Katibu katibua au katibuliwa?

Katibu katibua au katibuliwa?

Polisi wanena
Screenshot_20221004-142945_Instagram.jpg
 
Mauaji mengine Tabata..mtoa taarifa anasema marehemu kajinyonga, lakini walinda sheria wamegoma hiyo sababu.. Ushahidi ni mwingi sana wa kumtia hatiani lakini kama kawa marehemu hana haki... Huyu si wa kwanza na hatakuwa wa mwisho

Mauaji haya ni mfululizo wa vifo vinavyohusiana na mapenzi.. Bado hatujapoa na kifo cha katibu.. Sio kata lakini na sio tawala! Katibu wa kiroho. Huyu kifo chake kimeacha maswali mengi kuliko majibu! Eti kaamua kujinyonga kisa penzi la mke wa mwajiri wake

Yaani mwizi kajisahau mpaka kajiona ana haki ya kuandika ujumbe mrefu mfano wa barua ya mahaba enzi zetu akililia penzi la wizi tena la mke wa boss? Hivi inaingia akilini kweli hii? Ndio maana nikasema katibu katibua ama katibuliwa!

Ujumbe ni mawasiliano ya wawili nani kavujisha mitandaoni? Mtajwa mtuhumiwa yuko kimya kabisa lakini si vema hapa kumhukumu kwa hili.. Mume ndio kakurupuka.. Haraka haraka hata kabla ya mazishi keshakimbilia mitandaoni na kutangaza msamaha kwa mkewe! Amekuwa na haraka kuliko upesi je analenga kuficha nini?

Aliyekufa ni mwajiriwa wake kwa cheo cha katibu lakini kukiwa na hizo habari za kuchepuka na mkewe halali wa ndoa..! Tuupe muda wakati ya sirini yanaweza kuwa bayana!

Tuliuanza tukizizoma hizi habari tangu January.. Ni wastani wa vifo viwili mpaka vitatu kwa mwezi, vingine vimefuma sana mitandaoni na vingine havikuvuma sana
Kuna waliua wake/wapenzi
Kuna walioua wake na watoto na wao wenyewe
Kuna waliouliwa wakigombea bibi
Kuna waliouana wakigombea bibi
Kuna waliotaka kuua wote wakafakiniwa mmoja au wote na wao kutoroka na kukamatwa ama kutoroka kusikojulikana

Hizi ni taarifa za,matukio ya vifo, bado zile za walioachwa
Waliojeruhiwa
Waliopata ulemavu wa kudumu nk.. Taarifa kuhusu talaka pia zinatisha sana!
Swami last kujiuliza tunakwenda wapi? Mamlaka na washika dau wako kimya kabisa... Ngoja mmoja wao liwatokee ndio watajitokeza kupaza sauti zao.. Na kwa mwendo huu December mbali

Jamii imeweka ufa na wanajamii..hakuna yoyote aliyeko tayari kwa yeyote walau kwa ushauri wa kujengana, kuonyana kufundishana, kuelekezana na kutiana moyo.. Hakuna nani wa kumshauri nani.. Wakushauri nao wanahitaji kushauriwa.. Wakushauriwa ama hawaamini katika ushauri ama hawazingatii ushauri

Mahusiano ya mwendokasi.. Simu janja ni ziraili wa kifo cha mwili na roho.. Ngoja wauane huko juu na huko mjengoni ndio tutasikia matamko na tume..kwasasa tuendelee kusubiri zamu ya mwingine.. Sijui atakuwa nani..!

December imeshafungua lango.. Katibu katibua ama katibuliwa?




View attachment 2376288
mambo ni mengi muda mchache ambiere
 
Kifo hichi bado kina maswali mengi sana, pamoja na hayo Masanja hana tatizo kutangaza msamaha. Hiyo ni silaha kubwa kuliko zote, ameziba mengi kwa kutangaza haradharani kuwa pamoja na mke wake.

Hakuna ubaya wowote, iwe kweli ama si kweli bado ushindi upo kwa Masanja.
Mungu amsaidie Masanja na mke wake wapite salama katika kipindi hichi kigumu kwao.

Tuelewe kumpenda mke wako na Dunia yote ikajua hakuna ubaya wowote, Wala sio ushamba. Shida yetu tunaona kumpenda mke/mume ni vibaya.

