chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,003
- 20,662
Emmanuel Nchimbi ni mwanasiasa anayemudu mapambano, anayejua historia ya chama na misingi yake.
Kwa kujenga chama na kuondoa makundi, ni yeye pekee ndiye ana uwezo mkubwa wa kuishika vilivyo nafasi hiyo. Ni fundi wa mikakati, na Siasa za saiti, hata ikibidi Siasa za mapambano.
Namshauri SSH amteue Emmanuel Nchimbi, ni chaguo Bora.
Nchimbi amepambana na wanasiasa wahuni ndani ya chama, na hatashindwa kupambana na wahuni wengine ambao wamepenyapenya kwenye chama na kupata vinafasi.
Pia soma: Breaking News: - Dkt. Emmanuel Nchimbi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM
Kwa kujenga chama na kuondoa makundi, ni yeye pekee ndiye ana uwezo mkubwa wa kuishika vilivyo nafasi hiyo. Ni fundi wa mikakati, na Siasa za saiti, hata ikibidi Siasa za mapambano.
Namshauri SSH amteue Emmanuel Nchimbi, ni chaguo Bora.
Nchimbi amepambana na wanasiasa wahuni ndani ya chama, na hatashindwa kupambana na wahuni wengine ambao wamepenyapenya kwenye chama na kupata vinafasi.
Pia soma: Breaking News: - Dkt. Emmanuel Nchimbi ateuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM