Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Hapana si kweli. Kwasababu hata nikikuomba unipe uthibitisho wa unachokisema kwa maandiko hutaweza kunipa.
Maandiko kivipi...??? Au maandiko gani waongelea wewe...???

Ulipouliza hili swali ulishirikisha ubongo kweli..??
 
Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!

Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!

Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!

Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
....na ndilo dhehebu MAFIA!!
 
 

Attachments

  • IMG_20171009_172505.jpg
    IMG_20171009_172505.jpg
    57.5 KB · Views: 26
Maandiko kivipi...??? Au maandiko gani waongelea wewe...???

Ulipouliza hili swali ulishirikisha ubongo kweli..??
Reasoning yangu inatokana na Biblia takatifu. Ndiyo maana hatuelewani. Wewe umetumia ubongo mimi nimekuthibitishia kwa maandiko matakatifu ya Neno la Mungu. Chochote kilicho nje ya maandiko( Biblia) ni UBATILI na UONGO wa yule mwovu.
 
Hahahaha....

Biblia imekuwa compiled karne ya 3 baada ya Kina Paulo na mitume wengine kufa....

Haloo....Biblia ni mali au ni Kitabu cha Wakatoliki...Humo ndani mna vitabu vingi vimeachwa bila kuwekwa kwenye canon unayoina leo...

Katoliki ku-compile bible hakuwapunguzi nyinyi udhehebu wenu(uprotestant)....Ijue historia
Kama Biblia ni kitabu au mali ya wakatoliki mbona mnayapinga yaliyomo ndani yake?? Biblia si kitabu chenu wala hamjakiandika nyinyi. Usidanganye watu bwana
 
Acha kusoma upupu, sijui siri sijui nini, hakuna cha mafia wala nini mnapotoshwa na conspiracy theories za maadui wa kanisa, imagine mtu anamchukia tundu lissu alafu anaandika kitabu kuhusu Tundu Lissu.!! Nakushauri kwa kuanza kusoma catholic sources wanasemaje kuhusu huu ushuzi ulioanzishwa juzi juzi tu na mawakala wa shetani aka the father of deception or lies.
Sasa mkuu unavyonifkiria wewe wataeleza secret issues zao hadharani ila kuna watu walikuwemo kwenye iyo secret agencies wakajitoa kuanzisha secret agencies nyingne.. Sasa hao walojitoa ndio wamepambanua yaliyomo kwenye jesuits secretarial
 
Reasoning yangu inatokana na Biblia takatifu. Ndiyo maana hatuelewani. Wewe umetumia ubongo mimi nimekuthibitishia kwa maandiko matakatifu ya Neno la Mungu. Chochote kilicho nje ya maandiko( Biblia) ni UBATILI na UONGO wa yule mwovu.
Bible only? Hiyo inaitwa sola scriptura, ni doctrine ya kujitungia, ambayo pia ni unbiblical, bibilia haisemi hivyo. Aaarrrghhh Protestants! When will u come home?
 
Sema tulichopinga Ata kimoja hapa Nikufafanulie
Kama Biblia ni kitabu au mali ya wakatoliki mbona mnayapinga yaliyomo ndani yake?? Biblia si kitabu chenu wala hamjakiandika nyinyi. Usidanganye watu bwana
 
Kwasababu ndiyo Israel mpya, ndio taifa LA Mungu
Na pia usisahau kuwa Kanisa Katoliki pia ndiyo dhehebu pekee lenye Waumini wenye akili kubwa, nyingi na zilizotukuka kabisa duniani kuliko madhehebu mengine yote yale. Great Thinkers, Think Tank, World Intellectuals na Philosophers wengi huwa ni Roman Catholics ( Wakatoliki )
 
Crusade ilikuwa against Islamic caliphate kuteka ulaya, kasome tena, 1528 kulikuwa na protestant gani wenye Ata diocese 3? Nyie mmekuja kujitoa wakati hali ni shwari kabisa! Kanisa lilikuwa ni moja tu takatifu la klmitumeshukuruni kanisa lilitia baraka zake lasivo dunia ingekuwa kitu kingine sasahivi,
Mwaka 1528 kwenye crusade war mapadre wa kiroma walikuwa wakiua makumi ya maelfu ya waprotestants kila siku sababu ya kutotii amri za Papa.
 
Mm nikikumbuka nyaraka za wakatorik kipindi cha jakaya na wandishi mapadre jinsi walivyokuwa wanaupinga ule utawala? Yani sasaivi wapo kimyaaaa utadhani hakuna linalofanyika duh! Nakumbuka kipindi kile ikifika pasaka woote wana laani jambo hili au lile
 
Ingia Google search One Evil jesuits secret agencies.. Utajua na utakaokutana nayo huko utuletee mrejesho tafadhali
Sasa hapo si umeshaipa google maelekezo it a filter sources zinazosema kuwa Jesuit ni evil na secret agency? Nikufundishe kutumia google ? Basi na wewe andika, myths about Jesuits by anti-catholics na wewe ulete majibu.!
 
Ndio kanisa lililo katika kitabu cha ufunuo likiwakiksha habari ya mwanamke kahaba alieWalevya mataifa kwa mvinyo,
 
Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!

Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!

Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!

Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
Sio "dhehebu," usahihi ni MADHEHEBU. Hilo neno halina umoja.

c.c. Mwanagenzi Oni Sigala-BAKITA
 
Mimi pia nawakumbuka kina basaleh l,ponda na wengine wazee wa mfumo kristo,sikuizi wapo kimya sana kunani?
Mm nikikumbuka nyaraka za wakatorik kipindi cha jakaya na wandishi mapadre jinsi walivyokuwa wanaupinga ule utawala? Yani sasaivi wapo kimyaaaa utadhani hakuna linalofanyika duh! Nakumbuka kipindi kile ikifika pasaka woote wana laani jambo hili au lile
 
Back
Top Bottom