Katiba mpya: CHADEMA inakwendaje mbele baada ya Mbowe kukamatwa?

Omusolopogasi

JF-Expert Member
Aug 31, 2017
7,105
18,005
Wana-CHADEMA,

Mwenyekiti wenu alikamatwa usiku wa kuamkia kongamano la katiba mpya kule Mwanza akiwa na wanachama na viongozi wengine. Tangu akamatwe, habari ya kongamano imekufa!

Kwa sababu serikali inasema imemkamata kwa sababu nyingine na wala siyo suala la katiba mpya, kwa nini viongozi wengine waliobaki wa CHADEMA wasiendelee na kongamano? Vinginevyo inaonekana kuwa lilikuwa ni kongamano la Mbowe tu. Na kila kutapokuwa na vuguvugu lolote, Mbowe atakuwa anakamatwa ili kulizima. Inaonekana Mbowe akikamatwa tu, kila kitu kinaishia hapo! Na hii inahamasisha serikali kuendelea kumshikilia Mbowe.

Katibu Mkuu wa CHADEMA - John Mnyika - na viongozi wengine - Tundu Lissu - mnalionaje hili? Kunyamaza kwenu kunam-expose Mbowe kama the sole instigator. Inaonekana Mbowe alikuwa anawaburuza juu ya hili. Serikali imekwisha sema katiba mpya siyo sababu. Kwa nini sasa kondamano lisiendelee?

Angekamatwa Mandela na akina Winnie, Thabo, Zuma...wakaamua kukaa kimya, leo hii pengine bado kungekuwa na White minority rule na ubaguzi Afrika Kusini.

Tafakarini, na chukuweni hatua.
 
Mkuu
Hii kitu lazima ujipange
Waweza kukamatwa na kwenda kuunganishwa na mbowe
Manyang'au wameonyesha hawataki kusikia Kongamano zihusuzo katiba mpya
 
Kama Watanzania wote wanafikia hivi, basi tukubali kuendelea na kura zile za kwenye vikapu za Oktoba 2020.
Mkuu
Hii kitu lazima ujipange
Waweza kukamatwa na kwenda kuunganishwa na mbowe
Manyang'au wameonyesha hawataki kusikia Kongamano zihusuzo katiba mpya
 
Wana-CHADEMA,

Mwenyekiti wenu alikamatwa usiku wa kuamkia kongamano la katiba mpya kule Mwanza akiwa na wanachama na viongozi wengine. Tangu akamatwe, habari ya kongamano imekufa!

Kwa sababu serikali inasema imemkamata kwa sababu nyingine na wala siyo suala la katiba mpya, kwa nini viongozi wengine waliobaki wa CHADEMA wasiendelee na kongamano? Vinginevyo inaonekana kuwa lilikuwa ni kongamano la Mbowe tu. Na kila kutapokuwa na vuguvugu lolote, Mbowe atakuwa anakamatwa ili kulizima. Inaonekana Mbowe akikamatwa tu, kila kitu kinaishia hapo! Na hii inahamasisha serikali kuendelea kumshikilia Mbowe.

Katibu Mkuu wa CHADEMA - John Mnyika - na viongozi wengine - Tundu Lissu - mnalionaje hili? Kunyamaza kwenu kunam-expose Mbowe kama the sole instigator. Inaonekana Mbowe alikuwa anawaburuza juu ya hili. Serikali imekwisha sema katiba mpya siyo sababu. Kwa nini sasa kondamano lisiendelee?

Angekamatwa Mandela na akina Winnie, Thabo, Zuma...wakaamua kukaa kimya, leo hii pengine bado kungekuwa na White minority rule na ubaguzi Afrika Kusini.

Tafakarini, na chukuweni hatua.
Katiba mpya siyo hitaji letu sisi wananchi kwa sasa. Pimeni upepo wa siasa.
 
Yaani nyie ndio wananchi tu, siyo? Hata sisi mbona wananchi? Tulimpa Waryoba, Palamagaamba, Polepole na wengine mawazo yetu mengi kuhusu katiba mpya 2015. Kwani wewe una umri gani? Nisijekuwa naongelea mambo ambayo yalitokea wakati haujazaliwa!

Kwa sababu tu umeshiba mwanafamilia mmoja, ndio chakula kisipikwe nyumbani?
Katiba mpya siyo hitaji letu sisi wananchi kwa sasa. Pimeni upepo wa siasa.
 
Yaani nyie ndio wananchi tu, siyo? Hata sisi mbona wananchi? Tulimpa Waryoba, Palamagaamba, Polepole na wengine mawazo yetu mengi kuhusu katiba mpya 2015. Kwani wewe una umri gani? Nisijekuwa naongelea mambo ambayo yalitokea wakati haujazaliwa!

Kwa sababu tu umeshiba mwanafamilia mmoja, ndio chakula kisipikwe nyumbani?
Nakubaliana na were kuwa tulitoa maoni yetu kwenye Tume ya Jaji Warioba. Baada ya hapo wananchi tulikaa kimya kwa miaka mitano mfululizo. Swali ni lini wananchi tumefanya uamuzi kwamba sasa mwaka huu tunahitaji katiba tuliyoinyamazia kwa miaka mitano? Maelekezo hayo ya wananchi wa Tanzania Chadema wameitoa wapi.
 
Sisi ndio wananchi sasa ama unafikiri wananchi watatoka Jupiter ama Mars?
Nakubaliana na were kuwa tulitoa maoni yetu kwenye Tume ya Jaji Warioba. Baada ya hapo wananchi tulikaa kimya kwa miaka mitano mfululizo. Swali ni lini wananchi tumefanya uamuzi kwamba sasa mwaka huu tunahitaji katiba tuliyoinyamazia kwa miaka mitano? Maelekezo hayo ya wananchi wa Tanzania Chadema wameitoa wapi.
 
Sisi ndio wananchi sasa ama unafikiri wananchi watatoka Jupiter ama Mars?
Hilo neno "sisi" ndilo linashida mkuu. Sisi ni wanachama/washabiki wa Chadema wasiozidi milioni 2 au sisi ni watanzania zaidi ya milioni 50 ambao siyo wanachama na washabiki wa Chadema ? Hapa ni hesabu zinasema
 
Mngekuwa mil 50 mchapishe kura za kupigia majumbani na kubebea kwenye vikapu? Una wazimu nini?
Hilo neno "sisi" ndilo linashida mkuu. Sisi ni wanachama/washabiki wa Chadema wasiozidi milioni 2 au sisi ni watanzania zaidi ya milioni 50 ambao siyo wanachama na washabiki wa Chadema ? Hapa ni hesabu zinasema
 
Back
Top Bottom