Niliuliza, kwanini British Airways ina crew wazee, haitaki kuvutia wateja kama airline nyingine? Nikaambiwa, wale wanajua unahitaji nini ukiwa safarini.
Juu ya 41 kama katiba inavyosema ni sawa ingawa kwa uhalisia, 50 ni sahihi ingawa si mara zote umri unahusika; Le Mutuz, Kigwa, Profs n.k