katiba mpya ya chitchat

katiba mpya ya chitchat

huuu ubinafsi ndo unanikera jf mana nimeomba ushirikiano lakini naona nimepotezewa tu mimi sio gamba jamani

karibu ndungu yangu kuku87 ujisikie nyumbani hapa hakuna ubinafsi,hapa ni furaha tuu. sahau yote.
lakini umesha kaguliwa? una mke? kama huna muandikie barua Baba V nia ya kutafuta mke na umuandikie Madame B nia ya kuomba kukaguliwa.

hila kaa mbali na my akanana Passion Lady kama unapenda kucha na meno yako.
karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Mkuuu unataka niende kwenye chama chenu kuulizia uloya wako uliupataje mkuu Ruttashobolwa
Au nianze mchakato wa kukuondoa kuwa loya wa chit chat kutokana na kukosa sifa za kuwatetea member wa chit chat maana naona unapendelea na kusikiliza upande mmoja

hahahahahahaha @mr rock hapo sijamtetea nimejibu swali kulingana na swali. na hii imesaidi kumpata muhusika kumbe ni wewe. leta madai yako,
 
hahahahahahaha @mr rock hapo sijamtetea nimejibu swali kulingana na swali. na hii imesaidi kumpata muhusika kumbe ni wewe. leta madai yako,

Hizi taarifa za defamation hapa hakuna tunasema ukweli bana
Kama mtu kaachwa anaruhusiwa kutamkwa kuwa yuko single na wanaume ambao wako single wanahitajika kuambiwa kuwa fulani kaachwa na yuko single ili wapambane wapate nafasi yankumpata na ndo linalofanyika kwa Mamndenyi
Wapo akina Arushaone na Bishanga na Slave na Vin Diesel wako single lazima waambiwe kuwa Mamndenyi ameachwa bana
Au loya unaona hapo kuna kosa
 
Last edited by a moderator:
Hizi taarifa za defamation hapa hakuna tunasema ukweli bana
Kama mtu kaachwa anaruhusiwa kutamkwa kuwa yuko single na wanaume ambao wako single wanahitajika kuambiwa kuwa fulani kaachwa na yuko single ili wapambane wapate nafasi yankumpata na ndo linalofanyika kwa Mamndenyi
Wapo akina Arushaone na Bishanga na Slave na Vin Diesel wako single lazima waambiwe kuwa Mamndenyi ameachwa bana
Au loya unaona hapo kuna kosa
Lakini hilo tangazo lilitakiwa litolewe baada ya pande zote kushirikishwa wewe huna haki ya kumtangaza mteja wangu yuko single bali una haki ya kujitangaza huko single hivyo ulikosea kabisa maana hujamshirikisha.
kumbuka kuwa hakuna anaye beba haki ya mwenzie bali kila mtu ana beba haki yake.

Nakushauri umuombe radhi Mamndenyi kwa kuingilia haki yake na maamuzi yake,
 
Last edited by a moderator:
Lakini hilo tangazo lilitakiwa litolewe baada ya pande zote kushirikishwa wewe huna haki ya kumtangaza mteja wangu yuko single bali una haki ya kujitangaza huko single hivyo ulikosea kabisa maana hujamshirikisha.
kumbuka kuwa hakuna anaye beba haki ya mwenzie bali kila mtu ana beba haki yake.

Nakushauri umuombe radhi Mamndenyi kwa kuingilia haki yake na maamuzi yake,

Halijatolewa tangazo popote ila anayeuliza anatakiwa kupewa jibu na ndo kilichofanyika hakuna mahali popote ilisomeka kama tangazo na kama kasema hiyo yeye ndo amejitangaza. Na hakuna popote ambapo nilijitangaza single nilitoka kwenye ndoa yake nikarudi kwenye ndo yangu ya kwanza na sijamtangza bana
Nafikiri anajishtukia sana na an wasi wasi
 
Last edited by a moderator:
huuu ubinafsi ndo unankera jf mana nmeomba ushirikiano lakini naona nimepotezewa jamani

Acha hasira! Hapa ulikuta kila mtu alikuwa anaongea na mwenzake thats why ukabaki pending. Si uliona kelele?

Haya leta khabari.
 
Hizi taarifa za defamation hapa hakuna tunasema ukweli bana
Kama mtu kaachwa anaruhusiwa kutamkwa kuwa yuko single na wanaume ambao wako single wanahitajika kuambiwa kuwa fulani kaachwa na yuko single ili wapambane wapate nafasi yankumpata na ndo linalofanyika kwa Mamndenyi
Wapo akina Arushaone na Bishanga na Slave na Vin Diesel wako single lazima waambiwe kuwa Mamndenyi ameachwa bana
Au loya unaona hapo kuna kosa
Mr Rocky wewe unajambo lako mtimani, huwezi tamka hadharani kuwa mie nipo singo,wakati unajua nnao wawili.
 
Last edited by a moderator:
Nimeuliza tu bibie....ana tabia ya kusingizia anaumwa

kumbe ndiyo tabia yake..!
Ngoja nimuandalie MSETO hata kama hana malaria lazima anywe doze yote kwa wakati mmoja haiwezekani anisumbue bure hadi naita Ambulance
 

ngoja nikuwaooooo honey
wamenisakama huku mpaka
nikakata tamaa,oooh karudiana
na Madame B khaaaa!!wellcome back swr!!
 
Last edited by a moderator:

omutima wange ni wewe honey
baeleze baeleze,wasivamie vya watu bure!!
 
OOOH my akanana Passion Lady swala la talaka sahau kabisa bado nakupenda sana.
Najua Arushaone anataka nikupe talaka lakini sitokuja kutoa mwambie amechelewa kwanza hajui uchungu wa mke maana hana mke ameachwa.

yani huyo Arushaone ndio
alikua anatangaza eti umenitelekeza
miezi minne,akamuomba mpaka dady
ampe ruksa ya kunitwaa,kafuzwa na mshale!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom