Katika hili, namwamini Shetani


Hawakufa papo kwa papo. They were bound not to die and they would eternally live in case they would not eat the fruits of the forbidden tree. However, they were eventually bound to die after eating the fruits. Yatafakari vizuri haya maneno niliyoyabold!
 
Ngoja niweke kambi hapa ila nna uhakika huu uzi utabadilika na kua uzi wa kushindania ipi dini halali ya zile mbili zinazofanana ila zina uadui mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Walikufa kiroho?

Wewe umejulia wapi?

Sio kwamba unatafsiri ili ku-fit your narrative?

Inaitwa cherry picking!

Yaani unachagua kutafsiri hiki unaacha kile sababu tu haki-fit your narrative!

Christians,christians,christians....you will never cease to make me wonder how chameleons have to copy your better chameleons ways!
 
..za....Zee::z...3:z.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
MUNGU amwogope mwanadamu??are you serious??
Naona umeamua kumwongelea aisee
 
Tunda lilikuwa jaribio la uaminifu kwa adam kwa Mungu.kumbuka Mungu alimwumba lucifa na alikuwa malaika wa sifa,akamgeuka Mungu akataka kuinyanyua kiti chake juu kuliko mwenye enzi.ndpo alipotupwa chini.Ili hayo yasitokee ndpo alipompa adamu kipimo.
adamu aliambiwa hakika utakufa na ndvyo ilivyo baada ya kula tunda umelele ukaondolewa kwake.bali mpango wa kumkomboa pia uliandaliwa.john 3;14.

kumbuka hi ndyo sayari pekee iliyodanganywa na shetani,huko kwngne walimkataa.ufunuo 7;13-17.
 
Kwa MUNGU miaka elfu moja ni sawa na sekunde tu, na sekunde moja ni sawa na miaka 1000 kwetu uwezekano wa kuwa walikufa pale pale ni mkubwa tu
 
ulimi waupanga

" Nafikiri kosa la Shetani siyo kumdanganya Eve/Hawa bali ni KUFICHUA SIRI ZA MUNGU KWA MWANADAMU. Jiulize kama kweli Adamu alikuwa na maisha ya milele kwanini Mungu apande mti wa Uzima? Apa inaonesha Adamu alipungukiwa vitu viwili ili awe kama Mungu, kwanza ni MAARIFA( Ujuzi wa mema na mabaya) pili ni MAISHA YA MILELE. "
.....................................................

Quoted

Hapana Adamu hakupungukiwa viwili tu, ili afanane na Mungu,
Kuna vitu vingi sana, kama vile

OMNIPRESENCE, yaani Uweza wa kuwa mahali pote, kwa wakati wote.

OMNIPOTENCE, yaani uwezo wa kutenda maajabu kama kuuzuia moto usiwale Shadrach, Meshach na Abernego,
Uweza wa uumbaji NK,

OMNISCIENCE, yaani uwezo wa akili, uelewa, ujuzi, utambuzi, kufikiri na kubuni mambo kwa umahili mkuu sana.

OMNIUNKNOWN, yaani uweza wa mambo ambayo sisi Binadamu, Malaika, na Shetani hatuyafahamu hadi hii leo.
Na uweza huu upo mwingi kuliko huo tunaoujua

Sisi Binadamu hatufahamu hata siku ya Kiama itakuwa lini, wala hatuelewi tutakuwa ktk maumbo gani baada ya kuuacha mwili wetu makaburini, na pia huko Mbinguni kukoje nk.










Sent using Jamii Forums mobile app
 
tatizo la bible ni aya kupinga aya nyingine huenda inatokana na editing
 
Story za kutunga tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malaika si wanakaa mbinguni mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa uchambuzi wako mkuu[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sawaaaaa kabisaaaa.Ila mkuu Mimi Ni "Ke" sijui why wengi Kama mtu hajaniona aone nimeandika mahali anadhani Ni mkaka ahahaha by the way mi mdadA buanaaaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh mkuuu...Pete tena??

Mbona wanazivaa sana? Ni ishu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh mkuuu...Pete tena??