Tumejazwa mitazamo hasi na jamii zetu, mwanaume unaishi na mke wako kama unaishi na jambazi, nikiwa na maana kila kitu umeweka Siri hadi hisia.

Mke wako hajui akaunti yako ya bank, mke hajui mshahara wako, mke hajui nyumba zako ulizojenga kwa Siri.

Mke wako hajui kama unampenda au humpendi! Kila kitu kwako Siri Siri.

Siku yakikupata wengine wanafaidi watoto wako na mke wako wanabaki wanateseka.

Shetani anajua nguvu iliopo katika kushikana vyema na mwenzi wako wa maisha, ndio maana elimu nyingi potofu zinasambazwa kwa Kasi kubwa.

Elimu yeyote iliyo nje au inayopingana na neno la Mungu hiyo elimu sio sahihi.

Penda mke wako, penda mume wako, siku akikuumiza Hilo litabaki kwake mwenyewe ila wewe utakuwa huna hatia.

Tuache kuishi na wenzi wetu kama maadui wetu bila sababu yeyote.

Asante sana.
 
Kifo hichi bado kina maswali mengi sana, pamoja na hayo Masanja hana tatizo kutangaza msamaha. Hiyo ni silaha kubwa kuliko zote, ameziba mengi kwa kutangaza haradharani kuwa pamoja na mke wake.

Hakuna ubaya wowote, iwe kweli ama si kweli bado ushindi upo kwa Masanja.
Mungu amsaidie Masanja na mke wake wapite salama katika kipindi hichi kigumu kwao.

Tuelewe kumpenda mke wako na Dunia yote ikajua hakuna ubaya wowote, Wala sio ushamba. Shida yetu tunaona kumpenda mke/mume ni vibaya.

Tumejazwa mitazamo hasi na jamii zetu, mwanaume unaishi na mke wako kama unaishi na jambazi, nikiwa na maana kila kitu umeweka Siri hadi hisia.

Mke wako hajui akaunti yako ya bank, mke hajui mshahara wako, mke hajui nyumba zako ulizojenga kwa Siri.

Mke wako hajui kama unampenda au humpendi! Kila kitu kwako Siri Siri.

Siku yakikupata wengine wanafaidi watoto wako na mke wako wanabaki wanateseka.

Shetani anajua nguvu iliopo katika kushikana vyema na mwenzi wako wa maisha, ndio maana elimu nyingi potofu zinasambazwa kwa Kasi kubwa.

Elimu yeyote iliyo nje au inayopingana na neno la Mungu hiyo elimu sio sahihi.

Penda mke wako, penda mume wako, siku akikuumiza Hilo litabaki kwake mwenyewe ila wewe utakuwa huna hatia.

Tuache kuishi na wenzi wetu kama maadui wetu bila sababu yeyote.

Asante sana.
Jamii imeweka ufa na wanajamii..hakuna yoyote aliyeko tayari kwa yeyote walau kwa ushauri wa kujengana, kuonyana kufundishana, kuelekezana na kutiana moyo.. Hakuna nani wa kumshauri nani.. Wakushauri nao wanahitaji kushauriwa.. Wakushauriwa ama hawaamini katika ushauri ama hawazingatii ushauri
 
Tatizo lipo kwetu wanaume, tunaishi kupambania (POSION YETU YA UANAUME) kumiliki Mke, Mali na Watoto, wanaume tunawivu sana na position yetu ya uanaume kwenye ndoa, alafu mali na watoto. Kama mwanamke upo willing kuondoka kwenye nyumba na kuacha ayo yote sizani kama vifo ivo vitakuepo.

Note: usikubali kupokea kitu kutoka kwa mwanaume mpenzi au anayekuhitaji kua mke kama huwezi kuuheshimu na kuitumikia position yake ya uanaume. Ndo maana maandiko yakasema mwanamke amtii mumewe na mume ampende mkewe.

Sisupprt mwanamke kupigwa/kuuliwa ila pia wanawake jua ayo kabla hujaingia kwenye ndoa itakusaidia sana.
Mimi nawaza inakuwaje niolewe.na mwanaume ambae simpendi? Maana ndo hayo hapo kama hakuna upendo ndo hayo kuchepuka.

Kwa upande wangu wanaume wapo wengi wanotaka kunioa hata leo nikisema niko tiyari natolewa mahali.

Tatizo liko kwangu kama simpendi mtu siwezi kumpotezea mtu muda eti kisa ndoa?bora niikose.

