Katika hili, namwamini Shetani

Katika hili, namwamini Shetani

Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.

Mungu huwa hadanganyi kama tunavyojua, lakini kwa nini alimdanganya adam na hawa kuhusu mti wa Tunda la kati kati? , aliwaambia adam na hawa kuwa wakila matunda wa mti wa katikati hakika watakufa. Mwanzo 3:3 " lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema msiyale, msije mkafa.

Kabla ya hapo tukumbuke nyoka alimwambia mwanamke kuwa hatakufa akila mti wa tunda hilo bali watafunguliwa macho yao Na watakua kama Mungu watajua mema na Mabaya .
Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanadamu hakika hamtakufa. 5. Kwa maana Mungu anajua kwamba, siku mtakapokula matunda ya mti huo, mtafunguliwa macho , nanyi mtakua kama Mungu mtajua mema na mabaya.

Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.

Mwanzo 3:7 wakafunguliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wako uchi.

Mwanzo 3:22 " Bwana Mungu akasema , basi huyu mtu amekua Kama mmoja wetu , kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima akala akaishi milele.

Kama Mungu alituumba kwa mfano wake, kwa nini alikua hataki tujue mwema na mabaya? , na kwa nini alikua hataki tutwae mti wa uzima tuishi milele? , alitudanganya alipotuabia katuumba kwa mfano wake? , hapa hatuoni kuwa shetani ni mwema na ananitutakia mema Kwani baada tu ya kula lile tunda akina hawa wakapata fahamu na kujua mema na mabaya kama shetani alivyowaambia?

Kwa nini wanadamu tumekua tishio kwake baada ya kula mti wa ufahamu na kuamua kutupa laana ya kifo?

Mwanzo 6:3 " bwana akasema, roho yangu haitakaa kushindana na mwanadamu milele, Kwa kuwa yeye ni nyama, basi siku zake zitakua miaka Mia na ishirini"

Mmeona Mungu alivyotugeuka? Hataki tufanane nae Tena kama alivyosema, na kaamua kutupa ukomo wa miaka ya kuishi duniani

Hakika wewe ni Mungu , hakuna wa kushindana na wewe .


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nadhan hapa hoja hasa si kwamba mungu alidanganya bali ni kwamba story hii ya adam na eva na tunda la kati...si ya kweli. Ni ngano za kale zisizokuwa na ushahid nje ya imani. Ukiondoa imani...dhana ya kula tunda haiwezi kujisimamia..aka kujitegemea kama matter of fact.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliwapa adhabu ya kifo baada ya kuona wangekula tunda la uzima wakaishi milele . Mwanzo 3:20

Ile ilikua tu mikwara , wote tumeona tunda alikuwadhuru bali liliwapa ufahamu kama shetani alivyosema Ila Mungu kwa kuogopa binadamu watamzidi maarifa au kufanana nae akaamua kutupa kikomo cha kuishi , soma kitabu cha mwanzo


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hakika acheni Mungu aitwe Mungu.Tunakifanyia kufuru ya level hii Kitu Chenye nguvu za kutuzima Kama kibatari katikati ya upepo wa bahari lakini bado uko hai unavuta pumzi yake.Kweli Mungu anatupenda saaaana,ingekuwa ndo Mimi Nina nguvu hizo wewe nakuhakikishia sahivi ungekuwa ulishalala mautini.Hivi ukijiuliza kusema akisema apige akuue atakuwa Na hasara gani hakuna!!!lakini bado anakuach yamkini unamkashifu yeye Mungu ambaye akisema akikuwekea mkono tu unanyauka unaacha kumchafua huku unapotea kweny ramani.Unamsifia adui yake Na bado anakuachia Na pumzi yake kesho tena uamke asubuhi afu unaamka unakuja kumdhalilisha tena .Aisee acheni Mungu aitwe Mungu maana Nami Nina ya kwangu Ila ananivumilia.Hakika hakuna aliye Kama wewe Mungu wa Israel.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujua Shetani Bado Muongo na anawafuasi wengi kwenye uongo wake zaidi ya Bil 6.
Ameaminisha watu kuwa wanadamu ni Immortal (hawafi) ila wanabadilika tu form.
Ndio Maana watu wanafundishana ROHO/NAFSI HAIFI.
Mungu aliweka wazi '' mwanadamu ni Udongo hakika mavumibi (Sio kwingineko, naa kama kuna kingine kinabaki hicho sio mwanadamu na hakipaswi kujadiliwa) UTARUDI.

Ukisikia mtu anakuambia kuna kitu chenye uwezo wa kibinadamu huwa kinaenda mahala mtu afapo huyo ni Muongo au Product ya Uongo wa shetani (Hamtakufa).
Huyo au kikundi hicho Kinamuamini Shetani kuliko Mungu. '' Kila roho itendayo dhambi ITAKUFA).


Haihitaji ujue kigiriki au kiebrania kung'amua hilo.
Ungezaliwa kwenye pagoda na ukawa na ma monk sidhani km ungesema haya,hizi imani ni kurithishwa kutoka na jamii ulipozaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shetani hakuna na ukitafakari Hilo hayo maswali yako unakuwa umeyapatia majibu

Bila hivyo utaumiza kichwa chako bure na usipate majibu milele
 
Pete zinazovaliwa na watumishi wa Mungu tofauti na pete za ndoa ni issue,kuna kitu kipo pale sasa mfuatilie na nyie,mimi nimewaona wengi tu wakristo na wasio wakristo baadaye katika kufuatilia nakuta wanatuhumiwa.Safari ya kuingia mbinguni si ya kucheza inahitaji kujitoa na kujibidiisha kumtafuta Mungu na kujifunza Neno lake na kulitafakari mchana na usiku.
Zimepewa jina la kuzifunika wanaziita pete za bahati,lakini kuna jambo limefichwa.
Ok mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena Vyema Mkuu
Ila shida ni moja tu umefanya hukumu jambo usilolielewa wala kulijua

Jifunze kwa mfano huu hapa
Ulipokuwa mtoto kuna mambo wazazi walikukatazia huenda ukifanya ama kujihusisha nayo uliadhibiwa kabisa na kwa uhalisia ulikuwa unaona kabisaa unaonewa na wazazi wako, lakini ulipokuwa mtu mzima ikawa ni tofauti unatambua na kuelewa yakuwa kumbe wazazi walikuwa sawa ila tofauti ni kwamba uelewa ulikuwa nao mdogo wakati ule tofauti sasa umekuwa mtu mzima.

Tuangalie Tena mfano wa pili
Ulipokuwa hujui kiingereza haswa wakati wa utotoni basi ukiona maandishi ya kiingereza ama ukiangalia filamu za kiingereza na watu wakiwa wanaozungumza basi naamini ulikuwa unaona kama madudu tu fulani nadhani kiutoto utoto ukijaribu kugeza kama unaongea kiingereza unaweza cheka zile pumba tulivyokuwa tunaigiza, lakini kwasasa umetambua na kuelewa kiingereza unashangaa kabisa sijui yale madudu ulikuwa unayatoa wapi wakati ule, ni kwamba sasa uelewa umekuwa mkubwa tofauti na zamani.

Chukua tafakri hii hapa
Unapokuwa vitani huwezi shinda vita usipojua udhaifu wa adui yako, itakuwa ni kupoteza mda tu, mfano mzuri hapo nyuma wanajeshi wetu walivamiwa huko congo wakiwa wamepumzika kambini hakuna aliyepona adui alitafuta udhaifu ambao ulipelekea ushindi wake, hata akafanikiwa kuwapoteza wanajeshi wetu RIP Makomandoo Wa TZ

Sasa nakuja kwako umeamua kwa makusudi kabisa kujipa ukomo wa fikra zako umekuwa kama mtoto aliyetoka kuangalia movie ya the hulk naye anaamini anauwezo wa the hulk kitu ambacho mtu mzima asingeweza kuamini
Kwa lugha rahisi ni kwamba upo chekechea broo umevamia elimu ya chuo kikuuu unaweza kupote kabisaaa

Kumbuka unaambiwa Biblia ni kama msitu mnene si wote waingia wanaweza kutoka salama wasipokuwa na msaada fulani,

Maswali ya kujiuliza Ulilijua Lengo la Mungu Kumuweka Adam na Eva Eden?
JIfunze kujifunza mkuu maarifa hayaji kwa kukurupika kama hivyo bali huja kwa kuweka bidii katika kuyatafuta
 
Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.

