Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Habari Wakuu,
Katika harakati za kudai Katiba Mpya kutoka kwa watawala, napendekeza moja ya mkakati ni tuwe na siku maalumu ya kitaifa kila mwaka ambapo tutaitumia siku hiyo kutoa elimu kwa umma juu umuhimu wa Katiba Mpya na kuhamasisha madai ya kutaka Katiba Mpya.
Siku hiyo ikifika kila mwaka, wanasiasa, wanaharakati na wananchi kwa ujumla wanafanya makongamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kukumbusha madai ya kupatikana kwa Katiba Mpya.
Pia,, kila mwaka katika siku hiyo, tuwe na kauli mbiu itayotumika kuchagiza madai hayo ya katiba Mpya na ninapendeleza siku ile ambayo Mzee Warioba aliwassilisha maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya ndio iteuliwe kuwa ni siku ya kitaifa ya kila mwaka ya kuadhimisha na kuhimiza madai ya Katiba Mpya.
Ikiwezekana tuanze mwakani na kauli mbiu iwe: Bila Katiba Mpya, huwezi jenga uchumi imara na endelevu.
Katika harakati za kudai Katiba Mpya kutoka kwa watawala, napendekeza moja ya mkakati ni tuwe na siku maalumu ya kitaifa kila mwaka ambapo tutaitumia siku hiyo kutoa elimu kwa umma juu umuhimu wa Katiba Mpya na kuhamasisha madai ya kutaka Katiba Mpya.
Siku hiyo ikifika kila mwaka, wanasiasa, wanaharakati na wananchi kwa ujumla wanafanya makongamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kukumbusha madai ya kupatikana kwa Katiba Mpya.
Pia,, kila mwaka katika siku hiyo, tuwe na kauli mbiu itayotumika kuchagiza madai hayo ya katiba Mpya na ninapendeleza siku ile ambayo Mzee Warioba aliwassilisha maoni ya wananchi kuhusu Katiba Mpya ndio iteuliwe kuwa ni siku ya kitaifa ya kila mwaka ya kuadhimisha na kuhimiza madai ya Katiba Mpya.
Ikiwezekana tuanze mwakani na kauli mbiu iwe: Bila Katiba Mpya, huwezi jenga uchumi imara na endelevu.