Mbona wanazivaa sana? Ni ishu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pete zinazovaliwa na watumishi wa Mungu tofauti na pete za ndoa ni issue,kuna kitu kipo pale sasa mfuatilie na nyie,mimi nimewaona wengi tu wakristo na wasio wakristo baadaye katika kufuatilia nakuta wanatuhumiwa.Safari ya kuingia mbinguni si ya kucheza inahitaji kujitoa na kujibidiisha kumtafuta Mungu na kujifunza Neno lake na kulitafakari mchana na usiku.
Zimepewa jina la kuzifunika wanaziita pete za bahati,lakini kuna jambo limefichwa.
 
Mkuu mimi naungana na unayoyasema kwamba biblia inatumia lugha ya picha ua mafunmbo hilo nakubali ila si kila sehemu,kwa mfano Mungu lipotoa amri kumi aliposema usiibe,usizini,usitamani hapo hakuna fumbo.Pia nakubaliana na wewe ya kwamba Yesu aliwafundishwa kwa mifano kwenye agano jipya hapo uko sahihi lakini kwenye bustani ya Edeni Mungu Baba ndiye alisema na Adam kwa hiyo lile suala la utabili wa Yesu kuwafundisha wa mafumbo haliapply pale Edeni kwani pale alikuwa ni Mungu Baba akiwapa utaratibu wa kuishi kwenye hiyo Bustani.
Lakini pia unapokuwa unasoma biblia tambua kwamba katika agano la kale Mungu Baba ndiyo alionekana zaidi au alihusika sana na wanadamu hii haimanishi Roho Mtakatifu na Yesu hawakuwepo.Katika Agano jipya Yesu alihusika zaidi na baada ya Yesu kupaa anayehusika zaidi katika kipindi chetu ni Roho Mtakatifu.Ndiyo maana Yesu kabla ya kuondoka aliwaambia wafuasi wake ya kwamba sitawaacha yatima nitawaletea msaidizi ambaya ni Roho Mtakatifu huyo mtakuwa naye milele.Hapa kuna ndugu wamepotoshwa eti hii ahadi ya Yesu ilimhusu mtume fulani lakini hawalielewi andiko linasema atakaa nasi milele lakini yule mtume alikufa.
Nakubaliana na maandiko uliyoyatumia suala la miti kuimba hilo siwezi kukupa jibu kwani pia katika kitabu cha Luka Yesu alipoambiwa awanyamazishe wanafunzi wake aliwaambia ,wakinyamaza ataamulu mawe yapige kelele sasa hapo Yesu hakuelezea kama yangukuwa mawe kweli au watu wengine waiokuwa wameamini au vyovyote vile.

Kuhusu swali lako la hapo mwishoni hakuna formula eti hapa utatafasili laterally au figuratively ninachokijua mimi,kwa mtumishi aliyekua Kiroho anapokuwa anatakiwa kufundisha au kuhutubu huenda kumwomba Mungu ampe nini cha kufundisha na huko pia hupewa maandiko,yakija yenye mafumbo yupo mwalimu ambaye ni Roho Mtakatifu atamsaidia,that is why ni muhimu sana kwa mkristo kujazwa Roho Mtakatifu.Yeye hutufundisha na kutufunulia siri zilizofichika.Lakini ukikuta mtu anafundisha kwa mazoe inawezekana akachukua wengine walivyofundisha sisemi kwamba ni mbaya ila kuna tofauti Bwana akikupa ujumbe from scratch na ukifundisha uliousikia sehemu huwa kunatofauti.All in all,watumisi wa kweli hutumika kama vyombo tu,anayefundisha ni Roho Mtakatifu.
 
Tumuumbe mtu kwa mfano wetu? Ina maana kuna anayefanana na Mungu mwingine? Why sio kwa mfano wangu iwe wetu Au ndo akina azazel , somebody atueleweshe hapa au sisi Ndo tumesoma vibaya, lol


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mungu yu katika nafsi tatu.By "mfano wetu" alikuw anamaanisha nafsi zake zingine mbili Yaani Kristo Yesu (ambaye Ni neno) Na Mungu roho mtakatifu.Ukisoma wakat wa uumbaji Maandiko yanasema "Na roho ya Mungu ikatulia katika maji (Nafsi ya Mungu roho)then uumbaji ulihusisha neno( Yaani Kristo)Na Mungu baba.So ule uwingi Ni kwamba Mungu alikuwa anashirikisha nafsi zake tatu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…