Hapana mkuu, unaweza ukapizi na raha ya game usiione.
Tatizo lingine wengi wetu tunadhani kupizi ndio starehe ya game, SIVYO, ukiweza kukontro kupizi utaona raha ya game kuliko maelezo nakwambia.
Ebu fanya hivi then urudishe feedback hapa.....
ukiwashwa na skio jikune na kidole skioni then unambie kati ya kidole na skio kipi kimeskia utamu,
Tyta naomba msaada wa picha
Suala la memory na bao jaribu kufuatilia content za bao na brain uone.
Pia nmeeleza, bao moja unatoa sperm 250Mil. je ni kiwanda gani kinaweza kufanya kazi hii mara kwa mara na hasa wengi wetu tunapendelea kupiga bao tatu na kuendelea kwa tendo moja?
Kwa hali hii unadhani mwili hauathiriki?
Ur vr ryt mkuu,yaan ukitaka upate ile raha ya ukweli, control kupizi, tatizo watu wengi hawajui hii kitu. Tamu we acha tu
Hahaha, ndugu umeongea vema na mimi concern yangu ni raw material ambazo zinatumika kutengeneza bao.Suala la starehe kuna mambo mengi tu yanayo changia ila nnaamini kila uke una uume wake unao faa.tatizo halitokani na kiasi cha sperms produced per ejaculation kwa kuwa testes zina uwezo wa kutenga hizo 3M sperms ndani ya muda mfupi tu.ila ile protini unayopoteza kila unapopizi ndiyo concern kubwa hapa. lakini ikiwa mtu uta-maintain afya ya mwili wako, through proper nutrition, huwezi kupata athari zozote hata utapiga bao 10 @ day.tatizo ni pale mtu utakapokuwa unapiga mabao huku ukishindia gongo!back to the topic: kusikia raha kwa mwanamke kunategemea upana na usugu wa papuchi yake; na unene na urefu wa mtalimbo. kuna k zingine pana sana na zingine ni sugu kupindukia kiasi kwamba hata usugue namna gani ni kama vile unatwanga maji kwenye kinu--hakuna utamu wowote atakaoupata!
mbona kama hujamtendea haki mzazi wa mwenzioKwani mzazi wako wa kike anasemaje?
raha ya sikio linalo washa ulikune kwa unyoya wa kuku.pamba za viwandani tupa kule.Hebu chukua zile wanaita ear bud sijui, anza kujisafisha sikio
Je nani anahisi utamu sikio au kile kipamba cha masikioni?
Kipamba yawezekana kinahisi utumu pia kwani wewe umejuaje hakipati!?Hebu chukua zile wanaita ear bud sijui, anza kujisafisha sikio
Je nani anahisi utamu sikio au kile kipamba cha masikioni?
Kwa hiyo hiyo ndo Ladha kama unafanywa? May be mbona hata Mwanaume anahisi hivohivo so mi naona inategemea Na mkunanaji anavyo jikunaaKwani mkunwa na mkunaji nani anasikia raha?
Jibu ingiza kidole kimoja mdomoni gusa sehemu ya juu ya mdomo baada na karibu kabisa na meno ya juu fanya kama unapapasa hapo utachohisi ndo jibu
Hahaha okeyKwa hiyo hiyo ndo Ladha kama unafanywa? May be mbona hata Mwanaume anahisi hivohivo so mi naona inategemea Na mkunanaji anavyo jikunaa