Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
hahahaa ngoja niku beep but i hope ugonjwa wako utakuwa tofauti na wa Chimbuvu
Utanikuta nakungoja unitibu kwani nimezidiwa sana!
hahahaa ngoja niku beep but i hope ugonjwa wako utakuwa tofauti na wa Chimbuvu
Usimsikilize Chimbuvu bhana! Angalia usijenikuta nimekata kamba Dr.! Unakumbuka kiapo cha serikali?
Punguza hasira mwenyekiti
Hahahahahahahhahaha..lolestAwe hausi geli
Take care swrhrtBby macho ndio yananipotosha tu
watajiju waje watoe tamko
kama talaka tupeane kwani sh ngapi!!
ili niwe single lady staki tabu mie!!
​kwenye chupa au uvinza!!Ruttashobolwa akirudiana na Madame B, basi Passion Lady analipizia kwa Arushaone!!
Ila kweli Ruttashobolwa kafichwa mapaja yepi haonekani??
pole sana ndugu yangu heri yangu sijafunga ndoa ninapelekeshana tu na hawa wachumba nikishampata mwenye msimamo natangaza nia
​hi dady!!we Arushaone, hivi ushawahi kuona vumbi inatimka kwenye maji? sasa we endelea kumsarandia binti yangu...
si uliona mapinduzi yaliyoletwa
na Mr Rocky ya zilipendwa kurudiana
sa sijui ndio Ruttashobolwa aliunga mkono hiyo
kitu,coz haonekani,na Madame B haonekani,nisaidie kushangaa!!
hello my little one...habari ya wewe?​hi dady!!
hello my little one...habari ya wewe?