Mungu huwa hadanganyi kama tunavyojua, lakini kwa nini alimdanganya adam na hawa kuhusu mti wa Tunda la kati kati? , aliwaambia adam na hawa kuwa wakila matunda wa mti wa katikati hakika watakufa. Mwanzo 3:3 " lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema msiyale, msije mkafa.

Kabla ya hapo tukumbuke nyoka alimwambia mwanamke kuwa hatakufa akila mti wa tunda hilo bali watafunguliwa macho yao Na watakua kama Mungu watajua mema na Mabaya .
Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanadamu hakika hamtakufa. 5. Kwa maana Mungu anajua kwamba, siku mtakapokula matunda ya mti huo, mtafunguliwa macho , nanyi mtakua kama Mungu mtajua mema na mabaya.

Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.

Mwanzo 3:7 wakafunguliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wako uchi.

Mwanzo 3:22 " Bwana Mungu akasema , basi huyu mtu amekua Kama mmoja wetu , kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima akala akaishi milele.

Kama Mungu alituumba kwa mfano wake, kwa nini alikua hataki tujue mwema na mabaya? , na kwa nini alikua hataki tutwae mti wa uzima tuishi milele? , alitudanganya alipotuabia katuumba kwa mfano wake? , hapa hatuoni kuwa shetani ni mwema na ananitutakia mema Kwani baada tu ya kula lile tunda akina hawa wakapata fahamu na kujua mema na mabaya kama shetani alivyowaambia?

Kwa nini wanadamu tumekua tishio kwake baada ya kula mti wa ufahamu na kuamua kutupa laana ya kifo?

Mwanzo 6:3 " bwana akasema, roho yangu haitakaa kushindana na mwanadamu milele, Kwa kuwa yeye ni nyama, basi siku zake zitakua miaka Mia na ishirini"

Mmeona Mungu alivyotugeuka? Hataki tufanane nae Tena kama alivyosema, na kaamua kutupa ukomo wa miaka ya kuishi duniani

Hakika wewe ni Mungu , hakuna wa kushindana na wewe .


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwani hii misiba inayotokea kila siku huioni???
 
Nimejaribu kuuelewa mfano wako mkuu mtoto kaambiwa ukiweka sukari kwenye chai ntakuchapa lakini akaja shetani akasema ukiweka sukari kwenye chai hakika chai itakuwa tamu.ni kweli mtoto baada ya kuweka sukari kwenye chai ikawa tamu lakini adhabu ya kuchapwa na mzazi inakuja kwa sabab mtoto aliambiwa akiweka sukari kwenye chai atachapwa.big up bwana big IQ kwa upande wangu nimekuelewa sana
Swala la kufa lilikuja kama adhabu baada ya kula tunda,aliposema ukila tunda la mti wa kati hakika utakufa ni kama wew umwambie mwanao ukiweka sukari kwenye chai nitakuchapa,akaja mtu akamwambia chai inatakiwa iwekwe sukari,alipoweka sukari ukaja ukamchapa,kwahiyo hapo sio swala la ahadi yako ya kumchapa kutimia ila hiyo adhabu ya kumchapa ni haki?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KATIKA HILI NAMUAMINI SHETANI.

ALAFU UNAKUTA ANAANZA NA

Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.

UWAGA SISOMI KABISA!!
Sasa kama huwaga husomi umejuaje kama anaanza na hayo maneno mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa nimshukuru Mungu kwa huruma na neema yake kwa kunifanya mpaka dakika hii naendelea kupumua na kuwa mzima wa afya. Pia kwa mamlaka aliyotupa viumbe wake ya kutawala samaki wa Baharini na ndege wa angani , wanyama na kwa kutuumba kwa mfano wake. MWANZO1:26. Hakika huu ni upendo wa ajabu sana , sifa na utukufu viende kwake.

