Akikubali na mimi niambie twende woteMalcom Lumumba Mkuu uko vizuri sana. Hakuna jambo usilolijua. Unaonekana ni mtu unayependa sama kusoma vitabu na mwenye IQ kubwa. Au ni Zitto Kabwe wewe? Naomba nikutembelee kijana wako nina mengi ya kujifunza kutoka kwako.
Mii nimepata hiiUkiwa na mda jaribu kutafuta ujue ushiriki wa kanisa katoliki na papa kwenye vita kuu ya dunia ya pili tena kanisa ndo lililompa nguvu kabisa Musolini kufanya uchaf wake akishirikiana na Hittler

Kumbe kwenu mnakunywa kwa kujifichaNi kanisa pekee wanakunywa pombe bila kujificha
Yes Bible only. I repeat Bible only. Ninasababu nyingi ya kutumia Biblia pekee kwasababu Biblia pekee imejitosheleza. Soma ufunuo 22:18-19.Kama wewe huiamini utakuja kuamini sooner or later and I hope it won't be too late for you to repentBible only? Hiyo inaitwa sola scriptura, ni doctrine ya kujitungia, ambayo pia ni unbiblical, bibilia haisemi hivyo. Aaarrrghhh Protestants! When will u come home?
niwie radhi ndg...nilikuwa najarabu kumuelewesha jamaa aliyekuwa anadharau nguvu na mamlaka ya kanisa katoliki duniani.Acha basi na wewe kulinganisha papa na habari zingine za ajabu,pls
Kwaiyo wewe unachambua biblia, unachambua ili iwejeMlicho andika nyinyi ni misale na sheria zenu za kikatoliki. Ndiyo maana kila juma pili mnafuata muongozo wa misale hamna muda wa kuichambua biblia takatifu
Mojawapo ni hiliSema tulichopinga Ata kimoja hapa Nikufafanulie
Swali zuri sana.Kwaiyo wewe unachambua biblia, unachambua ili iweje
Basi nisaidie sehemu kwenye biblia ambayo inasema tuichambue ili na mm nianze kuichambua, maana kwa saivi naisoma pale ninapohitaji na kuitafakari na siyo kuchambuaSwali zuri sana.
Tunapochambua Biblia tunasoma na kufahamu ni nini mapenzi ya Mungu. Pia tunafahamu namna shetani anavyodanganya ulimwengu ili siku ya mwisho asitupwe pekeyake motoni. Na pia tunafahamu jinsi ya kumshinda shetani ili tuweze kumwona Mungu mbinguni.
Kwa hili naona nikuambie wazi tuu kuwa unahitaji kueleimishwa usifuate wachungaji wa bei rahisi wanaoona kuwa ni rahisi kupora waumini kwa kanisa lingine kuliko dini nyingine. Misale msii haramishe hivyo.Kwa taaarifa yako misale ni km Syllabus. Kwanza makanisha yote yanakwenda na topiki siku hiyo.Na wakienda hadi mwisho wanakuwa wamesoma Biblia yote bila kurudia .Makanisa mengine ni rahisi mchungaji kujisome aapendapo, na ukaenda kanisa lingine jumapili kadhaa ukakuta kasoma apendapo na ni pale pale ulipotoka. wengine wanaruka ruka kwa kuchukua misatari hapa na pela na pale.Mwisho wa mwaka sio rahisi kwa waumini wasiojua kusoma ,vyema wajue wapi hawajasoma.Mlicho andika nyinyi ni misale na sheria zenu za kikatoliki. Ndiyo maana kila juma pili mnafuata muongozo wa misale hamna muda wa kuichambua biblia takatifu
Kumbe! Kuna muda nilikuwa hapo Simba Supermarket, then nikaenda kutafuta kuku choma pale Camellia Restaurant jirani na KCB bank haikuwepo ikabidi kwenda Green Corner (Nyamirambo) na sasa narudi hotelini kupumzika.Upo hapa Kigali?Basi,fanya uje hapa Simba supermarket,Kicuciro tupige story ndg yangu!
Karibu Kigali!Binafsi nipo hapa pale Kanombe.....ukiwauliza wenyejiyo,watakufahamisha.Kumbe! Kuna muda nilikuwa hapo Simba Supermarket, then nikaenda kutafuta kuku choma pale Camellian (?) Restaurant jirani na KCB bank haikuwepo ikabidi kwenda Green Corner (Nyamirambo) na sasa narudi hotelini kupumzika.
Tunapinga?? Biblia ipo ku-suit nafundisho ya kanisa Katoliki kwa taarifa yako....Na hakuna kanisa nasisitiza hakuna kanisa linalofuata Biblia kama ilivyo kama Kanisa Katoliki...Kama Biblia ni kitabu au mali ya wakatoliki mbona mnayapinga yaliyomo ndani yake??
Biblia haijaandikwa....ila Biblia ni Mkusanyiko wa vitabu na nyaraka mbalimbali...Nyaraka hizo na vitabu vilikusanywa na kuwekwa pamoja(Canon) na Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume....Biblia si kitabu chenu wala hamjakiandika nyinyi. Usidanganye watu bwana