Katika tendo la ndoa nani hufaidi zaidi?

Katika tendo la ndoa nani hufaidi zaidi?

yani nifanye mapenzi afu nisipizi? bora nisifanye
Hahahahahaaaa, unanifurahisha. Sio lazima lakini ni ushauri tu, na kama uko chini ya 26 years unashauriwa upiz mara mbili kwa wiki na huu ushauri ni kwaajili ya afya tu if you care.
 
jiulize,kati ya mkunwa na mkunajin yupi anahisi utamu?then utapata jibu apo.
Hebu chukua zile wanaita ear bud sijui, anza kujisafisha sikio

Je nani anahisi utamu sikio au kile kipamba cha masikioni?
 
Sexologist uko wapi baba....,hii mada inakuhusu sana. jiunge na malecturer wenzako (akina DZUDZUKU na wenzake mmwage darasa). Huu ndio uwanja wenu
 
Suala la memory na bao jaribu kufuatilia content za bao na brain uone.

Pia nmeeleza, bao moja unatoa sperm 250Mil. je ni kiwanda gani kinaweza kufanya kazi hii mara kwa mara na hasa wengi wetu tunapendelea kupiga bao tatu na kuendelea kwa tendo moja?
Kwa hali hii unadhani mwili hauathiriki?
Bao moja ni approximately hiyo idadi ndiyo, na tukisema tuongelee viwanda artificial ni ngumu kufanya kitu kama hicho, ila kumbuka kua tunaongelea kiumbe hai, na mwili huu ni kiwanda ambacho hakuna kama chenyewe dunia nzima, kazi kama hiyo si kubwa kama unavodhani kwa mwili kutengeneza sperms, kila sekunde apprx 1500 sperms zinatengenezwa, afu kuhusu kupiga mabao mengi, mwili unaathirika wapi huku ikifika limit ambayo mtu hawezi kutake it anymore mashine inagoma kusimama. mwili unajicontrol wenyewe, pale mwili ushajua sina sperm nahitaji kutengeneza upya, bac we unachoka husimamishi utaacha utake usitake..
 
Ndugu unajua ukifanya ngone daily unaishiwa nguvu?

Nadhani huwa unaangalia mpira ya huku uswazi, mtu yeyote yule ambaye anacheza chini ya kiwango chake watu humwambia amezidisha wanawake, je unadhani ni kwa nini?

Pia unajua kuwa ukipiga mabao mengi sana kadri siku zinavyo kwenda unaendelea kupoteza kumbu kumbu?
Kaka pale mwanzo ulijibu vizuri kwenye kupoteza kumbukumbu? Hawa kina king mswati wasingekumbkuka hata kuvaa nguo
 
Hili swala nilishawahi kulisikia mara kibao, Inasemekana eti, Mwanamke anapata Asilimia 70 za utamu wakati wa Tendo na Mwanaume anapata asilimia 30 tu!

Kitu kingine huwa inasemekana kwamba Round moja kwenda kukamilika wakati wa tendo.

Eti ni sawa na mtu aliye kimbia umbali wa kilomita 7 bila kupumzika

Je ulishawahi kuskia hiki kitu?

Ebu tupeni ukweli madactari wa mapenzi najua mpo wengi humu!

Waulize vizuri watakueleza. Kwa ujumla ni kwamba uzuri au ubaya wa hayo masuala yanatokana na wewe mwenyewe tu pamoja na mwenza wako. Kama hauwezi kumsoma hisia zake weye mwenyewe wakati wa tendo, basi muulize. Majibu juu ya hili ni mengi kwani kila mwanadamu kaumbwa na vionjo vyake.
 
Bao moja ni approximately hiyo idadi ndiyo, na tukisema tuongelee viwanda artificial ni ngumu kufanya kitu kama hicho, ila kumbuka kua tunaongelea kiumbe hai, na mwili huu ni kiwanda ambacho hakuna kama chenyewe dunia nzima, kazi kama hiyo si kubwa kama unavodhani kwa mwili kutengeneza sperms, kila sekunde apprx 1500 sperms zinatengenezwa, afu kuhusu kupiga mabao mengi, mwili unaathurika wapi huku ikifika limit ambayo mtu hawezi kutake it anymore mashine inagoma kusimama. Unajicontrol wenyewe, pale mwili ushajua sina sperm huku nahitaji kutengeneza upya unachoka husimamishi utaacha utake usitake..

Na uko aware kuwa inachukua zaidi ya wiki kutengeneza sperm?
Pia unajua pia seli za mwili huzeeka/ hupunguza ufanisi wake kiadri miaka inavyo kwenda? hii inamaanisha nini?
Ikiwa sele za mwili zinaendelea kuzeeka/kupunguza ufanisi kadri mda unavyo kwenda, vivyo hivyo hata replanishment ya hizo sperm inakuwa ndogo hivyo kuna uwezekano wa kuudhoofisha mwili.
 
Kaka pale mwanzo ulijibu vizuri kwenye kupoteza kumbukumbu? Hawa kina king mswati wasingekumbkuka hata kuvaa nguo

Ndugu mi nilikuwa nazungumzia maisha ya kawaida sio ya wale ambao wanuhakika wa mboga 500 kwa mlo mmoja, kama vipi fanya uone matokeo yake.

Ulikuwa ni ushauri tu, kama vipi unaweza ukaingia google ukapata majibu zaidi mie hapa nilileta kwa version ya kiswahili tu.
 
Ngojeni hapo nipo na kamanzi tunaduu, tukmalza majib tunaweka jamvini msipate shida
 

Attachments

  • 1394813411707.jpg
    1394813411707.jpg
    14.2 KB · Views: 327
Back
Top Bottom