Mungu huwa hadanganyi kama tunavyojua, lakini kwa nini alimdanganya adam na hawa kuhusu mti wa Tunda la kati kati? , aliwaambia adam na hawa kuwa wakila matunda wa mti wa katikati hakika watakufa. Mwanzo 3:3 " lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema msiyale, msije mkafa.

Kabla ya hapo tukumbuke nyoka alimwambia mwanamke kuwa hatakufa akila mti wa tunda hilo bali watafunguliwa macho yao Na watakua kama Mungu watajua mema na Mabaya .
Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanadamu hakika hamtakufa. 5. Kwa maana Mungu anajua kwamba, siku mtakapokula matunda ya mti huo, mtafunguliwa macho , nanyi mtakua kama Mungu mtajua mema na mabaya.

Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.

Mwanzo 3:7 wakafunguliwa macho wote wawili wakajijua kuwa wako uchi.

Mwanzo 3:22 " Bwana Mungu akasema , basi huyu mtu amekua Kama mmoja wetu , kwa kujua mema na mabaya, na Sasa asije kunyoosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima akala akaishi milele.

Kama Mungu alituumba kwa mfano wake, kwa nini alikua hataki tujue mwema na mabaya? , na kwa nini alikua hataki tutwae mti wa uzima tuishi milele? , alitudanganya alipotuabia katuumba kwa mfano wake? , hapa hatuoni kuwa shetani ni mwema na ananitutakia mema Kwani baada tu ya kula lile tunda akina hawa wakapata fahamu na kujua mema na mabaya kama shetani alivyowaambia?

Kwa nini wanadamu tumekua tishio kwake baada ya kula mti wa ufahamu na kuamua kutupa laana ya kifo?

Mwanzo 6:3 " bwana akasema, roho yangu haitakaa kushindana na mwanadamu milele, Kwa kuwa yeye ni nyama, basi siku zake zitakua miaka Mia na ishirini"

Mmeona Mungu alivyotugeuka? Hataki tufanane nae Tena kama alivyosema, na kaamua kutupa ukomo wa miaka ya kuishi duniani

Hakika wewe ni Mungu , hakuna wa kushindana na wewe .


Sent from my iPhone using JamiiForums
rubbish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitabu chenu kinasemaje kuhusu hii mada?
Hizo ni habari za uzushi (fake news) zilizomo kwenye biblia.. Kwa muijibu hata wa papa Francis:

Papa anakiri kuna "fake news" ndani ya Biblia.

Jamani si yangu haya, nimeyanyofoa BBC anaeweza atafsiri zaidi...

Pope says serpent temptation in Bible 'first fake
news'


_99726234_6c21260a-3cc2-4a16-8b59-d8decdcc1fbd.jpg


Pope Francis has denounced the "snake tactics" of those who spread fake news, saying the first case of misinformation is in the Bible when Eve is tempted by the serpent to eat the forbidden fruit.

The episode showed the "dire consequences" that fake news can have, the Pope warned in a document.

Francis also said it led only to the spread of arrogance and hatred.

He urged social media users and journalists to unmask manipulative tactics that foment division.

The document The Truth Will Set You Free - Fake News and Journalism for Peace was issued ahead of the Catholic Church's World Communications Day on 13 May, and it was the first time the Pope has written on the topic.

It comes amid a debate on ways to contain the spread of fake news on social media platforms and how it may have influenced recent elections, including in the US in 2016.

"Spreading fake news can serve to advance specific goals, influence political decisions, and serve economic interests," the Pope said.

Comparing it to the serpent's message of temptation in the Bible, he added: "We need to unmask what could be called the 'snake tactics' used by those who disguise themselves in order to strike at any time and place."

He called for "education for truth" that would teach people how to discern, evaluate and understand information.

Additionally, he said the role of journalists - whom he called "the protectors of news" - was "not just a job, it is a mission".