Kuna mwanaume nilimpenda ila ndo hivyo hakunioa,nili move on na maisha yangu.siku nikipata kama yule au anaekaribiana nae basi nitafanya maamuzi. Akikosa ndoa sio lazima, mm ntu ambae simpendi siwezi kusema hata nikubali mawasiliano nae yaani siwezi.

Wanawake sasa hivi wanaolewa kwa mkumbo ili watu wajuwe wameolewa ila kiundani hakuna mapenzi mwisho anachepuka, wanagombana na kuuana sometimes.
 
Mimi nawaza inakuwaje niolewe.na mwanaume ambae simpendi? Maana ndo hayo hapo kama hakuna upendo ndo hayo kuchepuka.

Kwa upande wangu wanaume wapo wengi wanotaka kunioa hata leo nikisema niko tiyari natolewa mahali.

Tatizo liko kwangu kama simpendi mtu siwezi kumpotezea mtu muda eti kisa ndoa?bora niikose.

Kuna mwanaume nilimpenda ila ndo hivyo hakunioa,nili move on na maisha yangu.siku nikipata kama yule au anaekaribiana nae basi nitafanya maamuzi. Akikosa ndoa sio lazima, mm ntu ambae simpendi siwezi kusema hata nikubali mawasiliano nae yaani siwezi.

Wanawake sasa hivi wanaolewa kwa mkumbo ili watu wajuwe wameolewa ila kiundani hakuna mapenzi mwisho anachepuka, wanagombana na kuuana sometimes.
I wish wengi wangekuwa na mtazamo na msimamo kama wako ugomvi talaka na mauaji vingepungua sana
 
Kuna maamuzi unapotaka kuyachukua lazima uwafikirie na wengine...View attachment 2376712
Sometimes macho au uso in general unaonyesha mambo mengi sana...nikimcheki jamaa napata vibe la kikatili sana... nikimcheki manzi nahisi alikuwa mtu cool lakini kama alikuwa anachezea kipigo sana kutoka kwa jamaa...maana katabasamu lakini bado anatia huruma.
 
Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 30, mkazi wa Kijiji cha Mwamakalanga katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, ameachwa akiwa na ulemavu wa kudumu baada ya kung’atwa kipande cha ulimi wake, na mwanamke anayesadikiwa kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi.

Kwa mujibu wa Kaka wa majeruhi, mtuhumiwa anayejulikana kwa jina la Leticia Elias mwenye umri wa miaka 40, alimwita jamaa huyo nyumbani kwake kwa lengo la kufanya mazungumzo, lakini baadaye walianza kufanya tendo la ndoa na kumtaka aingize ulimi kwenye mdomo wake (wanyonyane ndimi) na ndipo akatumia nafasi hiyo kumng’ata kipande chake cha ulimi.

Kufuatia tukio hilo, Kaka huyo wa majeruhi amesema kuwa, hali ya ndugu yake bado siyo ya kuridhisha kutokana na kidonda alichobaki nacho kwenye sehemu ya ulimi iliyobaki, na hawezi kula kwa njia ya kawaida licha ya kupatiwa matibabu na kuruhusiwa, baada ya kupewa dawa ya kutumia katika Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwamakalanga James Jidayi, amekiri kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa, limetokea Septemba 29, mwaka huu majira ya saa tatu usiku, ambapo alipata taarifa kupitia kwa mtendaji wa kijiji.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga Kamishna Msaidizi wa Polisi Janeth Magomi, amethibitisha kupokea taarifa za tukio hilo na kubainisha kuwa, wanaendelea kufanya uchunguzi ili kubaini chanzo.
Huyu muadhilika anaweza kuongea bali ya ulimi wake kukatwa?
 
Mbunye huwa IPO kama msumemo inakupiga kotekote inakupa furaha inakupa furaha na maumivu,hii INA apply kwa wote walioa na ambao hawajao.Ukiwa umeoa unapata utamu lakini vilevile unatafuta kwa jasho na kusalitiwa juu.

Uanaume mateso,labda huko mbinguni tutapata ahueni-hapa duniani tukubaliane tu kuzaliwa Mwanaume ni zaidi ya maumivu.
Tatizo kubwa la watanzania ni kudhani kuwa lengo la kuoa ni kukidhi kiu ya ngono. Kila kinapotokea kifo au sintofahau kwenye ndoa watu wanakimbilia kulaani ''mbunye''.
 
Back
Top Bottom