Salaam, Shalom!!
Hongera kwa kuaminiwa na chama chako kwa nafasi ya Katibu Mkuu.
Kuna vurugu na wimbi linaendelea la watu ndani ya chama chako kuanza compaign mapema Kwa GIA ya kuchangishana na kuwachukulia fomu wagombea wa nafasi mbalimbali, Hasa ubunge na Ile ya juu zaidi ilhali muda Bado, taratibu na KANUNI za chama zinakinzana na jitihada hizo.
Umejinasibu ni mtu wa misimamo, waonye hadharani waache mara Moja, wasiposikia WAKATWE Majina Yao huko mbeleni.
Karibuni 🙏
Hongera kwa kuaminiwa na chama chako kwa nafasi ya Katibu Mkuu.
Kuna vurugu na wimbi linaendelea la watu ndani ya chama chako kuanza compaign mapema Kwa GIA ya kuchangishana na kuwachukulia fomu wagombea wa nafasi mbalimbali, Hasa ubunge na Ile ya juu zaidi ilhali muda Bado, taratibu na KANUNI za chama zinakinzana na jitihada hizo.
Umejinasibu ni mtu wa misimamo, waonye hadharani waache mara Moja, wasiposikia WAKATWE Majina Yao huko mbeleni.
Karibuni 🙏