Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Ndio thehebu pekee ambalo huzuia watumishi wake kuo au kuolewa huku likishindwa kudhibiti matendo ya usagaji na ufiraji kwa maketista na watawa wa kike.

Ndio thehbu pekee ambalo viongozi wake hutembelea magari ya kifahari huku waumini wake wakiishi katika umaskini wakupwa

Ndio thehbu pekee ambalo ukipinga mawazo ya viongozi wa juu utaishi maisha ya mashaka kama padri provetus Karugendo na Galileo alie uliwa na kanisa kwa uvumbuzi wake uliopingana na kabisa kuhusu dunia

Ndio thehbu pekee duniani ambalo hufanya unyama kwa wananchi kama ilivyotokea katika mauaji ya Kimbali nchini Rwanda.

Hii ndio roman Catholic himaya ya kisiasa iliyojificha katika mbawa za dini huku ikiendesha hujuma dhidi ya dini zingine hasa dini ambazo uamini uwepo wa mungu asiefungamana na Mali za kibinadam

Roman Catholic ndani ya ubatizo wa CCM kupitia mwalim nyerere kwa kuasisi Cristian Church Movement {CCM}
 
Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!

Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!

Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!

Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!

Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!

Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
.
Ni kweli kabisa hujakosea hata biblia inathibitisha hilo.
Ufunuo wa Yohana 17
3 Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.

4 Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake.

5 Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA MACHUKIZO YA NCHI.

6 Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu.

7 Na yule malaika akaniambia, Kwani kustaajabu? Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na ya mnyama huyu amchukuaye, mwenye vile vichwa saba na zile pembe kumi......

18 Na yule mwanamke uliyemwona, ni mji ule mkubwa, wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.
 
Pointless
badala ya kujibu hivyo, ungejibu kwanza swali ili tuone kama kweli ni pointless, swali hujajibu halafu unasema pointless, hapo mwenye pointless ni wewe uliyeshindwa kujibu swali.
 
Angalia dalili mkubwa Abdul qathem kaongoza mauaji ya Mayahudi madina sokoni
5e1e5d610ecda5b266a8595109f4714c.jpg
aa846e6c0631137686b440afac8ded2b.jpg
hitler naye
1ba3f7ad667ee7f45fcb577969fab51a.jpg
240b1685056665b0d1b5d5055a03ca29.jpg
d8035d87139e2484a16abdbb2223c34d.jpg
kama kawa
Huyo aliwapa sapoti huko kwakua nae hakua anawapenda wayahudi na aliona atawatumia vizuri katika kuyatingisha makoloni ya uingereza na ufaransa huko mashariki ya kati na ndio maana mwisho wa siku alishindwa kuwaheshimu kwa sababu aliona waarabu ni weaker race hawawez kua sawa na wajerumani(wazungu) hayo masifa yote alikua anamwaga ili kuwateka vizuri akili zenu na kuwatumia
 
Angalia dalili mkubwa Abdul qathem kaongoza mauaji ya Mayahudi madina sokoni
5e1e5d610ecda5b266a8595109f4714c.jpg
aa846e6c0631137686b440afac8ded2b.jpg
hitler naye
1ba3f7ad667ee7f45fcb577969fab51a.jpg
240b1685056665b0d1b5d5055a03ca29.jpg
d8035d87139e2484a16abdbb2223c34d.jpg
kama kawa
Na sasa waislamu wangapi mmeuana huko mashariki ya kati kwa fitna zilezile za mzungu
 
Labda wana influence hiyo ktk bara giza, lakini ukienda maeneo kama ya Asia, hawana influence ya kiasi hicho, actually huko wao ni minority kama wasabato masalia.
Hujui, labda uliangalia uwepo wa makanisa yao hapana, influence yao hadi kwenye nchi za kiislam. Hao jamaa usipime
 
badala ya kujibu hivyo, ungejibu kwanza swali ili tuone kama kweli ni pointless, swali hujajibu halafu unasema pointless, hapo mwenye pointless ni wewe uliyeshindwa kujibu swali.
Pointlessness..
 
Ndio sababu nilikwambia wengi tu wanashindwa kuwa waisilamu kwa sababu ya waisilamu...Mimi kwa nia Njema nimekutakua Amani...ona ulicho jibu
We MGEN acha unafiki! Tangu lini unaamini hiyo salam uliyonipa ni kunitakia amani?
 
Labda wana influence hiyo ktk bara giza, lakini ukienda maeneo kama ya Asia, hawana influence ya kiasi hicho, actually huko wao ni minority kama wasabato masalia.
huko wanainfluence indirectly... hawashindwi kitu hao jamaa ni majiniaz
 
We MGEN acha unafiki! Tangu lini unaamini hiyo salam uliyonipa ni kunitakia amani?
Kama nimekosea ungenielekeza mkuu! nitakutakiaje Shari wakti wote ni wa-Tanganyika?
 
mlidanganywa mkadanganyika...msituifluence... ukifika bara Asia utakuta vitu utashangaaa.
Vitu gani..??

FYI; Africa na Asia hususani Phillipines, Korea Kusini, Japan, Indonessia, India Catholicisism inakuwa kwa kasi ya ajabu kudhinda hata Africs...

Iraq, Syria, nako Estern Catholic, Syrian Catholic, Maronite Catholic ni balaa tupu..

Lebanon Rais lazima Awe Mkatoliki huku Waziri Mkuu lazima Muislam wa Madhehebu ya Sunni...

Upo hapo
 
Unakubali hii salam ni ya kiislam au ni salaam ya watu wote?
Kusalimiana kunaingiliana vipi na mambo ya deen? yaani deen zitubague mpaka kutakiana Amani...sio vyema Mr Malyenge...
Kama nimekosea nielekeze basi...
 
Kusalimiana kunaingiliana vipi na mambo ya deen? yaani deen zitubague mpaka kutakiana Amani...sio vyema Mr Malyenge...
Kama nimekosea nielekeze basi...
Hujajibu swali langu. Ukilijibu nitakuelewesha tena vizuri kabisa MGEN.
 
Back
Top Bottom