Na wewe jibu! Zina abudiwa?jibu kwanza swali mkuu, picha za wapendwa wako waliotangulia mbele ya haki ni SANAMU??
Ni moja ya kati ya madhehebu duniani yasiyo amini Biblia takatifuNdilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!
Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!
Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!
Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
Milele!Tumsifu yesu kristu mkuu..
Kama hajaona vile!Hapa hajitokezi kabisa
Ni kweli kabisa ndio dhehebu kubwa zaidi kuliko yote kama jina lake lilivyo catholic means universeNdilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!
Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!
Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!
Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!
Ni dhehebu pekee MTU yeyote akifuga nywele ndefu aweza akaabudiwa kwa kuamini ndio mungu wao karudi,pia kupata mabusu yasiyo na idadi,na hata ukimuuliza ni kwanini anamuamini kila mwenye nywele ndefu hawezi kukupa majibu zaidi ya matusi kumtoka.
Nimependa ulivyolidadavu kwani ni ukweli mtupu ila naanza kupatwa na wasiwasi kama umeongea ki chanya au ki hasiNi zaidi ya kanisa la AMANI!Wapo vizuri kwa kila kitu. Km ni timu,ni km man utd ya sasa wazee wa 4g....hahaha!
Hizi akili za wapi hizi..Ni moja ya kati ya madhehebu duniani yasiyo amini Biblia takatifu
Mlicho andika nyinyi ni misale na sheria zenu za kikatoliki. Ndiyo maana kila juma pili mnafuata muongozo wa misale hamna muda wa kuichambua biblia takatifuHizi akili za wapi hizi..
Yani Biblia ambayo ni kazi ya mikono ya Kanisa Katoliki wasiamino kivipi..?? Yani li Compile Biblia kisha lisiamini kile ilichokitengeneza..? Mbona umeandika kichekesho
Eti kazi ya mikono ya kikatoliki? Mna hulka ya majivuno ambayo ni tabia ya shetani kabisa. Ni bora hata ungesema ni kazi ya Mungu kupitia watumishi wake mbalimbali kama vile mtume Paulo na wengineo.Hizi akili za wapi hizi..
Yani Biblia ambayo ni kazi ya mikono ya Kanisa Katoliki wasiamino kivipi..?? Yani li Compile Biblia kisha lisiamini kile ilichokitengeneza..? Mbona umeandika kichekesho
Genta upo Mkuu ??Na pia usisahau kuwa Kanisa Katoliki pia ndiyo dhehebu pekee lenye Waumini wenye akili kubwa, nyingi na zilizotukuka kabisa duniani kuliko madhehebu mengine yote yale. Great Thinkers, Think Tank, World Intellectuals na Philosophers wengi huwa ni Roman Catholics ( Wakatoliki )