Katika tendo la ndoa nani hufaidi zaidi?

Katika tendo la ndoa nani hufaidi zaidi?

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
477
Wakuu katika tendo la ndoa ni nani anapata raha zaidi? Je, ni mwanamke au mwanaume?

Wataalam watueleze kitaalamu na sio kishabiki.

Nakaribisha maoni na uchambuzi
 
Mwanamke hasa kama kajaliwa kufika kileleni maana kuna wengine hawakujaliwa kufika huko. Baadhi ya wanawake huweza kupata hata "Triple Orgasm" kitu ambacho wanaume hatukujaliwa. Na waliojaliwa kufika kileleni huelezea hali hiyo inafanana na kupaa.
 
Anaepiga kelele! ila sio zile feki
 
Hili ni issue ambayo hermaphrodite pekee ndio anaweza kujibu, wengine how can they, wanawake hawajawahi kuwa wanaume na wanaume viceversa
 
Hili ni issue ambayo hermaphrodite pekee ndio anaweza kujibu, wengine how can they, wanawake hawajawahi kuwa wanaume na wanaume viceversa

Ni kweli VOR, ni swali gumu kulijibu kwani utajuaje kama mwanamke amefaidi sana tendo la ndoa. Au mwanaume amefaidi tendo la ndoa nashindwa kuamini mtu anakuwa mkweli kihivyo.
 
hapo kila mmoja anaweza kujibu kivyake kutokana hisia zake, lakini atakayeweza kuwa na jibu la uhakika ni yule aliyewahi kuwa mwanaume then akawa mwanamke and vice versa. Kwa mwenye jinsia moja swali lako ni gumu kujibiwa.
 
Nitalizungumzia hili kwa kufuata nature ya viumbe hai,inavyoonekana kiumbe dume ndio anayefaidi kumzidi kiumbe jike na ndio sababu katika jamii zote za wanyama huweziona kiumbejike akimtongoza dume ila ni dume anayefuata na sio kila wakati anakubaliwa.Hii inaonesha kuwa dume ndio hufaidi zaidiTukirudi kwa binadamu ni sawa kuwa wanadamu na viumbe vyote tumeumbwa na hisia na wanadamu tumeweza kubuni njia na michezo ya kuhakikisha kuwa na mwanamke naye anapata hisia za kutosha katika tendo hilo lakini ukweli unabaki palepale kuwa mwanaume ndio anayefaidi kuliko mwanamke kwa sababu kwa mwanamke inahusisha vitu vingi sana kumfanya aridhike na tendo tofauti na mwanaume ambaye yeye anachotaka ni upenyo tu na kuachia mbegu zake.I stand to be corrected.
 
Hili ni issue ambayo hermaphrodite pekee ndio anaweza kujibu, wengine how can they, wanawake hawajawahi kuwa wanaume na wanaume viceversa

VoR, Kuna wataalamu wa hii kitu walikuwa na swali hili na wakaamua kufanya utafiti wa kina ili kuweza kulijibu. Wakatafuta volunteers ambao waliweza kurekodiwa wakati wanananihii na kuangalia facial expressions za wahusika wote wa kike na kiume. Katika hao volunteers wengine walikuwa wamo kwenye ndoa. Sasa kwa kuangalia zile facial expressions za wahusika wakati wa kunanihii na pia kupata maelezo yao ya jinsi wanavyosikia tangu mwanzo wa tendo hadi mwisho wa tendo wataalamu hao walihitimisha kwamba anayefaidi zaidi katika tendo la ndoa ni Mwanamke na hii ya baadhi ya wenzetu kuweza kuwa na Double/Triple orgasm waliizungumzia kwa kina.

Niliangalia kipindi hicho kwenye TV channel inayoitwa TLC (The Learning Channel) na kipindi hiki kilikuwa kina umaarufu mkubwa maana kilikuwa kinaangaliwa na watu wengi sana, ni moja ya vipindi vinavyopendwa sana katika hiyo TLC channel.
 
Huu uchokozi naona umezidi sasa. Mmmhhh mwanamke kufikia kileleni ni issue ya chumbani kwa sana. Maana naona kama hii threadi ingehamishiwa kule kwa wakubwa hivi wengine twaona haya kuchangia hapa.
 
Wana JF i LOVE YOU!

Mimi nimejiuliza sana hili swali, nikaona nipate ushauri kwenu ndugu zangu. Hivi kati ya mwanaume na mwanamke nani hufurahia zaidi sex?

Siku zote tunafundishwa kuwa mwanamke apractise kumpa mume raha, kumfurhisha, but mi naona sex kama sex mwanmke ndo anabembelezwa sana na mwanaume, ndo anatikwatikwa, na kwa lugha nyepesi yeye ndo anaenjoy zaidi sex!
 
mhhhh kweli kweli wauna theory haya umeshamaliza kila kitu
 
wanapata raha wanaume mana kwanza wanawake wanakwambia eti wao sex sio important sana alafu wengiwao hawafiki kileleni wakati mwanaume lazima uji utoke....na pia wee fulll kubwaga ukimalisha haja zako
 
Back
Top Bottom