Katibu katibua au katibuliwa?

Katibu katibua au katibuliwa?

"...UJUMBE wangu wa Mwisho kwako MONICA

Asante Kwa kunipenda Kipindi chote hakika umenipa Upendo ambao umeacha alama moyoni mwangu ambao kila nikijaribu kuifuta nimeshindwa sioni upendo wako wa Mwanzo hivyo nimebaki Kuumia MOYONI kwa kukosa

REAL LOVE FROM YOU. MONICA Ulinipenda sana na Kuniahidi kutoniacha siku zote na Ahadi zako nilizipokea MOYONI Nami Kukuahidi Kukupenda sana na hii ndo INANIUMIZA SANA MONICA Asante kwa PENZI LAKO ambalo halijawahi kutoka MOYONI MWANGU SIONI TENA HAJA YA KUISHI KWENYE HII DUNIA

BILA PENZI LAKO NASEMA SIWEZI
MONICA SAMAHANI kwa MAAMUZI nitakayo yafanya NAJUA uamini kama naweza kufanya hivi kwa sababu ya PENZI Lako BUT NAOMBA upelewe kua umefanya nione THAMANI YA MAPENZI katika huu ULIMWENGU kupitia wewe so SIWEZI KUISHI BILA PENZI LAKO,

SIONI TENA MAANA YA MAISHA . MONICA, Inawezekana huu ni UJUMBE WANGU wa Mwisho kwako pia acha DUNIA nzima itambue kua nakupenda sana MONICA na nimeshindwa kuishi bila WEWE.

Najua Familia yangu, Marafiki zangu na Mama yangu mzazi UTAUMIA juu ya hili lakini nisamehe sana Mama YANGU . Naju Unanipenda na Mimi nakupenda Mama.

MONICA NAKUPENDA SANA and I'll miss you so much. YOUR LOVE, YOUR TIME AND YOUR MOMENT Bye KIOSHO.

KULIKO UKAONA UJUMBE HUU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII BORA NIKUTUMIE WEWE, Uje yaliyo moyoni Mwangu na ukiweza kunitibu kwa ule upendo wako wa kwanza nitakua mzima ila ukipuuzia hii basi UTANIPOTEZA na huu ndio utakua UJUMBE WA MWISHO KWANGU.View attachment 2376567
 
Ujumbe wa marehemu una walakini mwingi sana kiuhalisia
1. Hajutii kitendo cha kutembea na mke wa boss wake
2. Hajutii kuisaliti ndoa yake
3. Hajutii kupoteza kazi yake
4. Msg yake ni ya jumla sana kama vile anapenda asipopendwa
5. At am miss Monica,huko kifoni?
6. Ni ujumbe wa lawama zaidi huku utuhumiwa wote ukimwangukia marehemu
What a clean sheet!
 
Pisi ina ma-ink ya kutosha. Which says possible ilikuaga ina mambo zile mingi back in the days, mwamba sijui alitumia technique gani kuiopoa na kuituliza ndani... At the end of the day nature prevails. So far its only fair to think "she" gender was most likely started stuffs and the nigga got pressed way too much to bear
Hivi ni pisi na katibu wote kushney au?
 
Masanja alituona Wanaume ambao hatusifii Wanawake kama tupo ulimwengu wa 7,Dunia nzima yeye ndio ameoa na anajua kusifia.Badala hata hizo nguvu angetumia kimsifia Mama yake.
Kuna gharama kubwa sana maisha yako binafsi kuyafanya ya kitaifa.

sasa wana singizia majaribu, sijui shetani, sijui watru wanao onea wivu. 😂 😂
 
sasa jambo la msingi kwenye suala hili ni kwa wale wote wenye taarifa sahihi au viashiria vya kutendeka kwa kosa kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kama kuna watu au mtu walio husika kutekeleza mauaji hayo wachukuliwe sheria.
 
Pengine alikuwa kajichora jina la mumewe

Huenda, lakini hiyo tattoo ni kubwa sana na haioneshi kama ni maandishi pekee...Pia ipo nyingine mguuni

Wadada wenye matattoo huwa wana maamuzi yao fulani hivi...
 
Forensic ya nini,yani unitomb.a Mke wa mwenzio alitegemea apewe zawadi ama? Hiyo ndio zawadi.
Bila shaka umelelewa kikatili bila upendo na kujua jinsi ya kuishi kwa mujibu wa kisheria, ni court of law tu yenye uwezo wa kuhukumu na bila shaka wewe ni judge wa hizi kangaroos court na matokeo raia wanajichukulia sheria mikononi mwao
 
Huenda, lakini hiyo tattoo ni kubwa sana na haioneshi kama ni maandishi pekee...Pia ipo nyingine mguuni

Wadada wenye matattoo huwa wana maamuzi yao fulani hivi...
Kisaikolojia huwa wana upungufu wa kitu fulani mwilini, hivyo hufidia huo upungufu kwa kitu fulani kitakachowapa nafuu ama utulivu wa nafsi
 
sasa jambo la msingi kwenye suala hili ni kwa wale wote wenye taarifa sahihi au viashiria vya kutendeka kwa kosa kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi ili kama kuna watu au mtu walio husika kutekeleza mauaji hayo wachukuliwe sheria.
Taarifa zinapatikana toka vyanzo vingi... Mitandaoni ni chanzo kimoja muhimu sana.. Wafanyie kazi
 
Jamani mnakosea sana katibu wa kanisa hajamla mke wa mchungaji Wala hakuwa na Nia hyo ovu........ila kilichotokea ni mke wa mchungaji "m_canja" amemkula katibu wa kanisa la flii frii chach
 
Back
Top Bottom