He said they should focus less on breaking news and more on "exploring the underlying causes of conflicts"

Source: Pope likens fake news to Bible's serpent

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ni kweli walipokula lile tunda hawakufa kama Mungu alivyosema, kwa hiyo tunaona Mungu alidanganya na shetani aliwaambia kweli kwani walipokula tu hilo tunda wakajua mema na mabaya.kama shetani alivyowaambia.
HAPO MUNGU ALIMAANISHA KUFA SIO KWA MAANA KULA TUNDA KAMA SUMU NA KUFA HAPO HAPO UKILA. YEYE ALIMAANISHA UKIMTII MAAGIZO YAKE USIFANYE KILE ALICHOKUAMBIA USIFANYE. ALIKUWA NA MAANA WANGEISHI MILELE BILA KUONJA MAUTI. ONA SASA BAADA YA KULA TUNDA KIFO KIKAINGIA DUNIANI. NA BAADA YA KUJUA MABAYA NA MEMA ONA SASA KILA AINA YA TABU IKAINGIA DUNIANI,NJAA,VITA,MAGONJWA. BILA KULA LILE TUNDA KUSINGEKUWA NA KIFIO. BILA KULA LILE TUNDA DUNIA INGEKUWA MAHALA PA FURAHA TU,BILA TABU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hayo mema na mabaya ndio yepi?
Hi scenario kwangu inatia ukakasi kupitiliza.
Ila warumi una mantiki ktk hili.
 
Mti wa kujua mema na mabaya ukila utajua mema na mabaya sio utakufa
 
Sema biblia inachanganya sana. Kwa mfano navyoelewa mimi dhambi/kosa la kwanza kabisa duniani ilikuwa/lilikuwa ni usile tunda la mtu wa katikati. Na adhabu yake kama mtu akila ilikuwa wazi kabisa kwamba ni kifo.
Kwa mujibu wa maandiko Evah/Hawa alikula na hakufa. Kisha akampa na Mumewe Adam nae akala hakufa! Sasa kituko kiko hapa, Mungu badala ya kutoa adhabu ya kifo akaibadili na kuwa hii inayotutesa sasa. Kwa Mwanamume ikawa utakuala kwa jasho. Mungu alisema hivi. Ardhi imelaaniwa, Adam utakula kwa jasho. Na wewe hawa utazaa kwa uchungu.

Hii manake nini? Maanake ni kwamba kama ingetokea Hawa asingekula tunda lile basi ikifika wakati wa kujifungua asingesikia uchungu huu wanaopata mama zetu na wake zetu wakati wanapotuzalia watoto. Wangekuwa wakijifungua huku wakiwa na matabasamu midomoni mwao huku wakipiga story na kucheka.

Yote kwa yote nabaki kuwa na imani kuwa kuna chanzo cha huu ulimwengu. Nacho ndio hiki tunachokiita MUNGU. ila haya yaliyoandikwa kwenye biblia kidogo yanatia ukakasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika acheni Mungu aitwe Mungu.Tunakifanyia kufuru ya level hii Kitu Chenye nguvu za kutuzima Kama kibatari katikati ya upepo wa bahari lakini bado uko hai unavuta pumzi yake.Kweli Mungu anatupenda saaaana,ingekuwa ndo Mimi Nina nguvu hizo wewe nakuhakikishia sahivi ungekuwa ulishalala mautini.Hivi ukijiuliza kusema akisema apige akuue atakuwa Na hasara gani hakuna!!!lakini bado anakuach yamkini unamkashifu yeye Mungu ambaye akisema akikuwekea mkono tu unanyauka unaacha kumchafua huku unapotea kweny ramani.Unamsifia adui yake Na bado anakuachia Na pumzi yake kesho tena uamke asubuhi afu unaamka unakuja kumdhalilisha tena .Aisee acheni Mungu aitwe Mungu maana Nami Nina ya kwangu Ila ananivumilia.Hakika hakuna aliye Kama wewe Mungu wa Israel.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Mungu wa waisrael , mimi namsubiri Mungu wa wamakonde
 
