Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Bila kuwa na katiba yenye meno haya yanayotokea huko Loliondo yatakuwa kama jambo la kawaida.
Kutafuna pesa za walipa kodi kwa safari za viongozi zisizo na tija au manufaaa kwa umma zitakuwa ni jambo la kawaida.
Wananchi kutozwa tozo za ajabu ajabu na zenye uonevu mkubwa itakuwa ni jambo la kawaida.
Watanzania tupambane na kupata Katiba mpya ili mapema tuzuie ufisadi, uonevu na ukatili kabla 2025.
Kutafuna pesa za walipa kodi kwa safari za viongozi zisizo na tija au manufaaa kwa umma zitakuwa ni jambo la kawaida.
Wananchi kutozwa tozo za ajabu ajabu na zenye uonevu mkubwa itakuwa ni jambo la kawaida.
Watanzania tupambane na kupata Katiba mpya ili mapema tuzuie ufisadi, uonevu na ukatili kabla 2025.