Nina wasiwasi na hawa CHADEMA kuwa ni tawi la CCM ,ukiangalia kwa undani utaona wananchi tumehamishiwa kwenye bandari,mbuga na mambo mengi ambayo mwisho wa siku tunapigwa na kufungwa bao la kisigino.
Bila ya madai dume ya kudai katiba mpya na tume mpya iliyo huru ya uchaguzi itakuwa haya makelele yote mwisho wa siku ,mnabaki kususia uchaguzi na wabunge waliobahatishwa wasiingie bungeni,mchezo umekwisha.
Ombi ni haya makelele mnayopiga sasa kwenye mikutano yenu hayana faida hata chembe ,kumpigia mbuzi gitaa na kuwaburusa wananchi kwenye tamaa ya fisi.
Liamsheni dude ,la madai ya Katiba mpya na tume huru ,kwanza yaekeni haya sawa na myadhibiti bila ya hivyo ni kujidanganya na kutumia hela tu.
Katiba mpya na Tume huru ndio mwarobaini wa matatizo yote yanayotukumba.
Bila ya madai dume ya kudai katiba mpya na tume mpya iliyo huru ya uchaguzi itakuwa haya makelele yote mwisho wa siku ,mnabaki kususia uchaguzi na wabunge waliobahatishwa wasiingie bungeni,mchezo umekwisha.
Ombi ni haya makelele mnayopiga sasa kwenye mikutano yenu hayana faida hata chembe ,kumpigia mbuzi gitaa na kuwaburusa wananchi kwenye tamaa ya fisi.
Liamsheni dude ,la madai ya Katiba mpya na tume huru ,kwanza yaekeni haya sawa na myadhibiti bila ya hivyo ni kujidanganya na kutumia hela tu.
Katiba mpya na Tume huru ndio mwarobaini wa matatizo yote yanayotukumba.