Utii??kwanini unatii?kitu alichosema shetani ni kwamba ukila tunda la mti wa kati utafahamu mema na mabaya hapo utaweza kutii ukiwa na reasons,see??!shetani alicho ki implement kwa binadamu ni ile reasoning capability.turudi kwenye mfano wa sukari na mtoto,umesema huenda baba alimkataza mtoto kwasababu labda mtoto ana kisukari,lakini jee baba alimwambia mtoto sababu ya kumkataza asiweke sukari?kwanini ali jump kwenye adhabu tuu kwamba nitakuchapa?kwanini mungu alificha kwamba ukila tunda la mti wa kati utajua mema na mabaya?je mungu hajui mema na mabaya?kama anajua mema na mabaya kwanini alimuumba mtu asiyejua mema na mabaya na alafu aseme ni mfano wao?mimi ninaamini kila mtu ana akili yake na maamuzi yanatofautiana kati ya mtu na mtu,si ajabu wewe kwa utii wako uliouonyesha hapa usingekula lile tunda,sasa mbona unazaa kwa uchungu,unatafuta kwa jasho na hakika utakufa.yanakuhusu nini hayo ewe mtiifu?
Na hili jina lako la big IQ hufanani kbisa Na unavyoviongea maana hata sijui hapo kigumu kuelewa kwako Ni nini rafiki.Huyo mwanao unaesema ukimkataza kuweka sukari kweny chai akawwka sukari ukamchapa kweny Tukio la Eden ui relate hiviiiii...!!!!Utamchapa mtoto wako kwa sababu ya kutokutii/kiburi.Ndivyo ilivyokuwa kwa Mungu.Mungu alimwadhibu Adam essence ikiwa Ni kukosa utii.Yaani yes alikula tunda lakini issue sio kula tunda issue Ni Adam kula tunda lililokuwa forbidden.Maana hii ilimaanisha Kulikuwa Na upotofu wa utii kwa Maagizo ya Mungu Na ukumbuke kukosa utii Ni dhambi inayomkera Mungu maana ndo hufanya mwandamu atende dhambi zote.Na hii ndo dhambi iliyomwangusha Lucifer kutoka mbinguni.Ukishakosa utii kwa Mungu,Mungu anajua utafanya mengi hivyo anakuondoa patakatifu pake.Sababu Eden ilikuwa eneo takatifu sasa angemwacha maana yake angeruhusu patakatifu pake pawe uwanja wa dhambi.Ni Kama vile angemwacha lucifer akae mbinguni wakati aliasi.Wengine wangejifunza nini?kuwa Ni sawa Kuasi?Dhambi huwa Ina gharama so Alimshusha ili kuiweka mbingu mbali Na dhambi.Same alichofanya kwa Adam.Alimfukuza Ili kuiweka Eden mbali Na dhambi.(jibu kwa wale mnaojiuliza kwanini aliwafukuza).Mungu hakuwachukia kina Adam baada ya kutenda dhambi Ila aliichukia dhambi Na aliitaka kuitenga Eden mbali Na uasi.Pili hicho unachosema mzazi kumkataza mwanae kuweka sukari kweny chai,kweny Tukio la Eden iweke hiviiii ili uelewe.!!!!!!Mungu Ni Kama mzazi tena Ni zaidi ya mzazi.Anatupenda mnooo.mfano wako unaweza sema mzazi kamkataza mwanae kuweka sukari kweny chai afu baadae anamchapa Na wewe una assume sukar Ni Nzuri kwa chai,yes.But kiuhalisia hakuna mzazi asiyempenda mwanae so akimkatalia mwanae kula sukari lazima anajua hiyo sukari japo inaonekana Ni Nzuri lakini kwa mwanae sio Nzuri mfano mwanae Ana kisukari or anything else .Same kwa Mungu pia...Kama Mungu alimkataza Adam asile lile tunda japo tunda lilionekana zuri kwa macho kwa kula Kama shetani alivyomdangnya Hawa lakini Mungu yeye Kama mzazi alijua hakukuwa Na jema from that ndo maana alimkataza.Mungu anatupenda Na anatuwazia mema shetani anatuwazia mabaya siku zote weka hiyo akilini kwako


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom