katiba mpya ya chitchat

katiba mpya ya chitchat

jamani nilichelewa kuona hii thread naombeni namba kwa kweli
 
Kwa hiyo unanitishia ba'mkwe au unataka kumuozesha bintiyo Passion Lady kwa nani? Kumbuka matumizi yote anapata kwangu tangu Ruttashobolwa amkimbie yapata miezi minne iliyopita. Angalia isijekuwa mkeo measkron ndiye yule Banana Zorro aliyemuimba kuwa hataki kumuozesha biniye

weeeee ishia hapo hapo
matumizi mme wangu alinipa
mshiko wa kutosha,sa sijui
alijua atakawia kurudi au la?
na siwataki nyie vijana kabisaaaa!!mwendo wa vibabu!!
 

futa neno la mwisho tafadhali!!
hatujaachana bado,na hatuachani
ila namtaftia huby wangu msaidizi kibabu tu!!

Naomba uliandike hilo neno la mwisho unalotaka nilifute jamani hny, kwani sijakuelewa ati mpz.
 

weeeee ishia hapo hapo
matumizi mme wangu alinipa
mshiko wa kutosha,sa sijui
alijua atakawia kurudi au la?
na siwataki nyie vijana kabisaaaa!!mwendo wa vibabu!!

Endelea kumdanganya babako kwa vile mzee tu. Na kesho sijui nani atakutoa out.

COPY: watu8
 
Last edited by a moderator:
huuu ubinafsi ndo unanikera jf mana nimeomba ushirikiano lakini naona nimepotezewa tu mimi sio gamba jamani
 
Kwakweli mnatakiwa mtoe maoni yenu hili tuboreshe hiyo katiba hasa kwenye swala la sheria ya ndoa maana wengi hapa kila siku mnaachwa.my akanana Passion Lady lov you much siwezi kukuacha na hakuna wa kuchukua nafasi yako.Na ikumbukwe kwamba ndoa haiwezi kuvunjwa kisa mume ajaonekana wiki mbili, kama itatokea ajaonekana mwaka mzima hapo kutakuwa na haki na ikiwezekana kwenye katiba hii tutaingiza kipengele cha kutovunja ndoa.Pia napenda kupendekeza Baba V(mwenyekiti) aongezewe muda hili mchakato wa katiba ukamilike ndio uchaguzi ukamilike.
 
Last edited by a moderator:
Kwakweli mnatakiwa mtoe maoni yenu hili tuboreshe hiyo katiba hasa kwenye swala la sheria ya ndoa maana wengi hapa kila siku mnaachwa.my akanana Passion Lady lov you much siwezi kukuacha na hakuna wa kuchukua nafasi yako.Na ikumbukwe kwamba ndoa haiwezi kuvunjwa kisa mume ajaonekana wiki mbili, kama itatokea ajaonekana mwaka mzima hapo kutakuwa na haki na ikiwezekana kwenye katiba hii tutaingiza kipengele cha kutovunja ndoa.Pia napenda kupendekeza Baba V(mwenyekiti) aongezewe muda hili mchakato wa katiba ukamilike ndio uchaguzi ukamilike.

Loya kuna sheria gami ya mwanaume amenipiga chini halafu ananitafutia msululu wa wanaume wengine? Naomba msaada.
 
Last edited by a moderator:
Loya kuna sheria gami ya mwanaume amenipiga chini halafu ananitafutia msululu wa wanaume wengine? Naomba msaada.

hahahahaha my boss @mamndenyi hiyo ni zaidi ya defarmation na inabidi udai fidia kwa uzalilishaji huo na kuingilia uhuru wako. na huyo bora umemuacha hakufai.
 
hahahahaha my boss Mamdenyi hiyo ni zaidi ya defarmation na inabidi udai fidia kwa uzalilishaji huo na kuingilia uhuru wako. na huyo bora umemuacha hakufai.

Mkuuu unataka niende kwenye chama chenu kuulizia uloya wako uliupataje mkuu Ruttashobolwa
Au nianze mchakato wa kukuondoa kuwa loya wa chit chat kutokana na kukosa sifa za kuwatetea member wa chit chat maana naona unapendelea na kusikiliza upande mmoja
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom