Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Kila alipokuwa akifanya ziara tulishuhudia hayati JPM akitoa pesa kwa ajili ya ujenzi wa maendeleo. Sasa hivi kila mtu anashangaa imekuwa ni kukamuana tu kwa kila namna.
Kwani hizo pesa zilikuwa zinanyesha kutoka mawinguni?!!Kila alipokuwa akifanya ziara tulishuhudia hayati JPM akitoa pesa kwa ajili ya ujenzi wa maendeleo. Sasa hivi kila mtu anashangaa imekuwa ni kukamuana tu kwa kila namna.
View attachment 1924327
Ilaaniwe covid 19 imetuondolea mtetezi wa wanyongeKila alipokuwa akifanya ziara tulishuhudia hayati JPM akitoa pesa kwa ajili ya ujenzi wa maendeleo. Sasa hivi kila mtu anashangaa imekuwa ni kukamuana tu kwa kila namna.
View attachment 1924327
Mungu anajibu kila uchao.....Nawajua watanzania Mungu atatujibu
Acha uzandikiIlaaniwe covid 19 imetuondolea mtetezi wa wanyonge
Amen amen 🙏May his soul rest in eternal peace
And let the perpetual light shine upon his soul. AMENMay his soul rest in eternal peace
😲😲Kweli mkuu ?!!Hawa jamaa TASK FORCES team wamekuwa mamilionaire, kuna jamaa mkoa flani amejenga nyumba za kumwaga kupitia task force
Amen 🙏And let the perpetual light shine upon his soul. AMEN
Hutaki kuchangia maendeleo ya nchi yako!!!...Nchi haina fedha, wahisani hawatoi misaada wanataka biashara kwasababu tupo uchumi wa Kati!!..Kila alipokuwa akifanya ziara tulishuhudia hayati JPM akitoa pesa kwa ajili ya ujenzi wa maendeleo. Sasa hivi kila mtu anashangaa imekuwa ni kukamuana tu kwa kila namna.
View attachment 1924327
Loooh halafu "mazwazwa" wanataka mfumo wa TASK FORCES uendelee duuuh kweli "wajinga" hawaishi.....Sanaa mtu kwenda nyumbani na milioni 3 kwa siku kitu cha kawaida.
Kuna aina za wizi kuu nne dunianiKila alipokuwa akifanya ziara tulishuhudia hayati JPM akitoa pesa kwa ajili ya ujenzi wa maendeleo. Sasa hivi kila mtu anashangaa imekuwa ni kukamuana tu kwa kila namna.
View attachment 1924327
Bila covid 19 kutuondolea huyu mtetezi wa wanyonge unafikiri huu upuuzi wa tozo ungekuwepo?Acha uzandiki
Wizi ni wizi tu....hauna halali ukifanywa kwa njia yoyote ile.....Kuna aina za wizi kuu nne duniani
1.kuibia maskini na kuwapa maskini
2.kuibia matajiri na kuwapa matajiri
3.kuibia maskini na kuwapa matajiri
4.kuibia matajiri na kuwapa maskini
Hapo kwenye matajiri na serkali imo
JPM alikuwa anaiibia matajiri na kuwapa maskini
Samia anaiibia maskini na kuwapa matajiri
USSR