Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani aandika barua ya Kujiuzulu. Lugola na Andengenye wakalia kuti kavu, Rais Magufuli asema hawafai

Sipati picha lugola ataishi vipi mitaani kwa kejeli zake, bado DAB siku zake zinahesabika
FB_IMG_1579773272376.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndiyo maana halisi ya 'Time will tell' Muda wenyewe utakaoongea ndiyo huo Unaongea.
 
Hivi huyu si alikuwa anataka siku akifa akizikwe na Irani ya Chama au kaghaili?
Mareflector yale tupilia mbali Magu ni mutu mwingine
Ila huyu mzee bado tu umri ule anachezesha mizani yaani magumashi jazz band
Yaani kweli tabia ni ngozi
 
january makamba au moses nauye wanaweza wakarudishwa ndani
Kwa ile kauli mh rais alivyoitoa kwa kumlaumu waziri wa mambo ya ndani kangi ligola na kamand wa polisi tobiasi andengenye pale kwenye uzinduzi wa majengo ya askari magereza ukonga mda na saa yoyote tutarie tamko lolote kuamzia sasa.
Naomba niishie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya ndani huwa haiachi mawaziri salama.
Kitwanga, Mwigulu,Kangi.
Kwa JK pia iliwagusa Kama watatu hivi.
Mgumu Sana.

Wapigaji hao, ukiwa clean huwezi tolewa, hapo kuna deal lilitaka kupigwa si umemsikiliza Mh. Rais.. Hajakopesha kasema wazi wazi.. Huo mkataba wa tril 1.2 karibu ni uwizi wa wazi wazi, sasa ulitegemea nani abaki, hii wizara ni ngumu kama ww ni mpigaji.
 
Kutoka maktaba:
Kangi Lugola - "Wote lazima mbebe ilani ya CCM, maafisa waandamizi wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi mnionyeshe kwa kuinua juu mikono huku mmbeba ilani ya CCM , vipi mbona mikono ipo tupu, mmeniangusha basi nahairisha kikao "

 
Hii inaweza kuwa indicator mbaya kwake kwenye uteuzi wa chama chake kwenye uchaguzi ujao hii kashfa inaweza kuwa sababu ya kuonekana hafai kupitishwa na chama kuwa mgombeaji wake kwenye jimbo lake

Ni vyema akajiandaa kisaikolojia na kuangalia kazi nyingine ya kufanya kwa malipo atakayopata
 
Back
Top Bottom