Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Mtu wa Nape huyo, bila shaka kuna namna kahusika na jambo fulani ngoja tusike!!Huyo kachelewa kuachia ngazi. Dr. Slaa hawacheleweshi hawa. Nyamagana wametimuliwa juzi kati. Ukombozi unahitaji watu imara na sio vigeugeu. Mwambie awahi kurudi CCM akamsalimie Lamwai na Tambwe Hiza