Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Huyo siyo level yako kaa mbali, hicho ni kichwa kingine soma material hayo na si porojo hizi.Unajitekenya na kucheka!
Huyo siyo level yako kaa mbali, hicho ni kichwa kingine soma material hayo na si porojo hizi.Unajitekenya na kucheka!
Tumsifu yesu kristu mkuu..Kuhudhuira ibada sio kuwa unaifahamu vizuri historia ya Katoliki. Ok, kama unawafahamu wakatoliki nijibie maswali haya saba tu.
- Papa wa Tatu wa kanisa katoliki aliitwa nani na alikuwa na sifa gani za kipekee/
- Hadi sasa kanisa katoliki lishatangaza Idadi) watakatifu wangapi katika historia yake?
- Ni mapapa wangapi wa kanisa katoliki ambao hawajawahi kuitwa watakatifu?
- kanisa katoliki lina mashirika mangapi ya kitume?
- Ni makadinali wangapi walishiriki kwenye mchakato wakumpata Papa wa sasa (papa Francis)
- Ni nchi zipi duniani ambapo papa hajawahi kuwa na balozi wake? (hakuna balozi anaemuwakilisha)
- mabadiliko ya hivi karibuni ya kanuni za ibada yalisababishwa au kuletwa kwa sabahu zipi?
halafu basi kwa vile umeng'ang'ania ushiriki wa kanisa kule rwanda basi tuletee hoja yako hapa. uweke na ushahidi zisiwe hisia zako potofu tu.
Porojo za sunday school hizi.Kanisa ni Moja, ni Takatifu, ni Katoliki na ni la Mitume
Haaaaa haaa haaaPamoja na hayo lkn wakiamua wewe usilale kwako wanaweza .
Ukitaka kujua ukweli wa mbivu na mbichi jiweke kama mtu usiye na maslahi ya kidini kisha fanya utafiti wa kina utagundua ukweli mchungu ama mtamuni kanisa la amani bwana, usilifanye lionekane ni kanisa la hila!!
Maana vitisho vyako ni as if siyo Janisa la Yesu aliyefundisha Rehema!
Labda wana influence hiyo ktk bara giza, lakini ukienda maeneo kama ya Asia, hawana influence ya kiasi hicho, actually huko wao ni minority kama wasabato masalia.
Wewe umeona pombe ndio ishu. Wewe usieruhusu kunywa pombe una vituo vingapi vya yatima, mna shule ngapi, hospitali ngapi za kuhudumia jamii?, au mnaneemesha wachungaji?Ndio zehebu linalo ruhusu waumini wake kunywa pombe
Rais yeyote hapa duniani. Hata Trump wako.
Wapuuzi, wameona Pombe ndiyo kosa, ilhali wanafukia madhambi makubwa makubwa makanisani mwao, ila hawa wanaokunywa ndiyo wadhambi,Wewe umeona pombe ndio ishu. Wewe usieruhusu kunywa pombe una vituo vingapi vya yatima, mna shule ngapi, hospitali ngapi za kuhudumia jamii?, au mnaneemesha wachungaji?
Hahahahhahahahahaahha hii kaliNdilo dhehebu pekee lililobaki likiabudu sanamu kwa kulipigia magoti....
hayo yanawasaidiaje waumini kwenda mbinguni, mbona waumini wake tuko nao kitaa wamechoka kama sisi?Ndilo dhehebu pekee ambalo ni dola kamili km lilivyo dola la Tz na mengineyo hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa ukusanyaji taarifa zihusuzo dhehebu lao na madhehebu mengine!
Ndilo dhehebu pekee hapa duniani lenye ushawishi usiomithiliwa na jengine!
Ndilo dhehebu pekee lenye mfumo imara wa kiinterijensia na uigwao na mataifa mengi hapa duniani!
Ndilo dhehebu pekee viongozi wao wakuu wakihitaji kuongea na mkuu wa dola wa nchi husika kwa mda wautakao wao-huweza!
Ndilo dhehebu pekee lenye idadi kubwa ya wafuasi kuliko dhehebu lolote hapa duniani!
Kifupi,Katoliki ni zaidi ya dini!