Katibu katibua au katibuliwa?

Katibu katibua au katibuliwa?

View attachment 2376309Kisura,binti teketeke, mtoto milk-maziwa Mungu akulaze mahali pema peponi mapenzi stakiii kwa sasa nipeni konyagi mix na coca sukari imeshuka nataka ipande kidogo
giphy.gif
 
😂😂 me kumchapa mtot tu siwezi cjui ata naonaje yaan je wife? Ivi hao wanaofikia hatua ya kuua wanakua na roho gan? Me wife ata anifanyie kosa gan sitonyanyua mkon wng kumpiga akizingua ni kumfukuza tu nyumban kwang bc hakuna namna nyengine
Daah Mkuu upo sawa huo ndio Uzazi sio kidogo tu unamtishia na kisu ili iweje ndio maana siku ingine badala ya kutishiana wanachinjana kweli..
 
Pisi ina ma-ink ya kutosha. Which says possible ilikuaga ina mambo zile mingi back in the days, mwamba sijui alitumia technique gani kuiopoa na kuituliza ndani... At the end of the day nature prevails. So far its only fair to think "she" gender was most likely started stuffs and the nigga got pressed way too much to bear
 
Pisi ina ma-ink ya kutosha. Which says possible ilikuaga ina mambo zile mingi back in the days, mwamba sijui alitumia technique gani kuiopoa na kuituliza ndani... At the end of the day nature prevails. So far its only fair to think "she" gender was most likely started stuffs and the nigga got pressed way too much to bear
At the end of the day nature prevails
 
Lakini marehem alikua pisi..

Anyway, on a serious note mzee wa kilinge, hiki suala la vifo mfuatano linahusishwa na mambo mengi lakini kuu hasahasa ni afya ya akili. Tukubali tukatae, kuna changamoto kubwa ya afya ya akili nchini kwetu na hii inatokana na ukweli kwamba malezi yetu hayafundishi vulnerability in any way.

Sisemi ni mabaya, lakn kutokana na utandawazi hali imekua mbaya zaidi.

Pia hali ngumu ya maisha ni changamoto nyingine. Kumekua na substandard kubwa sana recently ambayo yataka akili kubwa sana kuicircumnivigate.
Tukubali tukatae, kuna changamoto kubwa ya afya ya akili nchini kwetu na hii inatokana na ukweli kwamba malezi yetu hayafundishi vulnerability in any way.
 
Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 30, mkazi wa Kijiji cha Mwamakalanga katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga, ameachwa akiwa na ulemavu wa kudumu baada ya kung’atwa kipande cha ulimi wake, na mwanamke anayesadikiwa kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi.

Kwa mujibu wa Kaka wa majeruhi, mtuhumiwa anayejulikana kwa jina la Leticia Elias mwenye umri wa miaka 40, alimwita jamaa huyo nyumbani kwake kwa lengo la kufanya mazungumzo, lakini baadaye walianza kufanya tendo la ndoa na kumtaka aingize ulimi kwenye mdomo wake (wanyonyane ndimi) na ndipo akatumia nafasi hiyo kumng’ata kipande chake cha ulimi.

Kufuatia tukio hilo, Kaka huyo wa majeruhi amesema kuwa, hali ya ndugu yake bado siyo ya kuridhisha kutokana na kidonda alichobaki nacho kwenye sehemu ya ulimi iliyobaki, na hawezi kula kwa njia ya kawaida licha ya kupatiwa matibabu na kuruhusiwa, baada ya kupewa dawa ya kutumia katika Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwamakalanga James Jidayi, amekiri kutokea kwa tukio hilo na kubainisha kuwa, limetokea Septemba 29, mwaka huu majira ya saa tatu usiku, ambapo alipata taarifa kupitia kwa mtendaji wa kijiji.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga Kamishna Msaidizi wa Polisi Janeth Magomi, amethibitisha kupokea taarifa za tukio hilo na kubainisha kuwa, wanaendelea kufanya uchunguzi ili kubaini chanzo.
 
Back
Top Bottom