LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,213
- 14,924
Mdomo umechorwa mbaya kuonyesha anavyo waibu vibaya wabunge wa upinzani, kwa dharau na kebehi.Meseji kubwa ninayoipata hapa ni kwamba wamechora Speaker amelala ndiyo maana Bungeni watu wanafujo kiasi hiki na kulifanya Bunge letu kukosa heshma mbona enzi za Sitta tulikuwa hatujawhi kusikia maneno kama Fakyuu, Mbwa nakadhalika? Ila wamtake radhi Speaker ina maana ana mdomo mbaya kiasi hiki?
Picha imetulua.