Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

Kwa style na unafiki wa Serikali hii unaweza kubaini yafuatayo:
  1. Inawezekana kweli Rais anaumwa hivo wanajaribu kufanya delaying tactics ili kumpa room of recovery. Akisha recover ndo ajitokeze kwa mbwembwe na kudai alikuwa bukheri wa afya (rejea Mpango Covid case).
  2. Hawataki kusema ukweli kuwa anaumwa Covid-19 kwasababu ya aibu kwa vile amekua akikosoa kila kitu kuhusu Covid-19!!!
  3. Hofu ya iwapo ikitokea ku-rest in peace itakuwakuwaje na nani atashikilia Usukani wa Ikulu?
  4. Assume kuna taarifa za no recovery......maandalizi ya....itakuwaje. Nani atakuwa Captain Komba kutunga mistari ya enzi za Mwalimu???
Tusubiri.....bila shaka yajayo yatafurahisha!!
Uko sahihi yote ambayo umeandika point
 
Tukiwambia kuwa wapinzani hamana akili mnakataa. Sasa mmelishwa matango poli.Lissu chaliiii.hahahaa.Kichaa ni wewe unayeokoteza taarifa za uongo mithiri ya kichaa aokotezaye makombo.
 
Tunataka Serikali itwambie Rais Magufuli yupo wapi na anahali gani, kwani kwa mujibu wa katiba wananchi tuna haki ya kupata habari rais yupo wapi, kwani ameajiriwa na wananchi kisheria.

Mh. John Mnyika
Kwan wanakubari kuwa ni rais
 
WAPI ALIPO RAIS WETU?

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema kimeitaka serikali ya nchi hiyo kujitokeza na kueleza alipo rais John Magufuli na hali magufuli na yuko katika hali gani.

Kauli ya Chadema inakuja wakati ambapo kuna siutafahamu juu ya alipo rais Magufuli.

Mara ya mwisho kwa kiongozi huyo wa Tanzania kuonekanaka ilikuwa Jumamosi ya Februari 27.

Katika mkutano na wanahabari leo Ijumaa Machi 12, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema kuwa wananchi wana haki ya kupata taarifa rasmi kutoka serikalini juu ya kiongozi wa nchi yao.
Viongozi wa chama tulikaa kikao na kujadili baada ya kusambaa kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya kimataifa vikihoji yuko wapi rais Magufuli na baadhi vikienda mbali zaidi na kusema ni mgonjwa na yuko nchi jirani kwa matibabu... Kabla ya tamko hili kumekuwa vuta nikuvute mtandaoni baina ya watu binafsi na baadhi ya viongozi mtandaoni juu ya swali hilo," ameeleza Mnyika.

Juhudi za kumpata Msemaji wa Serikali ya Tanzania kuelezea suala hilo bado zinaendelea.

Akijibu baadhi ya maswali hayo mtandaoni, Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Mwigulu Nchemba amesema kuwa: "Kiongozi wa nchi sio Mzee wa Kanisa kwamba alipangiwa zamu na hakuoneka...Kiongozi wa nchi sio mtangazaji wa TV kwamba alikuwa na kipindi na hakuonekana... sio kiongozi wa jogging club anatakiwa kuwa tu mtaani kila siku..."

Awali kabla yake pia waziri wa habari Sanaa utamaduni na michezo Innocent Bashungwa alionya watu kusambaza taarifa ambazo si za kweli mitandaoni na kwamba wangeshughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Reuters, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ameliambia Shirika la habari la mchi hiyo kuwa rais Magufuli ni mzima wa afya na anaendelea na shughuli zake nchini Tanzania.

View attachment 1723546


Makamu Mwenyekiti alishaeleza mpaka BBC nk. Kwanini kiongozi wa chini unataka kumpinga mkuu wako.
 
Kama ni kweli, kama ninavyoamini, kwamba hajaenda kutibiwa Kenya kama habari zinavyosambaa; unauchukuliaje ukimya wa serikali ya Kenya juu ya uvumi huu? Proof of animosity between these neighbors?!
Kama serikali, sidhani kuwa Kenya wangeweza kusema lolote juu ya tetesi zile kuwa wanaye mgonjwa, au hata kukanusha tu tetesi..., wangeanzia wapi?

Kuhusu 'animosity' hilo halina ubishi.

Kenya wange'score' sana kwa kuwepo Magufuli kwao, na tukio hili wangelitumia sana kwa manufaa yao.
 
Hapo walipo wanatamani wamnyanyue wamsimamishe na ule mti wa kuzuia Mgomba usielemewe na mkungu wa ndizi kisha wamchukue video clip akipiga biti kwamba 'kama huna jero la kulipia baki na M.A.V.I yako nyumbani kwako'
 
si mnasema anaumwa.mnataka nini tena?
Wengine mnasema ameshakufa.
Tunataka Serikali itwambie Rais Magufuli yupo wapi na anahali gani, kwani kwa mujibu wa katiba wananchi tuna haki ya kupata habari rais yupo wapi, kwani ameajiriwa na wananchi kisheria.

Mh. John Mnyika
 
Tunataka Serikali itwambie Rais Magufuli yupo wapi na anahali gani, kwani kwa mujibu wa katiba wananchi tuna haki ya kupata habari rais yupo wapi, kwani ameajiriwa na wananchi kisheria.

Mh. John Mnyika
Ha ha ha ha ha chama cha Mbowe mapunguani kweli kweli.
 
hawa jamaa niliwadharau tangu kipindi kile walichomkaribisha lowassa na kusema atakuja na wapiga kura mil 6
Mimi mpaka leo nawashukuru kwa waliyofanya 2015. Ilitusaidia kuwafahamu vyema ni watu wa aina gani na malengo yao ni yapi.
 
Hivi CHADEMA inaulizia Rais Mbowe au wa Jamhuri? Maana kama ni JMT nnafikiri walishatangaza wazi hawamtambui
 
On Thursday night, an unspecified confidential report went viral claiming, among other things, that some Indian doctors had been flown in Dar es Salaam to help in the treatment of Magufuli. He is hospitalised at the same hospital where former President Benjamin Mkapa died in July last year.

The anonymity of the report notwithstanding, this version coincides with a briefing SAUTI KUBWA had received from a government insider three days ago following our report that Magufuli had been secrerly discharged from the hospital. It was the same day he was rumoured to have been admitted to a city hospital in Nairobi.

But one of our sources said: “The Kenya scenario is a hoax. It is a misinformation by TISS meant to fool the public.”
Vipi si mlisema yuko India amerudi lini tena??
 
Back
Top Bottom