana interest yake...
aliyekaa chini na sigara namfananisha na kibajaji... yaani teja wa upande ule..
waziri akliyepanik na kumropokea mwenzie aliyekaa kiti ya nyuma
anawakilisha mtazamo wa serekali ya ccm kwa wabunge wao wanaoihoji.............
kulala lala kwenye upande huo wa watawala kuna ishara ya u laize affair wa wabunge na serekali ya ccm....lugha ishara kuwa hoja zinapita na wao kuziunga mkono bila kupembua madhara yao kwao na kwa waliowatuma....
mkojo wa serukamba kwa kiti cha spika ni ujumbe kuwa tusi lile limedharaulisha kiti cha spika ambaye hata habari hana.........
kati kati kuna kijiwe (kaka na dada) kinachoonyesha kuwa kuna watu wako pale hawajui ni kitu gani kimewaingiza mjengoni kwao ni kula bata kwa kwenda mbele....
makatibu wa bunge..wao ni watumishi tu hawajalala..kwa mbaali mmoja anajribu kupunguza spidi ya upande wa pili
MASHATI YA KIJANI niishara ya chama kinachohisi kina kopiraiti ya kutawala.....kilichoshindwa kutafautisha utawala na uongozi
UPANDE wa pili - KWA WAPINZANI
kuna mikono miwili...mmoja unanyoosha kidole .... yaani unalaumu
KUNA MKONO mwingine.... unakaataa na kusema hapana......
kwa ujumla hii ndio hali halisi ya bunge letu..hongera mchoraji.....